iPhone 15 imetambulishwa tujiandae na msiba

iPhone 15 imetambulishwa tujiandae na msiba

Sema simu zimekuwa na ujinga sana kwa sasa mweny iphone 13 anaona kama kapitwa na mda [emoji23][emoji23] hapo itauzwa angalau kupanda mpaka 14 then 15.
Na sijawahi kuona tofauti yake...
Kuanzia 11 hadi hiyo 14....Labda 15 maana sijaiona kwa macho...

Wakijipanga watumiaji wa matoleo yote hayo.. wakashika simu zao hujui ipi ni ipi...hadi uanze kuuliza..
 
Mwagona.

Ujio wa matoleo ya I phone kwa Tanzania huwa ni msiba mkubwa hasa wazazi waume na makaka

Kwani hicho ndo huwa visa vya dada zetu kuliwa tunda kimasihara kisa simu.

Tujiandae kusikia matukio ya hawa ndugu zetu ambayo chanzo ni tamaa.

Uzi tayari

View attachment 2747550
Ena mwagona nawe.

, wakata uli?
 
Binafsi sionagi sababu ya mtu/watu kukimbizana na matoleo mapya ya simu kila yanapotoka..

Unakuta mtu ana 14, kuna Apps zipo kwenye hiyo simu hajawahi kuzitumia, na mbaya zaidi hajui kazi yake, then 15 ndiyo hiyo anakimbizana nayo tena..

Anyway...Mtaniambia nitafute hela...Ni sawa.
Siku zote mtu asiyekua na hela akiona jinsi watu wenye hela wanavyotumia hela zao,huona kua ni matumizi mabaya ya hela au hawana akili.

😀😀
 
Back
Top Bottom