iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

Kuna watu iPhone ni mkombozi wao kwa ulinzi wa data. Kama unaona iPhone inakubana sana basi sio level yako maana kila kitu ni ghali na very limited.
 
Watumiaji wa iphone muda mwingi simu zao hawaweki mfukoni wanazishika shika ili watu wazione yaaani ni kama wamekaa kiumbea umbea. Na wengi wao wananunua za bei rahisi kama alivyosema mchangiaji hapo juu laki 3 used.
 
Natumia iPhone
Nyimbo nadownload vizuri tu
Radio ndo hivyo Online (Tunnel In)

Ieleweke kuwa huwezi kumiliki hii simu kama unakuwa na bando la kubahatisha. [emoji23]

Vitu vingi ni Online na lazima utumie bando[emoji41] nyie wenye bando za bure za Social network huu mziki wa kumiliki iPhone hamuwezi.

Endeleeni kumiliki hizo simu zenu za kutumia miezi mitatu zinaanza matatizo, mara Camera haipigi, mara inaleta mistari kwenye Kioo [emoji38] matatizo kibao.
Nimekaa na Tecno yangu L8 kwa miaka 3 bila shida yoyote. Kwa sasa nina infinix inapiga kazi tangu November mwaka Jana.
Acha hizo kelele mkuu, Android ni fresh
 
Tundu la earphones lipi ilo unalolizungumzia? nmeandika huku nachungulia simu yangu😂😂
kuhusu nyimbo tunadownload kirahisi tu mbona audiomack na bolt zipo kwa ajili yetu ayo mengine sawa ila tumeridhika tuu 😂😂😂
Usilazimishe kukaa na simu kwa miaka mitano, hizi ni simu zinazovutia ukiwa angalau na i phone toleo la miaka angalau miwili iliyopita.

I phone wameacha kuweka matundu ya head phones tangu mwaka 2015.

Kama una tundu la earphone basi simu yako ni ya zamani sana itakuwa hata ya mwaka 2014, hio itakuwa mjanja kakuuzia alipata mnyonge wa kumuuzia kwa bei chee yeye kajiongeza kununua matoleo mapya

Wenzako wanaingia toleo la 12 saizi, Tafuta milioni 2 uchukue hata iphone 11 maana huku kwenye i phone hakunaga mbadala.😁😁😁
 
Back
Top Bottom