iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

iPhone ni kama gereza la kifahari. Ni kwajili ya fasheni tu, hutaweza kufanya vitu muhimu vifuatavyo...

Hizo iPhone 6S zimekuwa kama yebo yebo saizi hata kwa laki 3 unapata, iPhone ni simu za Prestige zinapendeza ukiwa na matoleo mapya, Tafuta milioni 2 na nusu ukavute apple kali maana wenzako saizi hawaoni haja ya tundu la earphone za pini kama la kwenye simu yako ya kale [emoji23][emoji23]

android ni open source, hata simu za mwaka 2012 zinaweza kuwekewa rom na feauture za latest android system, vitu custom yani kuna community kama xda wanafanya mambo, Huko apple mmepigwa kamba ya mguuni, apple akisusa kuendeleza support basi simu haina maana tena

Hio simu yako ya 6s nayo ipo mbioni kuchinjiwa mbali kama iphone 6 plain, 5c, 5s, 5 plain, 4, 4s, 3, n.k.

Halafu iPhone ni Prestige goods mkuu, hilo kopo tangu mwaka 2016 unalo tu?? Watu wanadunda na iPhone 11 saizi wewe upo na 6, Jichange mkuu, Simu zenyewe milioni 3 tu zinakushindwaje, Au bajeti ni finyu?[emoji23][emoji23][emoji23] Usiige kukaa na simu muda mrefu kwa sisi kina android simu zetu hazichuji

Acha kudanganya watu wewe[emoji23] xda comunity gani utapata custom rom ya tecno camon 7 ya latest android🤣🤣. Kuna vi android ukinunua ndo umefunga ndoa na iyo rom hata update hakuna hata iwe camon 15 utabaki na iyo android 10 hadi ife hadi ifike wakati whatsapp wanakuambi “ this version is not compatible with this android version pls update”. Na hakuna update. Unabaki na kopo lako apps zinakataa🤣🤣.
Usidanganye watu hapa. Simu pekee zinazojitahidi kwenye android updates ni nokia. Hata samsung matoleo ya flagships za s7 kwenda chini hazina latest android soon zitakua kopo tuu. Hata xda wanazichinjia mbali kwenye custom rom.
 
Usidanganye watu hapa. Simu pekee zinazojitahidi kwenye android updates ni nokia. Hata samsung matoleo ya flagships za s7 kwenda chini hazina latest android soon zitakua kopo tuu. Hata xda wanazichinjia mbali kwenye custom rom.

This is not true. S5, s6, s7 zina custom ROMs za android 10 (stock android sio hyo skin ya samsung).

Kwa upande wa updates samsung wako vizuri sana kuliko Nokia. Wanachozingua wao ni kuchelewa kutoa android version update kwa haraka (zinachelewa kutoka ila zinafika), lakini kwenye security updates wako vizuri sana baada ya kushift kuja kwenye OneUI. Samsung kwa sasa ni wa pili kwa software updates on android (wa kwa ni Google wenyewe na Pixel zao).
Reference: https://www.androidpolice.com/2020/...vqu6z*_ga*YW1wLWRNNlBLVEpyaUlzSVNLT3phemNxdkE.
 
Duh, kwa hiyo mtu akikwapua simu ndo basi keshakimbia na mzigo wote
Hapana.

Kwanza kila kitu kipo encrypted.

Pili, nina servers na USB drives zenye zaidi ya 800 TB last time I counted (that is TB, not GB. Leo tu napata portable USB drive ya Seagate ya 5 TB mpya, wiki mbili zilizopita nilinunua mbili kama hizi, ni kama naongeza 5TB every week. Wiki hiyo hiyo niliongeza server ya 36 TB) zina data, backups, backups za backups na archives.

Kuna archives nyingine zipo kwenye Bluray discs.

Hivyo vi SD card vya 64, 128, 512 GB hata kuvihesabu naona karaha.

So. Mtu akikwapua atakuwa kakwapua simu/ hardware tu na kunipa sababu ya ku upgrade kwenda toleo jipya.

Kwenye data hatapata kitu.

Sasa mtu wa mafuriko ya data kama hivyo, simu ambayo haiwezi ku support SD card ya angalau 512 GB naona kama mapambo tu.
 
IPhone hawana hiyo feature wao wamejizatiti kwenye internal pekee kuanzia betr, memory nk. kila jambo wao wameliwekea kipengele.

Iphone sometimes ni kama vazi la nyelamumu, ishu ndogo tu ya dakika mbili inaweza ikakulazimu uvue bwanga lote

Na kuna iPad ambazo hazitumii hata simcard lakini bado wazee wa mkumbo utawaona kitaa wamenata.
Nilijaribu li ipad kubwa lile la 12.9. Inches Kuna siku niliona lina software nzuri sana ya ku DJ.

Nikasema Android nishamaliza kila kitu. Ngoja nijaribu hii, nimeipenda ile software.

Nikajajibu.

Kwa jinsi collection yangu ilivyo kubwa, huwa natumia SD cards kama cassettes.

Basi nikawa naishia kupiga muziki wa kutoka internal drive tu. Sikuwa na option ya SD card.

Kikichoniokoa ni Spotify. Na baadaye hapa juzi mwishoni mwa June nilikuwa napiga mziki kwenye hiyo Software, nikaona message kwamba kuanzia July Spotify wanasimamisha integration with third party apps kama nilivyokuwa natumia.

Maana yake sikuweza ku DJ na Spotify tena.

Hapo ningekuwa na uwezo wa kutumia SD cards zangu ningetengeneza playlist kwenye folders, nika import, nika DJ kutoka SD card tu.

Sasa hivi nimelisahau tu mpaka nikampasia dogo mmoja analitumia.
 
Hapana.

Kwanza kila kitu kipo encrypted.

Pili, nina servers na USB drives zenye zaidi ya 800 TB last time I counted (that is TB, not GB. Leo tu napata portable USB drive ya Seagate ya 5 TB mpya, wiki mbili zilizopita nilinunua mbili kama hizi, ni kama naongeza 5TB every week. Wiki hiyo hiyo niliongeza server ya 36 TB) zina data, backups, backups za backups na archives.

Kuna archives nyingine zipo kwenye Bluray discs.

Hivyo vi SD card vya 64, 128, 512 GB hata kuvihesabu naona karaha.

So. Mtu akikwapua atakuwa kakwapua simu/ hardware tu na kunipa sababu ya ku upgrade kwenda toleo jipya.

Kwenye data hatapata kitu.

Sasa mtu wa mafuriko ya data kama hivyo, simu ambayo haiwezi ku support SD card ya angalau 512 GB naona kama mapambo tu.

800T errabytes[emoji15]. Wewe ni either muongo au gaidi. 800 TB unahifadhi nini?
 
Kama ni mtu wa fashion ni sawa ila kama ndo inakidhi mahitaji yake kwa nini anunue kitu ambacho hakihitaji?
kusingekuwa na documents leo, wala jail breaking, wala msingekuwa mnatumia na simu ndogo yenye line b.

angalia bidhaa zake za computer zinavyopendwa, si kwa sababu zina uhakika katika kazi pekee, lakini sababu pia amecha zijichanganye na bidhaa za kampuni nyingine.
 
Mkuu uzuri wa android huku kuna simu za chini, za kati na za juu flagships.

Kutegemea na uchumi wa mtu anaweza kuchagua wapi panamfaa

Huko apple wana simu za juu tu flagships ambazo ni za kawaida tu hazina vitu vingi, Bila kusahau kuna simu za android ambazo zina bei mbaya kuliko hata hizo iPhones.
"Hazina vitu vingi"

Vitu vingi kwako ni vipi?
 
800T errabytes[emoji15]. Wewe ni either muongo au gaidi. 800 TB unahifadhi nini?
Kwani ni ngumu mtu wa na 800TB ? Tatizo huanza kutaka kulinganisha watu na kile ulichonacho au kilicho kwenye uwezo wako. Mwamba huenda ameanza tunza vitu vyake since 2000 kwanini visifike huko 😀😀😀
 
Kwani ni ngumu mtu wa na 800TB ? Tatizo huanza kutaka kulinganisha watu na kile ulichonacho au kilicho kwenye uwezo wako. Mwamba huenda ameanza tunza vitu vyake since 2000 kwanini visifike huko [emoji3][emoji3][emoji3]

Haya bana. Mi nna TB mbili na nna vitu tangu 2000 . Sikatai mtu anaweza kumiliki TB 800 nimeuliza anaweka nini hizo hdds imagine mtu ana hard disk takribani 500 phyisically ana zi manage vipi?
Sometimes majitu yanajiongeleshaga humu bila kuchakata akili zao .
279E6864-0FD0-4545-9094-4C9D17BF2282-15572-0000130E0E170EFE.jpg
 
Haya bana. Mi nna TB mbili na nna vitu tangu 2000 . Sikatai mtu anaweza kumiliki TB 800 nimeuliza anaweka nini hizo hdds imagine mtu ana hard disk takribani 500 phyisically ana zi manage vipi?
Sometimes majitu yanajiongeleshaga humu bila kuchakata akili zao .View attachment 1535696
Subiri aje akujibu mkuu.. ila nachojua jua jamaa ni expert wa maswala ya encryption - cybersecurity na ni wa kitambo sana. huenda ana mengi zaidi huko.. aliyo hifadhi. Ila vizuri atakuja kukujibu mwenyewe 😀😀
 
Hapana.

Kwanza kila kitu kipo encrypted.

Pili, nina servers na USB drives zenye zaidi ya 800 TB last time I counted (that is TB, not GB. Leo tu napata portable USB drive ya Seagate ya 5 TB mpya, wiki mbili zilizopita nilinunua mbili kama hizi, ni kama naongeza 5TB every week. Wiki hiyo hiyo niliongeza server ya 36 TB) zina data, backups, backups za backups na archives.

Kuna archives nyingine zipo kwenye Bluray discs.

Hivyo vi SD card vya 64, 128, 512 GB hata kuvihesabu naona karaha.

So. Mtu akikwapua atakuwa kakwapua simu/ hardware tu na kunipa sababu ya ku upgrade kwenda toleo jipya.

Kwenye data hatapata kitu.

Sasa mtu wa mafuriko ya data kama hivyo, simu ambayo haiwezi ku support SD card ya angalau 512 GB naona kama mapambo tu.
Mwizi hana ishu na data, so it doesn’t matter kama data ipo encrypted au la yeye anachowaza ni kuformat
 
Subiri aje akujibu mkuu.. ila nachojua jua jamaa ni expert wa maswala ya encryption - cybersecurity na ni wa kitambo sana. huenda ana mengi zaidi huko.. aliyo hifadhi. Ila vizuri atakuja kukujibu mwenyewe [emoji3][emoji3]

Ohh kumbe. Labda amewekeza kwenye ma server kwa ajili ya wateja wa ma website au online storage. Nilishangaa kwamba ni yeye binafsi ana terrabyte zote izo kwa matumizi yake. Basi sawa
 
Kwanza hata kwa dawa siwezi kutumia iphone, ni za wadada, na chuo tulikuwa tunawaida , iphone disease
 
800T errabytes[emoji15]. Wewe ni either muongo au gaidi. 800 TB unahifadhi nini?
My life is like a movie to you.

Ndiyo maana nikiyaelezea unakuwa mgumu kuamini.

Na mimi nakueleza tu. Sina muda wa kuanza kukushawishi.

Kwa sababu, kama unashangaa 800TB, hata nikikutajia vitu ninavyofanya, most likely nitakuchanganya tu.

Hapo mwenyewe najiona bado sijafikisha Petabyte.

Unaelewa Petabyte ni nini?
 
Back
Top Bottom