JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 2,118
- 4,863
Hizo iPhone 6S zimekuwa kama yebo yebo saizi hata kwa laki 3 unapata, iPhone ni simu za Prestige zinapendeza ukiwa na matoleo mapya, Tafuta milioni 2 na nusu ukavute apple kali maana wenzako saizi hawaoni haja ya tundu la earphone za pini kama la kwenye simu yako ya kale [emoji23][emoji23]
android ni open source, hata simu za mwaka 2012 zinaweza kuwekewa rom na feauture za latest android system, vitu custom yani kuna community kama xda wanafanya mambo, Huko apple mmepigwa kamba ya mguuni, apple akisusa kuendeleza support basi simu haina maana tena
Hio simu yako ya 6s nayo ipo mbioni kuchinjiwa mbali kama iphone 6 plain, 5c, 5s, 5 plain, 4, 4s, 3, n.k.
Halafu iPhone ni Prestige goods mkuu, hilo kopo tangu mwaka 2016 unalo tu?? Watu wanadunda na iPhone 11 saizi wewe upo na 6, Jichange mkuu, Simu zenyewe milioni 3 tu zinakushindwaje, Au bajeti ni finyu?[emoji23][emoji23][emoji23] Usiige kukaa na simu muda mrefu kwa sisi kina android simu zetu hazichuji
Acha kudanganya watu wewe[emoji23] xda comunity gani utapata custom rom ya tecno camon 7 ya latest android🤣🤣. Kuna vi android ukinunua ndo umefunga ndoa na iyo rom hata update hakuna hata iwe camon 15 utabaki na iyo android 10 hadi ife hadi ifike wakati whatsapp wanakuambi “ this version is not compatible with this android version pls update”. Na hakuna update. Unabaki na kopo lako apps zinakataa🤣🤣.
Usidanganye watu hapa. Simu pekee zinazojitahidi kwenye android updates ni nokia. Hata samsung matoleo ya flagships za s7 kwenda chini hazina latest android soon zitakua kopo tuu. Hata xda wanazichinjia mbali kwenye custom rom.