kuna iphone 7 plus hapa 32 gb bei laki 6 na nusu imetumika only 3 weeks bado mpya kabisa ina warranty 1 yr View attachment 1188545
Hata Ellite Computers waliopo pale Upanga mtaa wa Magore jirani na shule za msingi za Diamond na Olympio wanaziuza orijino.Mkuu simu refurbrished sio feki.
Ujue iphone washaacha kuzitoa izo iphone 6 7 8 etc so unazoziona kwenye market nyingi huku mjini ni refurbrished tu ni ngumu sana kuikuta iphone 6 ambayo sio refurbrished kws kuwa iphone walishaacha kuitoa kitamboo.
Nenda wstakupa warranty ya mwaka au miaka miwili ikisumbua utapewa mpya
Kama una force mnoo unataka ambayo sio refurbrished nakushauri sehemu pekee ni apple store mlimani city ambako bei yake hutoiweza kwa sababu nakuskia ukilalamika lalamika bei. Sasa kule wanauza iphone 6 mpaka laki 7 na nusu wakati simu hiohio makumbusho ni laki 4 utaweza????
Ushauri wa bure nenda mlimani city kama huna pesa nenda makumbusho uache kusumbua watu
Hata Ellite Computers waliopo pale Upanga mtaa wa Magore jirani na shule za msingi za Diamond na Olympio wanaziuza orijino.
I phone kuna muda huwa zna mambo za ajabu sanaHivi kuna nini cha ziada iphone kuizidi sana Sansung? Nimeuliza kizushi, kwa sababu nilinunua iphone 6 sikudumu nayo nikaiuza.
Tunaoshinda jf wala haifai. Kushinda unabofyabofya haipendi, beteri lake goigoi, halafu ukizima ukaweka chaji, inajiwasha automatic, sasa ndiyo nini!
Lakini ukikuta wenye alosto nazo kusifia!
Uzalendo ulinishinda nikaita dalali.
Tangia hapo nikang'ang'ania samsung mazima kwa sababu wananipatia ninachokitaka.
Kama unataka simu mpya kabisa... tafuta hela nenda duka la Iphone mlimani city. Nje ya hapo iphone fake utauziwa popote pale...Habari zenu wanazengo, naombeni kupata ufafanuzi kidogo kuhusu iPhone zinazouzwa madukani makumbusho dar...nilikuwa nataka kununua ila nikafanya utafiti kidogo wengi wakaniambia nenda makumbusho
Ila kabla sijaenda nikatonywa na fundi wang wa simu akasema usiende kule watakupa simu feki, mara wengine wanasema second hand, mara refurbished, mara hazidumu kwa sababu sio orijino.
naombeni mnisaidie jaman nijue kiundani zaidi kama kuna aliyewah kununua na kujua mapunguf ya hzo simu..na pia mnielekeze sehem wanazouza hizi simu original kwa bei ya kawaida maana ni ndoto yangu na mimi kumiliki iphon... iphone 5,5s au 6 zenye storage ya 16 had 64
sijaandika huu uzi kwa lengo la kuharibu biashar ya watu,
nisamehe kwa mwandiko wang kama utawakera
Habari zenu wanazengo, naombeni kupata ufafanuzi kidogo kuhusu iPhone zinazouzwa madukani makumbusho dar...nilikuwa nataka kununua ila nikafanya utafiti kidogo wengi wakaniambia nenda makumbusho
Ila kabla sijaenda nikatonywa na fundi wang wa simu akasema usiende kule watakupa simu feki, mara wengine wanasema second hand, mara refurbished, mara hazidumu kwa sababu sio orijino.
naombeni mnisaidie jaman nijue kiundani zaidi kama kuna aliyewah kununua na kujua mapunguf ya hzo simu..na pia mnielekeze sehem wanazouza hizi simu original kwa bei ya kawaida maana ni ndoto yangu na mimi kumiliki iphon... iphone 5,5s au 6 zenye storage ya 16 had 64
sijaandika huu uzi kwa lengo la kuharibu biashar ya watu,
nisamehe kwa mwandiko wang kama utawakera
Uzi umekaa kichawi Sana huu, sasa kama wamekuelekeza zinakopatikana original kwa usiende kununua huko.
iPhone nyingi zinazouzwa bongo ni usied ila sio feki.
Acheni kuharibu biashara za watu walizogharamia kuzitangaza.
welcome again mr
Sawa mkuu. Nilielewa toka mwanzo ila labda ni vile sikufafanua zaidi kwenye maelezo yangu. Nilichomaanisha ni kwamba hilo duka wanauza original and unrefurbished iphones yaani simu inakuwa ni brand new.Iphone original zinauzwa karibu kila mahali dar hata hapo makumbusho wanauza iphone original. TunachokiongeleA hapa ni refurbrished au sio.
Umeelewa?
Habari zenu wanazengo, naombeni kupata ufafanuzi kidogo kuhusu iPhone zinazouzwa madukani makumbusho dar...nilikuwa nataka kununua ila nikafanya utafiti kidogo wengi wakaniambia nenda makumbusho
Ila kabla sijaenda nikatonywa na fundi wang wa simu akasema usiende kule watakupa simu feki, mara wengine wanasema second hand, mara refurbished, mara hazidumu kwa sababu sio orijino.
naombeni mnisaidie jaman nijue kiundani zaidi kama kuna aliyewah kununua na kujua mapunguf ya hzo simu..na pia mnielekeze sehem wanazouza hizi simu original kwa bei ya kawaida maana ni ndoto yangu na mimi kumiliki iphon... iphone 5,5s au 6 zenye storage ya 16 had 64
sijaandika huu uzi kwa lengo la kuharibu biashar ya watu,
nisamehe kwa mwandiko wang kama utawakera
Naona unatumia fursa vizurikuna iphone 7 plus hapa 32 gb bei laki 6 na nusu imetumika only 3 weeks bado mpya kabisa ina warranty 1 yr View attachment 1188545
BiliendaBei kubwa bro huwezi amini mimi nilienda authorised dellers wa i phone posta kwenye duka lao i phone 6s Gb 128 niliambia inaenda hadi laki Tisa na nusu
Wanauza iphone 6 au 5s brand new sio refubrished???Sawa mkuu. Nilielewa toka mwanzo ila labda ni vile sikufafanua zaidi kwenye maelezo yangu. Nichomaanisha ni kwamba hilo duka wanauza original and unrefurbished iphones yaani simu inakuwa ni brand new.
Labda hadi ufike pale ndio unaweza kujiridhisha. Pia badala ya refubrished ni refurbished.Wanauza iphone 6 au 5s brand new sio refubrished???