iPhone za Makumbusho zina nini?

iPhone za Makumbusho zina nini?

Mkuu simu refurbrished sio feki.
Ujue iphone washaacha kuzitoa izo iphone 6 7 8 etc so unazoziona kwenye market nyingi huku mjini ni refurbrished tu ni ngumu sana kuikuta iphone 6 ambayo sio refurbrished kws kuwa iphone walishaacha kuitoa kitamboo.
Nenda wstakupa warranty ya mwaka au miaka miwili ikisumbua utapewa mpya
Kama una force mnoo unataka ambayo sio refurbrished nakushauri sehemu pekee ni apple store mlimani city ambako bei yake hutoiweza kwa sababu nakuskia ukilalamika lalamika bei. Sasa kule wanauza iphone 6 mpaka laki 7 na nusu wakati simu hiohio makumbusho ni laki 4 utaweza????
Ushauri wa bure nenda mlimani city kama huna pesa nenda makumbusho uache kusumbua watu
Hata Ellite Computers waliopo pale Upanga mtaa wa Magore jirani na shule za msingi za Diamond na Olympio wanaziuza orijino.
 
Iphone original zinauzwa karibu kila mahali dar hata hapo makumbusho wanauza iphone original. TunachokiongeleA hapa ni refurbrished au sio.
Umeelewa?
Hata Ellite Computers waliopo pale Upanga mtaa wa Magore jirani na shule za msingi za Diamond na Olympio wanaziuza orijino.
 
Hivi kuna nini cha ziada iphone kuizidi sana Sansung? Nimeuliza kizushi, kwa sababu nilinunua iphone 6 sikudumu nayo nikaiuza.

Tunaoshinda jf wala haifai. Kushinda unabofyabofya haipendi, beteri lake goigoi, halafu ukizima ukaweka chaji, inajiwasha automatic, sasa ndiyo nini!
Lakini ukikuta wenye alosto nazo kusifia!

Uzalendo ulinishinda nikaita dalali.
Tangia hapo nikang'ang'ania samsung mazima kwa sababu wananipatia ninachokitaka.
I phone kuna muda huwa zna mambo za ajabu sana
 
Kama unataka
Habari zenu wanazengo, naombeni kupata ufafanuzi kidogo kuhusu iPhone zinazouzwa madukani makumbusho dar...nilikuwa nataka kununua ila nikafanya utafiti kidogo wengi wakaniambia nenda makumbusho

Ila kabla sijaenda nikatonywa na fundi wang wa simu akasema usiende kule watakupa simu feki, mara wengine wanasema second hand, mara refurbished, mara hazidumu kwa sababu sio orijino.

naombeni mnisaidie jaman nijue kiundani zaidi kama kuna aliyewah kununua na kujua mapunguf ya hzo simu..na pia mnielekeze sehem wanazouza hizi simu original kwa bei ya kawaida maana ni ndoto yangu na mimi kumiliki iphon... iphone 5,5s au 6 zenye storage ya 16 had 64

sijaandika huu uzi kwa lengo la kuharibu biashar ya watu,

nisamehe kwa mwandiko wang kama utawakera
Kama unataka simu mpya kabisa... tafuta hela nenda duka la Iphone mlimani city. Nje ya hapo iphone fake utauziwa popote pale...
 
Hazina shida kabisa mimi nilinunua Samsung S8+ wako sawa na kama unataka nikuunganishe na jamaa wa makumbusho wapo sawa na guaranty juu.
 
Habari zenu wanazengo, naombeni kupata ufafanuzi kidogo kuhusu iPhone zinazouzwa madukani makumbusho dar...nilikuwa nataka kununua ila nikafanya utafiti kidogo wengi wakaniambia nenda makumbusho

Ila kabla sijaenda nikatonywa na fundi wang wa simu akasema usiende kule watakupa simu feki, mara wengine wanasema second hand, mara refurbished, mara hazidumu kwa sababu sio orijino.

naombeni mnisaidie jaman nijue kiundani zaidi kama kuna aliyewah kununua na kujua mapunguf ya hzo simu..na pia mnielekeze sehem wanazouza hizi simu original kwa bei ya kawaida maana ni ndoto yangu na mimi kumiliki iphon... iphone 5,5s au 6 zenye storage ya 16 had 64

sijaandika huu uzi kwa lengo la kuharibu biashar ya watu,

nisamehe kwa mwandiko wang kama utawakera

Refurbished phone ni customer returned phone ambazo sitakuwa zimetoka nje, they are good phones! Ukiishika tu IPhone kama mi fake utauijua, nimetumia iPhone toka nianze kukua bado sijakutana na fake!

Shida moja kubwa ni kama ilivunjika kioo kabadilishwa na cha China hapa hapa bongo, hapo imekula, baada ya mda kitaanza Leta shida, unakitambuaje? Si Cheusi kabisa, kinakuwa kama kina mawingu hivi
 
kichawi vipi, kwa hiyo kama vitu vinauzwa feki ndio asihoji?(ni haki yake)
Usitie watu nidhamu ya uoga ya kuhoji ili wafunge mdomo.

Au wewe mkuu una duka lako huko Makumbusho nini[emoji23][emoji23][emoji23] (kama ndio, acha raia wafunguke tujue mbivu na mbichi)
Uzi umekaa kichawi Sana huu, sasa kama wamekuelekeza zinakopatikana original kwa usiende kununua huko.

iPhone nyingi zinazouzwa bongo ni usied ila sio feki.

Acheni kuharibu biashara za watu walizogharamia kuzitangaza.
 
Huna pesa then unataka Iphone mpya...nyie ndio wale kazi hii sifanyi nawakati huna kazi.
 
Iphone original zinauzwa karibu kila mahali dar hata hapo makumbusho wanauza iphone original. TunachokiongeleA hapa ni refurbrished au sio.
Umeelewa?
Sawa mkuu. Nilielewa toka mwanzo ila labda ni vile sikufafanua zaidi kwenye maelezo yangu. Nilichomaanisha ni kwamba hilo duka wanauza original and unrefurbished iphones yaani simu inakuwa ni brand new.
 
Habari zenu wanazengo, naombeni kupata ufafanuzi kidogo kuhusu iPhone zinazouzwa madukani makumbusho dar...nilikuwa nataka kununua ila nikafanya utafiti kidogo wengi wakaniambia nenda makumbusho

Ila kabla sijaenda nikatonywa na fundi wang wa simu akasema usiende kule watakupa simu feki, mara wengine wanasema second hand, mara refurbished, mara hazidumu kwa sababu sio orijino.

naombeni mnisaidie jaman nijue kiundani zaidi kama kuna aliyewah kununua na kujua mapunguf ya hzo simu..na pia mnielekeze sehem wanazouza hizi simu original kwa bei ya kawaida maana ni ndoto yangu na mimi kumiliki iphon... iphone 5,5s au 6 zenye storage ya 16 had 64

sijaandika huu uzi kwa lengo la kuharibu biashar ya watu,

nisamehe kwa mwandiko wang kama utawakera

Vijana wa makumbusho magumashi sana..niliagizaga note 4 kipindi iko zipo on trend me nipo mkoani..ile simu niliirudisha mara tatu kwa simu tofauti..kila nnayoletewa feki..nikakubali maisha yaendelee na mm nikaja mwachia mtu kwa bei ya hasara..siji nunua simu kwa vijana wa makumbusho.. nipe ela nauza i phone 7 yangu laki tano..gb 128.
 
Sawa mkuu. Nilielewa toka mwanzo ila labda ni vile sikufafanua zaidi kwenye maelezo yangu. Nichomaanisha ni kwamba hilo duka wanauza original and unrefurbished iphones yaani simu inakuwa ni brand new.
Wanauza iphone 6 au 5s brand new sio refubrished???
 
hii mbona kama vita kutoka kwa vijana wa kariakoo na viunga vyake!!maana kwa miaka 2 ijayo makumbusho itakuwa na kila kitu.

suala la simu refub ni la maeneo yote tz,inatokana na ukweli kwamba simu mpya bei hatuziwezi kama zinavyotushinda gari mpya.
 
Back
Top Bottom