Labda hadi ufike pale ndio unaweza kujiridhisha. Pia badala ya refubrished ni refurbished.
750,000 kwa maisha haya ya baba jeska ntaweza kweli, bajet yang haifik huko bosi
Iphone 6, 750k ndio wamepunguza? Wafanye hata 500k bana..
At your bestwanakuja wataaalamu wa Iphone, sisi wa Android ngoja tusome comments [emoji41][emoji41][emoji41]
Habari zenu wanazengo, naombeni kupata ufafanuzi kidogo kuhusu iPhone zinazouzwa madukani makumbusho dar...nilikuwa nataka kununua ila nikafanya utafiti kidogo wengi wakaniambia nenda makumbusho
Ila kabla sijaenda nikatonywa na fundi wang wa simu akasema usiende kule watakupa simu feki, mara wengine wanasema second hand, mara refurbished, mara hazidumu kwa sababu sio orijino.
naombeni mnisaidie jaman nijue kiundani zaidi kama kuna aliyewah kununua na kujua mapunguf ya hzo simu..na pia mnielekeze sehem wanazouza hizi simu original kwa bei ya kawaida maana ni ndoto yangu na mimi kumiliki iphon... iphone 5,5s au 6 zenye storage ya 16 had 64
sijaandika huu uzi kwa lengo la kuharibu biashar ya watu,
nisamehe kwa mwandiko wang kama utawakera
Ina portrait[emoji41][emoji41][emoji41] kwa sisi wa mapicha..kuna iphone 7 plus hapa 32 gb bei laki 6 na nusu imetumika only 3 weeks bado mpya kabisa ina warranty 1 yr View attachment 1188545
Kama ni 6 curve iyo bei ni mbali sana 6+ na 64gb tunaeza fanya nao biashara.Nenda Mlimani City zipo original sema Bei zake zimesimama sana zipo kuanzia iPhone 6 na Bei wamepunguza ni Tshs 750,000 Hawana izi za plus
Safari njema na karibu katika dunia ya iPhone
Ni X max au X curve mkuu ..vip GB zake ni 64, 120 au 256?Mfano iPhone X= 3,885,000 mara ya mwisho kufanya window shoping bei ilikuwa hiyo
Wewe hapa unaonaje??..ndo maana ya kusema bei zimechangamka
So hata hizo 6,7 bei itakuwa juu pia
Kumbe iPhone zipo ambazo ni curvedKama ni 6 curve iyo bei ni mbali sana 6+ na 64gb tunaeza fanya nao biashara.
Hao punga phone ni walewale, waliwahi kuniuzia Sony ericsson fake mpaka leo maduka yao nayaogopa kama ukomaNenda Kariakoo China Plaza, kuna maduka mengi ya IPhone original kama Punga phone na mengine mengi tu, utapata IPhone X, IPhone XS, IPhone XSM na matoleo mengine ya kisasa ZAIDI, achana na used au fake utapoteza pesa yako bure
Mze baba unatumia IPhone au Tekino[emoji3][emoji3]I phone kuna muda huwa zna mambo za ajabu sana
Iphone feki zipo mkuuMakumbusho huko ni refurbished,,mixer second hand..kingine hakuna iPhone fake
Nenda Apple store Mlimani City,bei zimechangamka kuliko kawaida..wewe si umesema unataka original??,,sogea hapo
Hamna iPhone Feki? rudia tena nikuskie...Makumbusho huko ni refurbished,,mixer second hand..kingine hakuna iPhone fake
Nenda Apple store Mlimani City,bei zimechangamka kuliko kawaida..wewe si umesema unataka original??,,sogea hapo
Hamna iPhone Feki? rudia tena nikuskie...Makumbusho huko ni refurbished,,mixer second hand..kingine hakuna iPhone fake
Nenda Apple store Mlimani City,bei zimechangamka kuliko kawaida..wewe si umesema unataka original??,,sogea hapo
nimemwambia Asiongee kwa sauti watu wakamsikia...Iphone feki zipo mkuu
Mze baba unatumia IPhone au Tekino[emoji3][emoji3]