Ipi gari ya kuchukua? Toyota RunX / Allex, IST, Spacio, Raum,Carina

Ipi gari ya kuchukua? Toyota RunX / Allex, IST, Spacio, Raum,Carina

Carina karibia zote zina tatizo la kuvuja injini take care!!! Utajikuta unaendesha ghafla umekaanga injini
Mkuu una ushahidi au umebeba story za vijiweni? Ti engine zake ni A series na kuweka records vizuri Ti zina engine ya 5A hadi 7A! Hizo ni moja wapo ya engine imara, powerful na economical kupata kutengenezwa na Toyota. Binafsi nina Corolla 110 engine ya 5A, tangu iingie Tz mwaka 2011 sijagusa engine zaidi ya kubadilo oil tu.
Na hapo imepiga route za kutosha sana za Dar-Mbeya-Dar, Dar-Kigoma-Dar, Dar-Mtwara-Dar, na Dar-Tanga-Dar. Gari ilikuja na 42000Km, sasa ina 183722km na bado sijagusa kitu. Gari ina namba B. So hiyo dhana ya ubovu umeitoa either kwa rough driver ambaye hayupo makini na service au hata regular car check up za gari hana au ni just hearsays tu.
Kwa mtu asieenda na fashion, Ti is the best beast

Sent from my SM-J700F using Tapatalk
 
mi nisaidieni nichukue ipi kati ya IST, FANCARGO, VITZS, STALET jaman ipi ipo makini kati yahizi
Chukua iST. Ipo stylish kwanza, starlet imekuwa outdated, funcargo ina muonekano hasi sana japo inashare some features na Vitz

Sent from my SM-J700F using Tapatalk
 
Wakuu kuna sifa ninazozisikia juu ya IST new model! Kwanza inasemwa kuwa engine yake ni bora na ya kisasa,pili wanasema ni very economy in term of fuel consumption! Nimeshawishika sana kwa kweli ila pia sifa yake nyingine inayonitisha ni bei yake!! Any add up?
 
Kwa manufaa yangu na wengine. Naomba uilinganishe Carina Ti na Corrolla E 111.
Mkuu achana na vigali vya technology ya kizamani TI ni ushuzi hicho kigari hakina nguvu zaidi ya kuunguruma tu na kula wese
 
Mkuu achana na vigali vya technology ya kizamani TI ni ushuzi hicho kigari hakina nguvu zaidi ya kuunguruma tu na kula wese
Sio kila teknolojia mpya inahitaji kukumbatiwa mzee! Kuna wakati waangalia mazingira na hali halisi. Ndio maana hata baadhi ya taasis wakati Microsoft kaleta Windows 7 na 8, wao walibaki na XP kwa zaidi ya miaka 8. Na sasa ulimwengu unahamia W10, wao wapo W7.
So hiyo gari unayoita ushuzi ni imara kwa badhi ya mazingira kuliko hizo uonazo ni keki.

Sent from my SM-J700F using Tapatalk
 
Sio kila teknolojia mpya inahitaji kukumbatiwa mzee! Kuna wakati waangalia mazingira na hali halisi. Ndio maana hata baadhi ya taasis wakati Microsoft kaleta Windows 7 na 8, wao walibaki na XP kwa zaidi ya miaka 8. Na sasa ulimwengu unahamia W10, wao wapo W7.
So hiyo gari unayoita ushuzi ni imara kwa badhi ya mazingira kuliko hizo uonazo ni keki.

Sent from my SM-J700F using Tapatalk
Acheni uzushi jamani ugumu/ ubora na uimara wa gari ni matunzo na kuijali service, msipende kuwaaminisha watu vitu vilivyopitwa na wakati
 
Back
Top Bottom