Yale mauaji yalitokea kweli mkuu, waliuliwa waistrael kweli japo sio wengi kiasi hicho.But wale hawakuwa wazungu kabisa.
Wale wa sasa huwezi tofautisha mjerumani na huyo muisrael maana wote wanafanana.
Na kama waliishi germany mamiaka huyo Hitler aliwezaje kuwatofaytisha eti awachome milioni 6???? Ndio maana watu wansema zile zilikuwa kamba tu.
Nilimaanisha waliouliwa sio hawa wazungu waliojiita waisrael.Yale mauaji yalitokea kweli mkuu, waliuliwa waistrael kweli japo sio wengi kiasi hicho.
Babu zetu walipata tabu sana! Ajabu leo vitukuu wakitaka kurudi kwa mababu wanazamishwa visiwani na boti zao.
Wayahudi ni semitic yaani watu wa mashariki. Wazungu wengine ni caucasian. Daima Wayahudi huoana wao kwa wao. Wanajulikana kwa sura zao, desturi zao, majina yao na hata dini yao. Zaidi tabia zao. Hitler alikuwa anatukuza Arianism. WaArian ni watu weupe waliotokea kaskazini mwa dunia na kuenea Ulaya. Hizi ni nyakati wa Hyskos nao kutoka Kaskazini wakavamia Misri. Hawa WaArian walifika India pia na kuwaachia lugha ya Sanskrit na alama ambayo Hitler aliitumia, Swastika. Ile alama ni ya WaArian. Alichukia umahiri wa Wayahudi WaSemiti.Hivyo akawafadhaisha hadi kuwaua. Aliwatofautisha kama vile unavyoweza kumtofautisha Mkenya na Mtanzania, Msukuma na Mchagga, Mhausa na Mw-Ibo huko Nigeria.But wale hawakuwa wazungu kabisa.
Wale wa sasa huwezi tofautisha mjerumani na huyo muisrael maana wote wanafanana.
Na kama waliishi germany mamiaka huyo Hitler aliwezaje kuwatofaytisha eti awachome milioni 6???? Ndio maana watu wansema zile zilikuwa kamba tu.
Samahani.. Nauliza huu mlima Moria ni sehemu gani kwa sasa?Ni kama vile Mkwawa hajui kama hapa Tanzania kila mwaka tuna siku ya Mashujaa na tunamkumbuka yeye kama mmoja wa mashujaa wa "Kalenga".Ohh, hapana Tanzania ingawa haijui Tanzania.
Hata hivyo Ibrahimu alimjua MUNGU wake ambaye kwa jina lake Yahweh alikuwa hajajulikana bado (Rejea wito wa Mussa Kut 3). Walikuwa na uhusiano mkubwa sana. Mungu alimwita Ibrahimu "rafiki yangu". Walizungumza sauti kwa sauti na hata kwa ndoto (Mwa 13, 15 na 18). Isaka hakumjua Mungu wa baba yake vipi? Walikuwa wote katika mlima Moria akiwa tayari kuchinjwa sadaka (Mwa 21-22). Aliwabariki wanae kwa Jina la Mungu wa Ibrahimu baba yake ( Mwa 27).
Watu gani hawana nchi duniani nyambafuWala sio nchi yao hyo. Hawana nchi
Next time nitakupatia simu nyingine achana na habari za samsung zinakula sana chaji mkuuNilitaka kuwaletea ukweli hapa sema battery low
Samahani.. Nauliza huu mlima Moria ni sehemu gani kwa sasa?
Mlima Moria upo Yerusalem katika eneo la uwanja wa hekalu pembezoni walipojenga Msikiti wa Al Aqsa ama " Dome on the Rock". Wanaita wengine "temple mount."Samahani.. Nauliza huu mlima Moria ni sehemu gani kwa sasa?
Shukrani Mkuu..Mlima Moria upo Yerusalem katika eneo la uwanja wa hekalu pembezoni walipojenga Msikiti wa Al Aqsa ama " Dome on the Rock". Wanaita wengine "temple mount."