Ipi ili kuwa habari ya kweli juu ya jamaa hawa wawili, nchini Kenya?

Anthony horowitz

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2024
Posts
421
Reaction score
1,042
Nakumbuka zili zuka habari na minong'ono mingi ya mabwana hawa wawili.

Ghafla waka pewa cheo cha Uaskari, mara tafrija zisizo eleweka.

Skendo za raisi wa kipindi kile, sijui mwanae au mkewe naye yumo. Mpinzani akadai mamluki wamefika.

Je nani aweza sema kitu juu ya lipi lilikuwa lengo lao hasa.

 
Takataka TU






KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mohamed ally wa jicho pevu amewazungumzia hao jamaa krt makala yake kuhusu madawa ya kulevya kenya
 
Mohamed ally wa jicho pevu amewazungumzia hao jamaa krt makala yake kuhusu madawa ya kulevya kenya
Nili kutana na mkenya fulani, ndo akawa ana Nipa story zao.

Ana sema wali kuja kufata mzigo wao ulio kamatwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…