Ipi ilikuwa sababu ya kuachana na uliempenda sana?


(1) alinidanganya bikra
(2) alisema mimi kibamia
 
Safi sana wakishakuwa wajanja ni wasumbufu balaaa
 
1.Alinihadaa mimi yule kaka nakuja kugundua wiki inayofuata anaoa ๐Ÿ˜‚ nililia kilio cha kenge kichaa.....na ilikua mwisho kulizwa na kiumbe hai
poo' uliniweza Baba๐Ÿ™Œ๐Ÿฟ๐Ÿ˜‚
Nisamehe mayi.. nimekumic mayi๐Ÿ™
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ