Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Aaah sawa nitakuwa nimekufananishahapana sio mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah sawa nitakuwa nimekufananishahapana sio mimi
Salaam,
Kupitia mada hii tutashare sababu mbali mbali zilizotutenga mbali na tuliowapenda sana.
1: ALINIDANGANYA BIKRA
Huyu mrembo alinisubirisha sana, alinambia hajawahi anaogopa hivo kama nampenda niwe mvumilivu, nilivumilia but siku amenipa tunda, sikuona dalili yoyote ya bikra nikatemana naye juu kwa juu.
2. ALIKOSEA TXT
Alituma txt "Sijawahi kunyonya dudu labda ntajaribu" akati kwangu hunyonya daily, sikumtafuta badae akapiga anasema rafikie aliazima sim kuwasiliana na mtu wake but kuna txt kakosea katuma kwako, nilimwambia sawa hii ndo tamati yetu nikakata simu, aliendelea kunitafta bt sikuwahi kumjibu na huo ndo ukawa mwisho wetu.
Na ile mihasira yako ya hovyo kama mtu mwenye majini imeisha?huyo aliyekuacha ni yule chalii wa TIA?Alisema napenda sana kujidekeza na kubembelezwa
Eti wadau hii nayo ni sababu ya kuacha mtu kweli?
Pole mkuu, tabia ya kutoa kasoro uumbaji si nzuri japo tunaipenda sana.aliniambia amenivumilia sana nirefuke , akaona sirefuki
Aisee I'd zingine Me kutumia ni Aibu mkuu!utakuwa kweli sawa na mama yangu!Mamako hakukwambia?
Alikudanganya nini?Sijaachwa mimi ndio nilimuacha sababu alinidanganya..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Alisema napenda sana kujidekeza na kubembelezwa
Eti wadau hii nayo ni sababu ya kuacha mtu kweli?
Hawakosi sababu ila hii haikuwa na mashiko 🤣Alisema napenda sana kujidekeza na kubembelezwa
Eti wadau hii nayo ni sababu ya kuacha mtu kweli?
Safi sana wakishakuwa wajanja ni wasumbufu balaaa1.Tulifikia hatua ya posa kabisa ila alipoonyesha dharau kwa washenga, nikatoka nduki. (Maswala ya mila na tamaduni zao ilikuwa sababu )
2. Alianza kutongozana na Baba angu mdogo. Nikaona isiwe kesi nikazima data.
3. Dharau tu, miadi ya saa 7 yeye anafika saa9 pasina kutoa udhuru.
(Nikajipatia mhehe wangu mshamba mshamba nikaweka ndani. Nakula raha za elimu akhera)
Nisamehe mayi.. nimekumic mayi🙏1.Alinihadaa mimi yule kaka nakuja kugundua wiki inayofuata anaoa 😂 nililia kilio cha kenge kichaa.....na ilikua mwisho kulizwa na kiumbe hai
poo' uliniweza Baba🙌🏿😂
MmmhNisamehe mayi.. nimekumic mayi🙏
Mamako hakukwambia?
Pole sana Cocastic. Finish to kiss those frogs kisha tuoane.Mchumba ake mwingne, akamshinikiza aniache mie.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Utanitag mkuuKisa natumia jf, nitakuja na ichi kisa na sababu zake.