Ipi ilikuwa sababu ya kuachana na uliempenda sana?

Ipi ilikuwa sababu ya kuachana na uliempenda sana?

Salaam,

Kupitia mada hii tutashare sababu mbali mbali zilizotutenga mbali na tuliowapenda sana.

1: ALINIDANGANYA BIKRA
Huyu mrembo alinisubirisha sana, alinambia hajawahi anaogopa hivo kama nampenda niwe mvumilivu, nilivumilia but siku amenipa tunda, sikuona dalili yoyote ya bikra nikatemana naye juu kwa juu.

2. ALIKOSEA TXT
Alituma txt "Sijawahi kunyonya dudu labda ntajaribu" akati kwangu hunyonya daily, sikumtafuta badae akapiga anasema rafikie aliazima sim kuwasiliana na mtu wake but kuna txt kakosea katuma kwako, nilimwambia sawa hii ndo tamati yetu nikakata simu, aliendelea kunitafta bt sikuwahi kumjibu na huo ndo ukawa mwisho wetu.
Hilo la kukosea text nimecheka sana
 
Kam kilichomtoa kwake ni kuja kubembelezwa na aendee tu kwa hao wanaobelembeleza.....wanaume tuna kazi nyingi za kufanya
Mkuu ujue kila kitu kina protocal zake hivo kutozifuata kunaweza kukufanya ukawa unapigwa na vitu vizito daily.
 
Alisepa na kwenda kwa mwalimu
Baadae wakaachana
Now ananiita kaka, na vihela yya hapa na pale ananiomba, wakati alinitamkiaga kuwa najiona nina hela kumbe sina kitu.
Ke baadhi🙌
 
Aliniambia yeye ni mzuli sana kwamba ananivumilia tu!. kwani Kuna watu wenye pesa na magari wanamtongoza na kumtaka kila siku .

Ili kumwonyesha kwamba Mimi ni mwanaume ninayetaka mwanamke siyo mwanamke mzuli nikamwambia aende huko kwa hao wenye pesa na asinitafute tena.

Ndo nilivyompiga chini hivyo
 
Back
Top Bottom