Salaam,
Kupitia mada hii tutashare sababu mbali mbali zilizotutenga mbali na tuliowapenda sana.
1: ALINIDANGANYA BIKRA
Huyu mrembo alinisubirisha sana, alinambia hajawahi anaogopa hivo kama nampenda niwe mvumilivu, nilivumilia but siku amenipa tunda, sikuona dalili yoyote ya bikra nikatemana naye juu kwa juu.
2. ALIKOSEA TXT
Alituma txt "Sijawahi kunyonya dudu labda ntajaribu" akati kwangu hunyonya daily, sikumtafuta badae akapiga anasema rafikie aliazima sim kuwasiliana na mtu wake but kuna txt kakosea katuma kwako, nilimwambia sawa hii ndo tamati yetu nikakata simu, aliendelea kunitafta bt sikuwahi kumjibu na huo ndo ukawa mwisho wetu.