ZEE LA HEKIMA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 1,420
- 1,842
Laki na nusu bhana sio elfu 1010000
Mmezoea kuibiwa, tigo ni 10000 tu, mitandao mengine ni bure kabisaLaki na nusu bhana sio elfu 10
Sio tumezoea kuibiwa hio ndio bei ya laini ya MpesaMmezoea kuibiwa, tigo ni 10000 tu, mitandao mengine ni bure kabisa
Unapitia njia gani kuipata? Tuanzie hapo kwanzaSio tumezoea kuibiwa hio ndio bei ya laini ya Mpesa
Hizi risk zilishawahi kunikumba, dogo niliyemuweka dukani alivamiwa na majizi yenye silaha na kumpokonya cash yote pamoja na simu mbili zenye tilly,Nikusaidia kidogo, risk za M-PESA ni kwamba
1. Wahudumu wa M-PESA toka Vodacom wengi wao ni wezi, hivyo wakati wa kutoa commissiob mwisho wa mwezi huwa wanakuibia sana...hata uwe makini vipi wao wanaweza wakaweka ukaiona SMS alafu wanaitoa hiyo commission bila kuleta SMS na huwezi gundua.
2. Biashara hii inawindwa sana na majambazi, fuatilia matukio yake....unaweza kuuawa kwa shilingi laki 2 mbili. Wanakuja kukuvamia....jilinde kiusalama
3. Mtoa huduma utakayempatia laini akusaidie anaweza kukuibia au akatokomea na pesa zako kusiko julikana
4. Hii biashara inabidi umuelimishe mkeo sana kuhusu biashara hiyo...maana utakuta mwenzio anaona una pesa nyingi hivyo kuamua kufanya matumizi yasiyo yalazima hatimae mtaji ukaisha
5. Nasisitiza tena wizi wa pesa mtandaoni unafanywa na wahudumu wa M-PESA/Tigo pesa etc...hapa ndio panawavunja sana moyo agent wengi....yaani unaweza ukafanya miamala mingi sana kwa mwezi lakini ikija kwenye malipo ya commission utashangaa...uwe muelewa sana wa biashara hii ya pesa nakusihi sana!
Wadau,
Naomba kwa wale wenye uzoefu wanipe uzoefu wao nina millioni nane nataka kuanzisha kimoja wapo ya vitu vitatu Restaurant, M Pesa. Na duka la rejareja, ikiwezekana viduka vya rejareja viwili kila kiduka kichukue milioni nne.
Ushauri wenu tafadhali
Biashara inayolipa mkuu ni ya vyakula hayo mambo ya Mpesa matapeli wengi ukipata kuibiwa siku moja unaweza kuvunja Mtaji wote lakin Restaurant ukipatia Location nzuri hasa maeneo karibu na Vyuo vikuu au Ofisi Ofisi au Karibu na Soko Kubwa mkuu huwa inalipa sana!!Wadau,
Naomba kwa wale wenye uzoefu wanipe uzoefu wao nina millioni nane nataka kuanzisha kimoja wapo ya vitu vitatu Restaurant, M Pesa. Na duka la rejareja, ikiwezekana viduka vya rejareja viwili kila kiduka kichukue milioni nne.
Ushauri wenu tafadhali
Kama ulikuwa kichwani mwangu yaani,nimegundua hilo na hilo.limenipa wasi hadi nikaanziha uzi kwani nimeona restarant hata muhudumu akiiba hawezi kuiba mtaji lakini Mpesa anaweza akakupiga mtaji within a dayBiashara inayolipa mkuu ni ya vyakula hayo mambo ya Mpesa matapeli wengi ukipata kuibiwa siku moja unaweza kuvunja Mtaji wote lakin Restaurant ukipatia Location nzuri hasa maeneo karibu na Vyuo vikuu au Ofisi Ofisi au Karibu na Soko Kubwa mkuu huwa inalipa sana!!
Mkuu iyo point, unasemaje mpesa ni risk while mtaji uko nao mkononi? Kama ni usalama watu wangapi wanatembea na hizo laki nane mpaka million at once?Unariski vp na ile ni biashara pesa kwa pesa? Biashara ikibuma unaondoka na mtaji wako unaangalia mambo mengine, restaurant, biashara ya viduka vya reja reja ndo pasua kichwa mkuu. All in all location ndo matter
Wadau,
Naomba kwa wale wenye uzoefu wanipe uzoefu wao nina millioni nane nataka kuanzisha kimoja wapo ya vitu vitatu Restaurant, M Pesa. Na duka la rejareja, ikiwezekana viduka vya rejareja viwili kila kiduka kichukue milioni nne.
Ushauri wenu tafadhali
We peke yako ndo ulichangia ujinga katika uzi huu...sijui unajisikiaje wenzio wanatema nondo za maendeleo we unaleta ujingaMiradi yote hiyo / Biashara zote hizo zinafaa Mkuu ila ukiwekeza zaidi katika ' Kuteka ' Watu hasa ' Wasanii ' na ' Wanasiasa ' utapiga ' Pesa ' ndefu sana.