Ipi inalipa kati ya Reustarant na M Pesa?

Ipi inalipa kati ya Reustarant na M Pesa?

Mkuu faida katika hizo biashara zitatofautiana kutokana na mazingira,biashara zote zinalipa ila location tuu ndo ya kuzingatia,but tukizichambua interms of risk m pesa inaongoza kwa risk but vinginevyo eneo ulilopo ndo litadertamine ufungue biashara gsni kati ya hizo.
Kweli kabisa. Angalia sehemu yenyw mzunguko wa pesa (mazingira) biashara ya restaurant inauzika since watu wanahitaji kula,lakini uwaandalie chakula kizuri. Hata Kama utakuwa na sehemu nzuri chakula kibovu watu wataishia kunywa soda na kufata kivuli tu jua likuwa Kali.

M pesa inalipa lakini uwe umejiandaa li saikolojia usumbufu mtandao (siku nzima mtandao haufanyi kazi),wizi mtandaoni na wizi wa kuvamiwa now days it emerg maduka ya pesa mtandao kuvamiwa.

3. Maduka ya reja reja nayo sio mbaya tunarudi pale pale mazingira,.

Kila la kheri na mafanikio mema.ikiwezekana katika M8 naomba elfu 10 moja. (I'm kidding)
 
Ntaenda na experience za wengine wakishusha hapa chini tujifunze
 
kuna kitu wanauta fixed assets,meza,viti,vyombo vinaweza kuchkua ata 2.5-3 m kutegemeana na ubira unaoutaka....kuna tra,tfda na ushuru mwngne wa manispaa...so mtaji ulionao apo ni 5 m I! u are lucky.

Kuhus mpesa kwanza biashara is solely based on location...ukikaa sehem yenye watu wengi utapata faida nzuri(ata ivyo maeneo yenye pooulation kubwa kodi huanzia lak 2-3 kutegemea na mkoa kwa mwezi,miez 6.ila risk kubwa ni ujambaz ambao wakikubahatisha wanabeba mpaka nalain....

So binafsi nakushaur upate hesabu sahihi zabiashara unayotaka kufanya il uwe kwenye nafasi nzuri yakuamua
 
Kweli kabisa. Angalia sehemu yenyw mzunguko wa pesa (mazingira) biashara ya restaurant inauzika since watu wanahitaji kula,lakini uwaandalie chakula kizuri. Hata Kama utakuwa na sehemu nzuri chakula kibovu watu wataishia kunywa soda na kufata kivuli tu jua likuwa Kali.

M pesa inalipa lakini uwe umejiandaa li saikolojia usumbufu mtandao (siku nzima mtandao haufanyi kazi),wizi mtandaoni na wizi wa kuvamiwa now days it emerg maduka ya pesa mtandao kuvamiwa.

3. Maduka ya reja reja nayo sio mbaya tunarudi pale pale mazingira,.

Kila la kheri na mafanikio mema.ikiwezekana katika M8 naomba elfu 10 moja. (I'm kidding)
Ahahhahha,dah wakati wa magufuli huu watu wachungu.Buku kumi ndefu now [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Ahahhahha,dah wakati wa magufuli huu watu wachungu.Buku kumi ndefu now [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Ha ha ha ha. Ila kweli kumi nyingi Sana Noe days,but Nmemalizia I'm kidding tho jamani. Not serious.
 
kuna kitu wanauta fixed assets,meza,viti,vyombo vinaweza kuchkua ata 2.5-3 m kutegemeana na ubira unaoutaka....kuna tra,tfda na ushuru mwngne wa manispaa...so mtaji ulionao apo ni 5 m I! u are lucky.

Kuhus mpesa kwanza biashara is solely based on location...ukikaa sehem yenye watu wengi utapata faida nzuri(ata ivyo maeneo yenye pooulation kubwa kodi huanzia lak 2-3 kutegemea na mkoa kwa mwezi,miez 6.ila risk kubwa ni ujambaz ambao wakikubahatisha wanabeba mpaka nalain....

So binafsi nakushaur upate hesabu sahihi zabiashara unayotaka kufanya il uwe kwenye nafasi nzuri yakuamua
Ok amina
 
Fungua mgahawa lakini uhakikishe vigezo na masharti vinazingatiwa. Pia ukumbuke usafi, bei ambayo wenyeji wa eneo hilo wata afford, vyakula vyenye ladha, nakushauri uweke vyakula vya mchemsho usiweke mafuta maana wateja wengi siku hizi hawahusudu kula mafuta mengi, ukarimu, unadhifu wa wahudumu, eneo la jikoni liwe safi muda wote. Mwisho jitahidi uwe wa kwanza kufungua biashara yako asubuhi sana na uwe wa mwisho kufunga usiku
Ukumbuke na mambo ya faragha (siri) za wateja wako, sio mtu kapita hapo na mke au mume wa mtu kamnunulia ki juice halafu mnamtangaza!!!

Humu ndani nawapendea kitu kimoja......kwenye mambo ya maana kama haya mnatoa ushauri mzuri sana na wengine tuna jifunza humu humu...
ila mkiamua siku nyingine mna mpa mtu za usoo....
 
Mpaka hapo utakuwa ushajua nn cha kufanya cheza na mazingira tuu sasa.
Ungekuwa huku mgodini ungenunua mtungi wa kusaga mawe kwa miez 6 hukosi mil 10 hadi 20 kutegemeana ba bidii yako
 
Da,nashukuru na nimebiwa sana kuhusu hilii.
Napenda nianzishe kitu ambacho hata mtu akiiba leo mtaji upo.

Lakini M pesa inaonekana mtu anaweza akaiba pesa yote ya mtaji.Na suala hili nilishawahi kumbiwa.
Yaan mtu nawezaje kumpa milioni mbili aende nazo kufanya biashara wakati huo najua presha itapanda na kushuka ingekuwa nakwenda mwenyewe sawa lakini mimi ni mfanyakazi so lazima niajiri mtu
Kibaya kingine... unayempa kazi kwenye kibanda chake unakuta naye anafanya biashara hiyohiyo.... anatumia line yake kufanya miamala... we unaona biashara haiendi
 
Mkuu faida katika hizo biashara zitatofautiana kutokana na mazingira,biashara zote zinalipa ila location tuu ndo ya kuzingatia,but tukizichambua interms of risk m pesa inaongoza kwa risk but vinginevyo eneo ulilopo ndo litadertamine ufungue biashara gsni kati ya hizo.
Unariski vp na ile ni biashara pesa kwa pesa? Biashara ikibuma unaondoka na mtaji wako unaangalia mambo mengine, restaurant, biashara ya viduka vya reja reja ndo pasua kichwa mkuu. All in all location ndo matter
 
Wadau,

Naomba kwa wale wenye uzoefu wanipe uzoefu wao nina millioni nane nataka kuanzisha kimoja wapo ya vitu vitatu Restaurant, M Pesa. Na duka la rejareja, ikiwezekana viduka vya rejareja viwili kila kiduka kichukue milioni nne.

Ushauri wenu tafadhali

Miradi yote hiyo / Biashara zote hizo zinafaa Mkuu ila ukiwekeza zaidi katika ' Kuteka ' Watu hasa ' Wasanii ' na ' Wanasiasa ' utapiga ' Pesa ' ndefu sana.
 
Back
Top Bottom