Nenda location kafanye mambo, acha kusaka mawazo mawazo humu, hekima ya kimungu ikuongoze, mda mwingine hizi fomula za havad hazifanyi sana kazi kwenye mazingira ya kibongo, watu wamejaza sana nadharia kichwani kuliko uhalisia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.