Mndali ndanyelakakomu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2016
- 13,998
- 31,757
Nimesoma mpaka PhD hewa nikarudia nikuazima cheti ila majibu ya swali lako nimekosa nimechukia maana umenipotezea mda kusomea kisicho na majibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaumiaje ukimkuta dadako na mtu? Usitake kunifanya nikufikirie vingine! Ninamashaka na wewe.Habari wanajukwaa, kama title inavyojieleza, ipi ukikutana nayo hapo juu inakuumiza sana katika maisha yako ?
Karibuni sana tupeane mawazo.
Usichafue ustaarabu.
Kwahiyo umri wangu bado?, umejuaje kama sijaoa ukhuty?Makubwa nayo haya mm nangojea umri wako uende ili ujaaliwe kupata mke naamini siku utakayomkuta mkeo na mwanaume mwengine na dada ako utakapomwa na mwanaume yup atakuuma zaid nangojea mrejesho kutoka kwako mleta uzi
Yeyeto aliyeoa hawezi uliza swali ulilouliza wew ukitaka kujuwa we nye ndoa humu angalia majibu yao overKwahiyo umri wangu bado?, umejuaje kama sijaoa ukhuty?
ningekuwa mwanaume ingekuwa bora nimuone dada na mwanaumeMrs joanah unauliza swali juu ya swali, huu ni mjadala wa ushauri, hebu ww toa hoja yako.
Hahahaha una moyo wa kishujaaKhaa we nawe sasa dadaako ulitegemea awe mtawa ama,we unadhani na yy hahitaji kupata mautamu unayowapa dada za wenzako,mimi dadaaangu hawezi niuma sababu najua lazima ataliwa tu vyovyote iwavyo.hata nimkute na nani alimradi tu huyo bashaake haniletei dharau.
Nimeahirisha na staki tenaOngeza jitihada
Una miaka mingapi?Habari wanajukwaa, kama title inavyojieleza, ipi ukikutana nayo hapo juu inakuumiza sana katika maisha yako ?
Karibuni sana tupeane mawazo.
Usichafue ustaarabu.
Karagabaho sibishani na ww mimHoja dhaifu