TIASSA
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 2,926
- 3,530
Wasalaam wandugu.
Kumekuwa na mjadala siku nyingi kuhusu lugha gani hasa Hapa Tanzania itumike kujifunzia mashuleni hadi vyuoni, hapo kuna aina mbili za mawazo.
Walewanao sema kiswahili kitumike wanasema hivi..
1. Wanafunzi mashuleni wamekuwa wakifeli kutokana na kutoelewa lugha ya Kiingereza vizuri. Na kwamba mtu anapofundiswa kwa lugha mama ni rahisi zaidi kuelewa.
2. Kiswahili ni lugha ya taifa, NCHI mbali mbali kwa mfano china urusi wamekuwa wakitumia lugha zao wenyewe kujifuzia kwahiyo ni vyema Tz nayo ikatumia lugha yake ya kiswahili.
(3) kutumika kwa kiswahili kama lugha ya kujifunzia, kutakiendeleza kiswahili na kukifanya kuwa lugha bora zaidi. Mfano kutaongezeka misamiati na pia watumiaji wa lugha wataongeza. Kwakuwa wale wageni watakao kujakusoma nchini watajifunza kwa kiswahili.
Wale wanaosema Kiingerezaa wanasema hivi.
(1) Kiswahili bado hakina misamiati mingi ya kisayansi.
(2) Kiingereza kinatumika zaidi dunia asilimia 99% YA biashara zote duniani hufanywa kwa Kiingerezaa.
(3) Kiingereza kinawatumiaji wengi zaidi duniani karibu 70% ya watu wote duniani wanatumia Kiingereza
(4) Kiingereza kikitumika kufundishi haita kipoteza kiswahili bali kiswahili kikitumika kitakipoteza Kiingerezaa.
(5) kutafsiri material yote ya Kiingereza kwenda kiswahili ni gharama kubwa
nini mawazo yako kuhusu ipi lugha sahihi ya kufundishia kati ya kiswahili na Kiingereza.?
Kumekuwa na mjadala siku nyingi kuhusu lugha gani hasa Hapa Tanzania itumike kujifunzia mashuleni hadi vyuoni, hapo kuna aina mbili za mawazo.
Walewanao sema kiswahili kitumike wanasema hivi..
1. Wanafunzi mashuleni wamekuwa wakifeli kutokana na kutoelewa lugha ya Kiingereza vizuri. Na kwamba mtu anapofundiswa kwa lugha mama ni rahisi zaidi kuelewa.
2. Kiswahili ni lugha ya taifa, NCHI mbali mbali kwa mfano china urusi wamekuwa wakitumia lugha zao wenyewe kujifuzia kwahiyo ni vyema Tz nayo ikatumia lugha yake ya kiswahili.
(3) kutumika kwa kiswahili kama lugha ya kujifunzia, kutakiendeleza kiswahili na kukifanya kuwa lugha bora zaidi. Mfano kutaongezeka misamiati na pia watumiaji wa lugha wataongeza. Kwakuwa wale wageni watakao kujakusoma nchini watajifunza kwa kiswahili.
Wale wanaosema Kiingerezaa wanasema hivi.
(1) Kiswahili bado hakina misamiati mingi ya kisayansi.
(2) Kiingereza kinatumika zaidi dunia asilimia 99% YA biashara zote duniani hufanywa kwa Kiingerezaa.
(3) Kiingereza kinawatumiaji wengi zaidi duniani karibu 70% ya watu wote duniani wanatumia Kiingereza
(4) Kiingereza kikitumika kufundishi haita kipoteza kiswahili bali kiswahili kikitumika kitakipoteza Kiingerezaa.
(5) kutafsiri material yote ya Kiingereza kwenda kiswahili ni gharama kubwa
nini mawazo yako kuhusu ipi lugha sahihi ya kufundishia kati ya kiswahili na Kiingereza.?