Topic zongine huwa ni Rubbish [emoji1005]
Huwezi pinga miundombinu ambayo inakuja kuongeza kasi ya ukuaji wa uchumi kwa taifa zima,huku ikiomgeza soko kwa Bandari yetu kuu ya Dar es Salaam.
Kama nchi lazima tuwe na vipaumnele ambavyo ni positive in long future economic!
Hiyo hela itakayozalishwa huko ndio itakuja kuanzisha na kusambaza miradi ya maji kwa wakati mwingine kama kipaumbele cha wakati huo.
Naona kama unamtafita Magufuli kiaina!
Maana nyingi bila Magufuli hakuna mnaloweza waza nje ya Box!