Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hasa utajiri kupitia kujiajiliUnazungumzia utajiri au hela ya kula.
Vipi kuhusu soko kwa hapa Tanzania kwasababu wengi wanasema kwaya Tanzania soko bdo sio kubwa sanDeveloper, ila uwe mbunifu
Soko la Teknolojia halina mipaka mkuu.Vipi kuhusu soko kwa hapa Tanzania kwasababu wengi wanasema kwaya Tanzania soko bdo sio kubwa san
Nikwel kabsa mkuu kwa ulicho kizungumza kikubwa ni kuwa na ubunifu mkubwa na unao gusa maisha ya kila sikuSoko la Teknolojia halina mipaka mkuu.
Jikite kwenye kutatua changamoto za taasisi, wafanyabiashara, wajasiliamali, wakulima n.k
Mfano, kuna watu waliona fursa kwa wafanyabiashara wakatengeneza application za kutoa risti na wanatoza zaidi ya USD 20 kwa mwaka kwa kila mtu.
Huyu mtu kama ana active users 5000 maana yake anaingiza USD 100K kwa mwaka.View attachment 3210810
🤣🤣 Kwa hyo mbali na hapo.....cyber security labda uwe muhalifu
Kwa huku bongo utaishia kupata kamshaara kanono ila siyo kutajirika, ila kwenye software development kama utakua innovator mzuri you can break the barrier.🤣🤣 Kwa hyo mbali na hapo.....
Shukran bro Nmekupata vzurKwa huku bongo utaishia kupata kamshaara kanono ila siyo kutajirika, ila kwenye software development kama utakua innovator mzuri you can break the barrier.
Vilele hata ukiwa good developer, kama sio creative bado hutoweza kuwa tajiri.