Ipi ni channel yako pendwa ya YouTube na ni kwanini?

Ipi ni channel yako pendwa ya YouTube na ni kwanini?

Safi mkuu nimekubali Sana.. No 1, 2 na 6 nilitegemea niyaone kwako.
Asante mkuu. Mimi muda wangu nautumia kusoma hizo taarifa na nikimaliza natazama video zake YouTube.

Napenda vita kwa kuwa ndiyo issue yangu ya kwanza niliyoielewa kimataifa. Mwaka 2007 nilikuwa nasikiliza sana DW kina H. Amidou walikuwa wanamsema Osama kila siku. Mwaka 2008 kulikuwa na vita ya Georgia na Russia nikawa nasoma na kusikia. Mwaka huo baba mdogo akatutembelea alipotaka kwenda Middle East kijeshi. First exposure yangu ya habari za kimataifa ni vita na mapigano.
 
1. Lewis wa unboxtherapy is the best...
2. Jerryrigeverything
3. LinusTechtips
4. Slowmo guys [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Others, mkbhd, techmeout
Jerryrig ana balaa , smartphone mpya kabisa inachakazwa !! Sijui anatoaga wapi ujasiri ule
 
-kwa gadget ni huyu MKBHD nyoko Sana huyu
-Pia nikiwa bored naenda kwa prince nipate motivation.
-kwasababu napenda geopolitics nawakubali Sana vox & vice news hasa uchambuzi wao juu ya mashariki ya kati.
 
-kwa gadget ni huyu MKBHD nyoko Sana huyu
-Pia nikiwa bored naenda kwa prince nipate motivation.
-kwasababu napenda geopolitics nawakubali Sana vox & vice news hasa uchambuzi wao juu ya mashariki ya kati.
Channel zingine nnazozipenda

1. Vox uwa wana kipindi kinaitwa explained (episode nyingi ziko netflix)
2. Loopers (review za movie kabla ya kuziangalia)
3. Dr. Eric Berg (weight loss na maswala ya misosi)
4. Jubilee (tea for two) [emoji91][emoji91][emoji91]
5. Alux (motivation)
6. Zefrank1 (funny)
7. Key and Peele ([emoji1787][emoji1787][emoji1787])
 
RDBLA kwa wapenda magari
Cassidy Campbell kwa comedy jamaa balaaa
Daily Dose of Internet
Potato Jet kwa film making
 
Asante mkuu. Mimi muda wangu nautumia kusoma hizo taarifa na nikimaliza natazama video zake YouTube.

Napenda vita kwa kuwa ndiyo issue yangu ya kwanza niliyoielewa kimataifa. Mwaka 2007 nilikuwa nasikiliza sana DW kina H. Amidou walikuwa wanamsema Osama kila siku. Mwaka 2008 kulikuwa na vita ya Georgia na Russia nikawa nasoma na kusikia. Mwaka huo baba mdogo akatutembelea alipotaka kwenda Middle East kijeshi. First exposure yangu ya habari za kimataifa ni vita na mapigano.
Sawa kabisa ila hao jamaa Lockheed Martin kiukweli nawakubali mno.
 
Onherbike- Ni mdada mmoja anaitwa Kinga raia wa Australia,aliondoka Australia toka 2017 to date akizunguka na pikipiki BMW yenye 800cc alishapita na hapa Tanzania,hua anarusha episode zake na sipitishi siku bila kufungua hiyo
 
Nataka nifungue channel ya YouTube ila sijui niweke content gani? Mnisaidie wandugu?
 
Onherbike- Ni mdada mmoja anaitwa Kinga raia wa Australia,aliondoka Australia toka 2017 to date akizunguka na pikipiki MBW yenye 800cc alishapita na hapa Tanzania,hua anarusha episode zake na sipitishi siku bila kufungua hiyo
Kama unapenda channel za aina iyo kuna
1. The road chose me
2. Drew Binsky
3. Wode Maya
 
Throttle house
DK Berg
apostate prophet
acts17 apologetic
hoovies garage
Doug demuro
Scotty Kilmer
TED
 
hakuna anayepoteza hela nyingi youtube nzima kama Mr Beast
Anapataga wapi hela zake, maana niliona alimlipia hela nyingi pewdiepie matangazo kwenye billboard za timesquare newyork wakati anashindana kupata subscriber wengi na ile channel ya india
 
Anapataga wapi hela zake, maana niliona alimlipia hela nyingi pewdiepie matangazo kwenye billboard za timesquare newyork wakati anashindana kupata subscriber wengi na ile channel ya india
anapata kupitia views na ads.
kuna jamaa walicalculate wakaona anaweza kuingiza $2M per month.
Ndomana kila month anaspend zaidi ya $1M kwenye content zake
 
Back
Top Bottom