Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Nadhani zinatofautiana additives ila zote zina ubora mzuri tu na ndio maana sokoni zinakamata wateja kwa wingi. Zinatofautiana specifications kidogo sana.....
Kila gari ina recommendations zake. German's nyingi wana recommend Castrol ila Japanese inapiga zote.
Kikubwa hapo ni namba tu mfano: 5W30
total zinatumika Sana Kwenye Toyota alafu bei yake IPO chini kidogo tofauti na Castrol oil ingawa zote zinafanana
Hayo mengine maneno ya kibiashara, ila kikubwa angalia user manual ya gari yako ujue watashauri utumie oil ipi?
Changamoto kubwa ambazo madereva wa Tanzania wanakutana nazo katika ishu ya oil wala siyo ishu za ni kampuni ipi inazalisha oil bora zaidi bali ni hizi changamoto kuu mbili:
1.Kuweka oil kwenye gari ambayo viscosity yake haijawa recommended na manufacturer,mfano kwenye gari ya IST manufacturer amerecommend iwekwe oil yenye viscosity ya 5W30 lakini mtu anaweka oil ya tractor(SAE40) kwa sababu inauzwa bei rahisi.Hii kitu huua engine haraka mno!
2.Kuweka oil ambayo viscosity yake ni recommended na manufacturer lakini ni oil fake.Oil zinazouzwa madukani hapa Tanzania asilimia 90 ni fake.Hili nalo huua engine haraka mno.
Hpn inategemeana wanasema Castrol oil inatembea mail nyingi ukikinganisha na total mfano Kama unatembea Kim elf 3000 bas hyo Castrol oil inafika elf 5000
Ina Viscosity nyingi.CASTROL
Uhakika ni kwenda kwenye vituo vikubwa vya mafuta kama vile Total,etc au nenda kwenye ofisi za Toyota Tanzania.Kampuni ya Toyota huwa ina mawakala/wawakilishi wake Tanzania(Hivi kuna Nissan Tanzania?,Honda Tanzania pia?)Ukitaka upate OG kwa hapa DSM wapi ni uhakika mkuu??
🤣🤣🤣Nimecheka sana!Ina Viscosity nyingi.
Uhakika ni kwenda kwenye vituo vikubwa vya mafuta kama vile Total,etc au nenda kwenye ofisi za Toyota Tanzania.Kampuni ya Toyota huwa ina mawakala/wawakilishi wake Tanzania(Hivi kuna Nissan Tanzania?,Honda Tanzania?)
Aisee...[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji85][emoji85]Ina Viscosity nyingi.
Msimbazi Street, Kariakoo.Toyota wapo wapi mkuu hapa dsm