Ipi ni lubricant nzuri kati ya TOTAL na CASTROL?

Ipi ni lubricant nzuri kati ya TOTAL na CASTROL?

Toyota Kariakoo wana oil recommended za gari ya Toyota na hawauzi bila kua na Chasis namba husika ya gari unayotaka kununulia oil

Oil ya Total ni bei nafuu kulinganisha na Castrol kutokana na recommendation za SAE.
Mfano kiwanda huweza kupewa guge ya 1 - 10 za ubora ambapo 10 ndio bora na 1 ni grade ya chini haifai kutumika kabisa, lakini kwenye interval hiyo hiyo kiwanda kinaruhusiwa kutengeneza bidhaa ambayo itaangukia kiwango cha ubora wa 6 mpaka 10 ambapo kwa kiwango hicho kitaruhusiwa kuuzwa kwa ajili ya matumizi

Kinachotokea kwavile sisi wengi hupenda vitu vya bei ya chini kiwanda kitatengeneza oil yenye kiwanga cha 6 ambapo oil hii itakua nafuu katika soko hivo kua kimbilio la wengi

Kiwanda kingine hutengeneza oil kwa grade ya 10 ambayo bei yake pia hua juu kulingana na gharama na materila walizotumia

Tukumbuke oil yenye kiwango cha 6 kati ya 10 sio kwamba ni feki lakini muongozo wa SAE (Society of Automotive Engineering) wanaruhusu oil hii iuzwe katika soko lakini kiwango chake sio sawa na kile cha oil iliotengenezwa kwenye kiwango cha 10 kati ya 10

Kwa Tanzania oil iliokua inatengenzwa kwa kiwango cha 10 kati ya 10 ni SINOPTEC walifungua branch Kariakoo (msimbazi) lakini kutokana na bei hawakuweza kukaa muda mrefu wakafunga ofisi za Kariakoo sijajua kama wako ama walihamia kwingine

Ukinunua gari kutoka Toyota 0km ndani ya warranty/ guarantee ni kwamba service zote kwa KM au mudafulani ni lazima ufanye kwao kuepuka kwenda kueka oil zisizo na kiwango

Niongezee kusema Tanzania hatuna vitu feki lakini kukubali kuingiza vitu vilivotengenezwa kwenye scale ya low recommend baina ya viwango vilivowekwa na mataifa makubwa ndio kinachotuumiza wote.
 
Toyota Kariakoo wana oil recommended za gari ya Toyota na hawauzi bila kua na Chasis namba husika ya gari unayotaka kununulia oil

Oil ya Total ni bei nafuu kulinganisha na Castrol kutokana na recommendation za SAE.
Mfano kiwanda huweza kupewa guge ya 1 - 10 za ubora ambapo 10 ndio bora na 1 ni grade ya chini haifai kutumika kabisa, lakini kwenye interval hiyo hiyo kiwanda kinaruhusiwa kutengeneza bidhaa ambayo itaangukia kiwango cha ubora wa 6 mpaka 10 ambapo kwa kiwango hicho kitaruhusiwa kuuzwa kwa ajili ya matumizi

Kinachotokea kwavile sisi wengi hupenda vitu vya bei ya chini kiwanda kitatengeneza oil yenye kiwanga cha 6 ambapo oil hii itakua nafuu katika soko hivo kua kimbilio la wengi

Kiwanda kingine hutengeneza oil kwa grade ya 10 ambayo bei yake pia hua juu kulingana na gharama na materila walizotumia

Tukumbuke oil yenye kiwango cha 6 kati ya 10 sio kwamba ni feki lakini muongozo wa SAE (Society of Automotive Engineering) wanaruhusu oil hii iuzwe katika soko lakini kiwango chake sio sawa na kile cha oil iliotengenezwa kwenye kiwango cha 10 kati ya 10

Kwa Tanzania oil iliokua inatengenzwa kwa kiwango cha 10 kati ya 10 ni SINOPTEC walifungua branch Kariakoo (msimbazi) lakini kutokana na bei hawakuweza kukaa muda mrefu wakafunga ofisi za Kariakoo sijajua kama wako ama walihamia kwingine

Ukinunua gari kutoka Toyota 0km ndani ya warranty/ guarantee ni kwamba service zote kwa KM au mudafulani ni lazima ufanye kwao kuepuka kwenda kueka oil zisizo na kiwango

Niongezee kusema Tanzania hatuna vitu feki lakini kukubali kuingiza vitu vilivotengenezwa kwenye scale ya low recommend baina ya viwango vilivowekwa na mataifa makubwa ndio kinachotuumiza wote.
Hivi Toyota wana garage zao pia?
 
Toyota Kariakoo wana oil recommended za gari ya Toyota na hawauzi bila kua na Chasis namba husika ya gari unayotaka kununulia oil

Oil ya Total ni bei nafuu kulinganisha na Castrol kutokana na recommendation za SAE.
Mfano kiwanda huweza kupewa guge ya 1 - 10 za ubora ambapo 10 ndio bora na 1 ni grade ya chini haifai kutumika kabisa, lakini kwenye interval hiyo hiyo kiwanda kinaruhusiwa kutengeneza bidhaa ambayo itaangukia kiwango cha ubora wa 6 mpaka 10 ambapo kwa kiwango hicho kitaruhusiwa kuuzwa kwa ajili ya matumizi

Kinachotokea kwavile sisi wengi hupenda vitu vya bei ya chini kiwanda kitatengeneza oil yenye kiwanga cha 6 ambapo oil hii itakua nafuu katika soko hivo kua kimbilio la wengi

Kiwanda kingine hutengeneza oil kwa grade ya 10 ambayo bei yake pia hua juu kulingana na gharama na materila walizotumia

Tukumbuke oil yenye kiwango cha 6 kati ya 10 sio kwamba ni feki lakini muongozo wa SAE (Society of Automotive Engineering) wanaruhusu oil hii iuzwe katika soko lakini kiwango chake sio sawa na kile cha oil iliotengenezwa kwenye kiwango cha 10 kati ya 10

Kwa Tanzania oil iliokua inatengenzwa kwa kiwango cha 10 kati ya 10 ni SINOPTEC walifungua branch Kariakoo (msimbazi) lakini kutokana na bei hawakuweza kukaa muda mrefu wakafunga ofisi za Kariakoo sijajua kama wako ama walihamia kwingine

Ukinunua gari kutoka Toyota 0km ndani ya warranty/ guarantee ni kwamba service zote kwa KM au mudafulani ni lazima ufanye kwao kuepuka kwenda kueka oil zisizo na kiwango

Niongezee kusema Tanzania hatuna vitu feki lakini kukubali kuingiza vitu vilivotengenezwa kwenye scale ya low recommend baina ya viwango vilivowekwa na mataifa makubwa ndio kinachotuumiza wote.
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]As in my mind.......
 
Ukitaka upate OG kwa hapa DSM wapi ni uhakika mkuu??
Nenda sheli za puma, hao ndio kampuni inayoouza Castrol, lakini pia mawakala wao. Na ukitaka za total unakwenda total petrol stations.
 
Wakuu habar zenu.
Hivi kati ya lubricant/oil kati ya kampuni ya TOTAL na CASTROL ipi ni nzuri na ipo juu ya mwenzie? Hapo namaanisha quality. Naona watu wengi wanatumia total kuliko castrol.

Ipi ni kampuni nzuri hapo? Karibuni wataalamu.
Mkuu,Lubricants ni Kama Petrol,Unanuna kwenye sheli moja kwa bei kubwa na sheli nyingine kwa bei ndogo.Unachotakiw akufahamu ni gari lako linaenda masafa kiasi gani kwani huo ndio msingi wa kuamua utumia lubricant ya aina gani otherwise Zote ni nzuri ingawa kwa sokoni Castrol kwa sasa iko Juu in terms of BEI ingawa kwa ubora Naona zote ni sawa tu.

Ushauri wangu,Tumia Castrol,Utajisikia amani zaidi
 
Changamoto kubwa ambazo madereva wa Tanzania wanakutana nazo katika ishu ya oil wala siyo ishu za ni kampuni ipi inazalisha oil bora zaidi bali ni hizi changamoto kuu mbili:

1.Kuweka oil kwenye gari ambayo viscosity yake haijawa recommended na manufacturer,mfano kwenye gari ya IST manufacturer amerecommend iwekwe oil yenye viscosity ya 5W30 lakini mtu anaweka oil ya Tractor(SAE40) kwa sababu inauzwa bei rahisi.Hii kitu huua engine haraka mno!

2.Kuweka oil ambayo viscosity yake ni recommended na manufacturer lakini ni oil fake.Oil zinazouzwa madukani hapa Tanzania asilimia 90 ni fake.Hili nalo huua engine haraka mno.
Mkuu asilimia 90% ni figure kubwa sana?Are you sure about this?
 
Back
Top Bottom