St. Paka Mweusi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2010
- 7,956
- 5,149
Pili wanandoa wengi wa miaka hii wameshindwa kujishusha.. Sijui ni kwa sababu ya uhuru wa kiuchumi sijui
Ila si mwanamke si mwanaume wote wapo juu.. Na mafahali wawili hawakai zizi moja. Mkishaanza hunitishi na huyu naye hunitishi basi hapo hakuna ndoa tena..
Ila si mwanamke si mwanaume wote wapo juu.. Na mafahali wawili hawakai zizi moja. Mkishaanza hunitishi na huyu naye hunitishi basi hapo hakuna ndoa tena..