ukizungumzia mkono unazungumzia sehemu kubwa ambayo ina kiganja
ila kiganja ni sehemu ndogo ya mkono inayotumika kushikia kitu kwa
maana hiyo cm ni ya kiganjani na sio ya mkononi .
"Mkono unaanzia kwenye bega "
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.