KENZY
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 32,529
- 76,691
Polisi walikuwa na vitambi fulani hivi.. mkuu hivi ulishawahi kufika mpk stage ya mwisho..?Lile game mwizi mara apande ngazi daah umenikumbusha mbali [emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Polisi walikuwa na vitambi fulani hivi.. mkuu hivi ulishawahi kufika mpk stage ya mwisho..?Lile game mwizi mara apande ngazi daah umenikumbusha mbali [emoji23][emoji23][emoji23]
sidhani kama zipo, labda kafanye msako kwenye maduka ya nokiaHv siwez kuipata kwasasa?
Hutu tudude tulifanya maisha magum ya seminari yawe na nafuu mnooo
Form1 had form4View attachment 2240501
Sikuwahi [emoji23][emoji23][emoji23]Polisi walikuwa na vitambi fulani hivi.. mkuu hivi ulishawahi kufika mpk stage ya mwisho..?
Hi naipata sanaLg c1100 mwaka 2008View attachment 2244259
Poa mkubwaAcha utoto!
Hello mottoView attachment 2244326Motorola C117 2006 hiyo.
Chaji week nzima na ukicharge unaicharge siku nzima 😄Hello motto
Dah l6 moja ya slim na entertainment phone za kipindi hicho...umenikumbusha mbali nilikua na moja nikaiweka wimbo wa psquare do me..sikua wakishua ila nilikaa meza moja na wakishua 😄😄Kumbe we wa juzi juzi...hivi kuna simu za kishua zilizotamba kuzidi brand ya sony ericoson,lg na motorola hasa ile l6 au l7.....baadae zikaja blackberry sijui
Waptrick walikua na jirani yao anaitwa wapred 🤣🤣Hii ndio ilikua simu yangu ya kwanza kipindi hicho nilikua naipenda sana hasa jins Keyboard yake ilivyokaa. Enzi hizo Nilikua nakesha Waptrick kupakua nyimbo za akina Wizkid,Burnaboy,K.O, Casper nyovest, Baky W, n.k wakati huo hao wasanii hawajulikani nadhani mtaani kwetu tu ndio tulikua tunawajua ajili ya kuwepo kwa channels ya HipTv, Soundcity na Chenel O.
View attachment 2239430
Hii ndio Smartphone yangu ya kwanza 2014 mzee wangu aliniletea toka Qatar nilikua naeatambia washkaji maana walikua wananivimbia na Tecno P5,Y6 zao. Kiukweli Sijawahi penda simu kama nilivyopemda hii. Kuanzia wallpapers zake na UI. Hapo kwenye Lige Companion nilikua nafuta naweka jina langu. Iliibiwa tarehe 5/6/2017 Zenji pamoja na Toshiba PC niliyopewa pamoja na hii simu (Sitasahau siku hiyo maana nilikesha ajili ya maumivu)
View attachment 2239443