Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Motorola nilikua std 4 kisimu kulikua kigumu, kidoncho, hadi Leo kipo lkn hakiwakiMimi binafsi nilianza kumiliki Siemens C25View attachment 2239341
2014 ulikuwa bado unapewa vitu na mshua wako?Hii ndio ilikua simu yangu ya kwanza kipindi hicho nilikua naipenda sana hasa jins Keyboard yake ilivyokaa. Enzi hizo Nilikua nakesha Waptrick kupakua nyimbo za akina Wizkid,Burnaboy,K.O, Casper nyovest, Baky W, n.k wakati huo hao wasanii hawajulikani nadhani mtaani kwetu tu ndio tulikua tunawajua ajili ya kuwepo kwa channels ya HipTv, Soundcity na Chenel O.
View attachment 2239430
Hii ndio Smartphone yangu ya kwanza 2014 mzee wangu aliniletea toka Qatar nilikua naeatambia washkaji maana walikua wananivimbia na Tecno P5,Y6 zao. Kiukweli Sijawahi penda simu kama nilivyopemda hii. Kuanzia wallpapers zake na UI. Hapo kwenye Lige Companion nilikua nafuta naweka jina langu. Iliibiwa tarehe 5/6/2017 Zenji pamoja na Toshiba PC niliyopewa pamoja na hii simu (Sitasahau siku hiyo maana nilikesha ajili ya maumivu)
View attachment 2239443
Same here bro simu yangu ya kwanza hiiNilianza kutumia Nokia Xpress music......bado natamba na Nokia C30
Nokia connecting people
Nokia walitukosea sana kutokwenda na wakati na kudelay kwenda na technologiaSame here bro simu yangu ya kwanza hii
Nina rafiki yangu anayo hiyo Simu na huwa anaifunga kwenye suluari,yaani anafanya kama comedy,ikiita kama call boxChuma hiko hapo early 2002!
View attachment 2270973
Ilikuwaga kubwa mkononi hainienei hii nilipewa na mimi nioshee sura nikanunua line yangu ya Airtel kipindi hiko ikiitwa Celtel piga usipigiwe unakatwa salio nakumbuka kuna siku ilizima nikaweka battery za National zile ndogo mbili ikawaka.kinachonifurahisha mpaka sasa namba ninayotumia ni hii niliyonunua kwa ajili ya simu hiyo.
Betri za national? 😂🙌Chuma hiko hapo early 2002!
View attachment 2270973
Ilikuwaga kubwa mkononi hainienei hii nilipewa na mimi nioshee sura nikanunua line yangu ya Airtel kipindi hiko ikiitwa Celtel piga usipigiwe unakatwa salio nakumbuka kuna siku ilizima nikaweka battery za National zile ndogo mbili ikawaka.kinachonifurahisha mpaka sasa namba ninayotumia ni hii niliyonunua kwa ajili ya simu hiyo.