Ipi njia nzuri ya kuweka akiba?

Ipi njia nzuri ya kuweka akiba?

Joined
Dec 21, 2022
Posts
66
Reaction score
167
Salaam wana JF, k

Kifupi mimi niko nje ya nch napiga box lakin mipango yangu baada ya miaka 4 hiv nirudi nyumbani, hizi kaz za viwanda kusimama 8hrs naona nikikomaa life iwe huku nitaumia coz life huku iko juu bora nikusanye nikipata hta M140 najua nitaishi nyumbani bila kuhenyeka sana, ni njia gan nzur naweza kufanya saving?

Kutoka dola kuja shiling?napenda niwe nasave kidogo kidogo kila mwezi. Naomba kuwasilisha.
 
Salaam wana JF, kifupi mimi niko nje ya nch napiga box lakin mipango yangu baada ya miaka 4 hiv nirudi nyumbani, hz kaz za viwanda kusimama 8hrs naona nikikomaa life iwe huku nitaumia cz life huku iko juu bora nikusanye nikipata hta M140 najua nitaishi nyumbani bila kuhenyeka sana, ni njia gan nzur naweza kufanya saving?kutoka dola kuja shiling?napenda niwe nasave kidogo kidogo kila mwezi. Naomba kuwasilisha.
Save pesa kwenye ardhi, na siyo ardhi nje ya miji, ardhi kilometer chache kutoka town, nyingine weka bank.
 
saving?kutoka dola kuja shiling?
1. Ondoa wazo la TZS
2. Fungua account, USD Account, kwenye benki yeyote internation ambayo ina branch hapa Tanzania (Fanya tafiti zipo)
3. Katika kufungua hakikiaasha inakuwa ni account ya muda maalum, ambapo inakutaka/ kurusu kufanya deposit tu na sio ku_withdraw

Kwa utaratibu huu/huo fedha yako itakuwa salama, na ukifika Tanzania unaweza withdraw bila tatizo, Maana Ule muda utakao kuwa umepanga wa kuweka fedha utakuwa umekamilika na utaruhusiwa kuchukua fedha yako. Na withdraw itafanyika kwa rate ya TZS itakayokuwepo kwa wakati huo.

Nje ya hapo, ni vigumu kutunza fedha.
 
Save pesa kwenye ardhi, na siyo ardhi nje ya miji, ardhi kilometer chache kutoka town, nyingine weka bank.
Niko huku ardh nasave vipi?au unataka nitume pesa nipigwe? Hapa hta mke simuamin aisee pesa naipata kwa tabu acha tu, naona nisave nikirud ndo nianze vurugu za kujenga sijui n.k unatuma hela kumbe watu wanafanyia miradi yao unadanganywa.
 
Fungu la 10 ni nini hicho?
i wish i could send u a voice note words not enogh

Okey iko hivi mshahara/ama mapato yako kwa mwezi unatoa ailimia kumi unapeleka kanisani ama unapeleka misaada kwa wahitaji
Tuseme mapato yako kwa mwezi ni 100,000 asilimia kumi ni ni efu kumi
Kwenye efu moja kuna 100
Kwenye 10000 kuna 1000
Na kuendelea
 
Niko huku ardh nasave vipi?au unataka nitume pesa nipigwe? Hapa hta mke simuamin aisee pesa naipata kwa tabu acha tu, naona nisave nikirud ndo nianze vurugu za kujenga sijui n.k unatuma hela kumbe watu wanafanyia miradi yao unadanganywa.
Ziko njia sahihi za kununuwa ardhi hata ukiwa mbali na hupigwi, nimeishi Abroad naelewa vizuri.
 
1. Ondoa wazo la TZS
2. Fungua account, USD Account, kwenye benki yeyote internation ambayo ina branch hapa Tanzania (Fanya tafiti zipo)...
Hili wazo ni zuri Sema bank nyingi hapa America hwana branch Tanzania, kuna kitu nimekifikiria sijui kama kitamake sense naweza kujitumia hela kwenye acc yangu ya Sh nikiwa hapa either kwa mpesa au worldremitly , kuna mtu amewahi kufanya hivyo?
 
i wish i could send u a voice note words not enogh

Okey iko hivi mshahara/ama mapato yako kwa mwezi unatoa ailimia kumi unapeleka kanisani ama unapeleka misaada kwa wahitaji
Tuseme mapato yako kwa mwezi ni 100,000 asilimia kumi ni ni efu kumi
Kwenye efu moja kuna 100
Kwenye 10000 kuna 1000
Na kuendelea
Hii ni scam.
 
Hili wazo ni zuri Sema bank nyingi hapa America hwana branch TZ, kuna kitu nimekifikiria sijui kama kitamake sense naweza kujitumia hela kwenye acc yangu ya Sh nikiwa hapa either kwa mpesa au worldremitly , kuna mtu amewahi kufanya hivyo?
Crdb wana Tanzanite account kwa ajili ya Diaspora.
 
Back
Top Bottom