Chief-MkwawaNot worth it kwa muono wangu. Ina ram na storage nzuri na kubwa Ila soc Ya kizamani, unless bei ni chini ya laki
Natumia matoleo ya Phantom za Tecno 6+, 8 na 9 sijawahi kujuta zinatunza chaji Camera swafi hadi giza totoro inatoa picha, na Laini zimejaa Mpesa, Halopesa na Airtel money, simu haimalizi chaji hovyohovyo network hadi maporini wa Sumsang na Iphone huwa wananionea gere, na sitoacha Tecno nilihama Samsung kwasababu ya chaji na network maporini haziko poa
Oppo ipo level ya i phone hizi oppo zenye matoleo ya mbele hata hizo i phone old vision hazioni ndani usichukulie jina kwa sababu ni oppo asia hizo sm zipo juu sn
wapi ulichukua mkuuAnyways mm sioni kma hzo A or C series ni nzuri. Ni vyema ujichange tu uchukue 8 or 9 ya kawaida or Note series. Mwaka jana November nilimchukulia sister wangu Redmi Note 8 kwa 430,000. Ni simu bora sana kuliko hzo A na C kwa tofauti ndogo tu ya bei. Kwanza ni USB C, display ni 1080p, camera ni nzuri na ina glass back.
Sent using Jamii Forums mobile app
unaweza kuja PM mkuuninayo naweza kupa kwa laki nne na nusu, imepasuka kioo cha nyuma ambacho unaweza badili kwa elf 60 tu, ni 128gb last update securit pach jan 2021
PM mkuuNinayo oppo f9 pro
Ram 6
Storage 128gb
Ina NETWORK LOCK inasoma TTCL tu
Mpya kwenye box Nataka 250000 View attachment 1714360View attachment 1714359View attachment 1714361
Mkuu TV nchi ngapi na ni beii ganiiiHakika chief xiaomi sio wa kawaida kabisa mzee, hapa kwa sasa nina simu zao mbili tv yao, saa yao ile haylou solar l05 jana nimepokea bag yangu ya xiaomi ndio balaa kabisa, nimeplace oda ya vitu vyao vingine kifupi wanajua, siku ya kwanza tu kushika product yao mika ile nikajikuta naanzisha uzi wa xiaom kabisa kaka
Inatumia snapdragon 615, soc Ya mda sana, toka galaxy J7 ya mwanzo kabisa ya 2015.Chief-Mkwawa
huyu mnyama wa SANTIN ACTOMA ACE kwa 130K atafaa ukilinganisha na simu nyingine au ni toy tu?
Kwanza si kweli anadanganya..Kwa kuwa wewe kwako simu ni kukaa na charge mda mrefu kupiga picha usiku na kushika mtandao una haki ya kuendelea kung’ang’ana na tecno
Ila tecno infinix oppo za mid range cjui xtigi au itel hapo hakuna simu kuna vikundi vya wahuni
Kariakoo mtaa wa Agrey pale duka kma la 3 hiviwapi ulichukua mkuu
Hata network Wenye Iphone na Sumsang huwa wananiazima hmtukiwa maporini, Tatizo lako umekariri tu hebu niambie ambacho Iphone au Samsung unaweza kufanya na Tecno ikashindwaKwa kuwa wewe kwako simu ni kukaa na charge mda mrefu kupiga picha usiku na kushika mtandao una haki ya kuendelea kung’ang’ana na tecno
Ila tecno infinix oppo za mid range cjui xtigi au itel hapo hakuna simu kuna vikundi vya wahuni
Kariakoo mtaa wa Agrey pale duka kma la 3 hivi
Asante kwa hili hii comment, Make nilikua na maswala mengi sana ya kumuuliza mtoa post...Oppo ipi na infinix ipi? Maana hapo unalinganisha brand tu na sio simu.
nahitaji chineserve version maana ziko bomba kuliko global versions
Specification si zile zile tu? Au kwasababu China ROM ipo more optimized?nahitaji chineserve version maana ziko bomba kuliko global versions
Mkuu Chief-Mkwawa naomba msaada wa uchambuzi wa hii simu nimeikuta AliExpress je kwa matumizi ya kawaida inafaa ? Na pia kuhusu network kwa bongo.Kwanza si kweli anadanganya..
1. Tecno hazina camera nzuri compare na brand nzuri na hii ni common sense inajulikana na sababu Mpaka Gsmarena zinakua reviewed tunaona quality yake kitaalamu na nyingi zinatumia camera fake, simu ina camera 3 lakini 1 tu inafanya kazi. Na simu zinazopiga vizuri kwenye low-light zina kitu kinaitwa OIS, optical image stabilization, kwa Tecno huo ni msamiati mgeni.
2. Linapokuja suala Zima la modem na reception Qualcomm Hana Mpinzani, mtu anaweza nunua simu refurb zimechezewa akaja kulala Mika kuhusu signal, Kampuni zote Duniani za Soc iwe Exynos ya Samsung, Kirin ya Huawei, A series ya Apple mpaka Hao Mediatek ili watengeneze modem lazima wagonge hodi kwa Qualcomm wapewe tech za modem. Kuna kipindi Apple alimkacha Qualcomm akachukua modem za Intel ghafla simu zao zikashuka speed vibaya mno na reception mbovu.
3. Ukaaji chaji Pia Tecno na kina Infinix hawafikii wenzao, ndio zinakaa na chaji siku hizi sema compare na specs bado, mfano wao Wana weka vioo hovyo vya 720p, processor dhaifu etc lakini unakuta simu zao hazikaji na chaji ama zinakaa sawa na simu za 1080p na processor kali.
Ikitokea kampuni kubwa Inaweka kioo chenye resolution ndogo na processor dhaifu unapata ukaaji chaji kama huu
Kwa matumizi ya kawaida inafaa specs zake nzuri sema haina band 7 na 20 Ina maana hutakamata 4g ya Halotel na Tigo pembezoni mwa miji.Mkuu Chief-Mkwawa naomba msaada wa uchambuzi wa hii simu nimeikuta AliExpress je kwa matumizi ya kawaida inafaa ? Na pia kuhusu network kwa bongo.
Asante
Simu: MEIZU 16XsView attachment 1717626
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Je upande wa camera ukoje?Kwa matumizi ya kawaida inafaa specs zake nzuri sema haina band 7 na 20 Ina maana hutakamata 4g ya Halotel na Tigo pembezoni mwa miji.