Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Size ya kati Inatumia sensor hizi za 48mp, hata kama ni mbaya quality ya picha ukiweka GCAM itakua nzuri. Ina soc sawa na pixel 3A Xl.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Size ya kati Inatumia sensor hizi za 48mp, hata kama ni mbaya quality ya picha ukiweka GCAM itakua nzuri. Ina soc sawa na pixel 3A Xl.
Used kama ipi napata kwa bei hiyo?Inatumia snapdragon 615, soc Ya mda sana, toka galaxy J7 ya mwanzo kabisa ya 2015.
Inategemea na matumizi Ila unaweza Pata simu nzuri zaidi used kwa hio bei.
Kwanza wenzie wa hio budget wanapatikana, mfano Galaxy J7 niliokutajia mpaka laki zipo.Used kama ipi napata kwa bei hiyo?
Mkuu k2a laki2 napata sim gani mpya mkuuKwanza wenzie wa hio budget wanapatikana, mfano Galaxy J7 niliokutajia mpaka laki zipo.
Alternative ambazo ni nzuri zaidi ni flagship zake unaweza Google flagship za 2015, simu kama lg V10, HTC m9, etc unapata chini ya 150k Aliexpress.
Sema mwisho wa siku ni risk sana mkuu kununua simu ya 2015, imetumika vya kutosha,
LG zina Shida ya flicking na bootloop.Kwanza wenzie wa hio budget wanapatikana, mfano Galaxy J7 niliokutajia mpaka laki zipo.
Alternative ambazo ni nzuri zaidi ni flagship zake unaweza Google flagship za 2015, simu kama lg V10, HTC m9, etc unapata chini ya 150k Aliexpress.
Sema mwisho wa siku ni risk sana mkuu kununua simu ya 2015, imetumika vya kutosha,
Laki 2 mkuu simu nyingi si nzuri kwa hii budget, kama unaweza ongeza hadi laki 3 redmi 9 ni simu nzuri sana.Mkuu k2a laki2 napata sim gani mpya mkuu
Haiwezekani simu ya sd 615 ikawa mpya, soc Ya 2015 unainunulia wapi?LG zina Shida ya flicking na bootloop.
Zile ACTOMA ACE ni brand new si used
Naomba ushauri wako wa mwisho mkuu je inaweza kua sim rafiki na os yako kibongo bongo??Size ya kati Inatumia sensor hizi za 48mp, hata kama ni mbaya quality ya picha ukiweka GCAM itakua nzuri. Ina soc sawa na pixel 3A Xl.
meizu ni kampuni maarufu mkuu, ila kwa mimi bila 4g ngumu kumeza, ningeiacha, os yao ni kama miui tu ya xiaomi.Naomba ushauri wako wa mwisho mkuu je inaweza kua sim rafiki na os yako kibongo bongo??
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Yani mkuu hii simu nimeipenda kwasababu kwanza ni very light 165g, Amoled screen na screen yakemeizu ni kampuni maarufu mkuu, ila kwa mimi bila 4g ngumu kumeza, ningeiacha, os yao ni kama miui tu ya xiaomi.
Jina lako nimelipenda, linarahisisha kaziNilinunua nikauza ndani ya wiki 1.
ina stack balaa.
Jina lako nimelipenda, linarahisisha kazi
Angalia na hii redmi note 10 mpya mkuu. Ina amoled na uzito almost Sawa na hio,Yani mkuu hii simu nimeipenda kwasababu kwanza ni very light 165g, Amoled screen na screen yake
Sent from my Redmi Note 8 using JamiiForums mobile app
Hawatuelewi tukiwaambia simu hizo ni vimeo[emoji3525][emoji3525]Hawa jamaa wa infiniix, tecno, itel, kgtel, X-Tigi & co. Sijui tuwaambie vipi watuelewe[emoji53][emoji53][emoji53]
Kwani chif za Tanzania ni ngapi?Angalia na hii redmi note 10 mpya mkuu. Ina amoled na uzito almost Sawa na hio,
Cpu ya kisasa zaidi, band zote za Tanzania etc
Xiaomi Redmi Note 10 - Full phone specifications
www.gsmarena.com
3, 7, 20 na 40.Kwani chif za Tanzania ni ngapi?
Shukrani sana chif.. Barikiwa3, 7, 20 na 40.
We una semea update iliopita kaka je itapata miui12.5 kama walivyoorodhesha kwenye list.Vipi kuihusu android 11?Mbona note 7 inapata juzi tu nimeupdate simu ya wife