DAGAA WA MWANZA
Senior Member
- Jan 27, 2019
- 169
- 465
Mbona now alie inauzwa mpaka 2mil Chief-Mkwawa ebu nitoe tongotongo mpaka nimeogopa mkuuKwa note 10 pro pia bei haitaongezeka sana around 450k mpaka 500k hivi. Sema pia ni best kwa class yake, 120hz amoled display.
Kama Una note 9 pro upgrade yake si kubwa sana kwenye perfomance ni kama zinafanana, ila kama unatoka brand nyengine kwa same price point hii ni simu nzuri.