Ipi nzuri kati ya Infinix na Oppo ya Mchina?

Ipi nzuri kati ya Infinix na Oppo ya Mchina?

Hapa mnapeana maujinga tu, unakuta mtu matumizi yake ni social media, kupiga simu, sms na kupiga picha, unamshawishi anunue simu yenye ubora mkubwa tena inauzwa zaidi ya laki tano na halafu hiyo laki tano amejichanga sana mwishowe ananunua simu ili nae aonekane ana simu kali, HIVI WATANZANIA TUNAFELI WAPI????

Kwa namna hii umasikini hautaondoka kwetu hata kama tuko UCHUMI WA KATI
 
Hapa mnapeana maujinga tu, unakuta mtu matumizi yake ni social media, kupiga simu, sms na kupiga picha, unamshawishi anunue simu yenye ubora mkubwa tena inauzwa zaidi ya laki tano na halafu hiyo laki tano amejichanga sana mwishowe ananunua simu ili nae aonekane ana simu kali, HIVI WATANZANIA TUNAFELI WAPI????

Kwa namna hii umasikini hautaondoka kwetu hata kama tuko UCHUMI WA KATI
Ni kweli tujifunze kununua simu sawa na uwezo wetu...maana simu Kali kila siku zinazinduliwa....yaan ukinunua simu mwezi huu....mwezi unaofuata unakuta kuna flagship 10 za company tofautitofauti zimesha toka....[emoji848][emoji848][emoji848]...
 
Hapa mnapeana maujinga tu, unakuta mtu matumizi yake ni social media, kupiga simu, sms na kupiga picha, unamshawishi anunue simu yenye ubora mkubwa tena inauzwa zaidi ya laki tano na halafu hiyo laki tano amejichanga sana mwishowe ananunua simu ili nae aonekane ana simu kali, HIVI WATANZANIA TUNAFELI WAPI????

Kwa namna hii umasikini hautaondoka kwetu hata kama tuko UCHUMI WA KATI
1.Redmi note 8 simu ya miaka miwili iliopita ilikuwa inauzwa 330,000 mpaka 400,000 sasa hivi used mtaani unaweza ukauza hata 300,000 na ukitaka hela ya haraka haraka labda 250,000 hivi. Hivyo siku zote ukichagua simu Nzuri utapata resale value kubwa, hivyo kama simu yako umeitunza vizuri ina maana kwa miaka 2 utakuwa umetumia value yake kwa 50,000 tu.

Imagine someone kanunua Tecno lake laki 2 ama 3 hata Gorilla glass Hana, baada ya mwaka ama miaka 2 kama itafika, imepasuka pasuka kila corner unakuta nusu ya value imeshapotea.

2. Umesema kupiga picha, kama kupiga picha ni matumizi yako simu gani ya bei rahisi inafaa? Simu ukiichallenge kidogo tu kupiga pazia jekundu linakuwa la pink? Iwe ni biashara ama hata matumizi binafsi camera decent inahitajika.

3.Hata social media kina insta na fb hitaji muhimu ni Display nzuri, mtu mwenye simu kubwa display 720p kioo Michele Michele na mwenye display kali ya Amoled experience wanayopata ni tofauti kabisa,

Kila mtu anajijua kipato chake kipo vipi, ila kuwa na simu nzuri kunaweza ongeza value kwenye biashara zako, kunaweza punguza muda wa kutroubleshoot kila saa, ni vizuri kwa Afya yako etc.
 
1.Redmi note 8 simu ya miaka miwili iliopita ilikuwa inauzwa 330,000 mpaka 400,000 sasa hivi used mtaani unaweza ukauza hata 300,000 na ukitaka hela ya haraka haraka labda 250,000 hivi. Hivyo siku zote ukichagua simu Nzuri utapata resale value kubwa, hivyo kama simu yako umeitunza vizuri ina maana kwa miaka 2 utakuwa umetumia value yake kwa 50,000 tu.

Imagine someone kanunua Tecno lake laki 2 ama 3 hata Gorilla glass Hana, baada ya mwaka ama miaka 2 kama itafika, imepasuka pasuka kila corner unakuta nusu ya value imeshapotea.

2. Umesema kupiga picha, kama kupiga picha ni matumizi yako simu gani ya bei rahisi inafaa? Simu ukiichallenge kidogo tu kupiga pazia jekundu linakuwa la pink? Iwe ni biashara ama hata matumizi binafsi camera decent inahitajika.

3.Hata social media kina insta na fb hitaji muhimu ni Display nzuri, mtu mwenye simu kubwa display 720p kioo Michele Michele na mwenye display kali ya Amoled experience wanayopata ni tofauti kabisa,

Kila mtu anajijua kipato chake kipo vipi, ila kuwa na simu nzuri kunaweza ongeza value kwenye biashara zako, kunaweza punguza muda wa kutroubleshoot kila saa, ni vizuri kwa Afya yako etc.
Kioo michele michele.

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Wazee we tekino mje huku kuna dawa mnywe
 
1.Redmi note 8 simu ya miaka miwili iliopita ilikuwa inauzwa 330,000 mpaka 400,000 sasa hivi used mtaani unaweza ukauza hata 300,000 na ukitaka hela ya haraka haraka labda 250,000 hivi. Hivyo siku zote ukichagua simu Nzuri utapata resale value kubwa, hivyo kama simu yako umeitunza vizuri ina maana kwa miaka 2 utakuwa umetumia value yake kwa 50,000 tu.

Imagine someone kanunua Tecno lake laki 2 ama 3 hata Gorilla glass Hana, baada ya mwaka ama miaka 2 kama itafika, imepasuka pasuka kila corner unakuta nusu ya value imeshapotea.

2. Umesema kupiga picha, kama kupiga picha ni matumizi yako simu gani ya bei rahisi inafaa? Simu ukiichallenge kidogo tu kupiga pazia jekundu linakuwa la pink? Iwe ni biashara ama hata matumizi binafsi camera decent inahitajika.

3.Hata social media kina insta na fb hitaji muhimu ni Display nzuri, mtu mwenye simu kubwa display 720p kioo Michele Michele na mwenye display kali ya Amoled experience wanayopata ni tofauti kabisa,

Kila mtu anajijua kipato chake kipo vipi, ila kuwa na simu nzuri kunaweza ongeza value kwenye biashara zako, kunaweza punguza muda wa kutroubleshoot kila saa, ni vizuri kwa Afya yako etc.
Kingine haya eye straining protection ya simu nzuri na hzo mchele mchele ni tofauti kabisa[emoji3]
 
huyu katoa reason with reference, sasa wewe unasema hamna simu humo... kweli mjingamimi wewe
Wanakremu tu, hata sababu mtu hana. Ndo wale wanaosema sipendi kitu fulani ukimuuliza kwanini, anakuambia basi tu
 
Kwa Samsung around hio budget unapata A31, kwa muono wangu si simu nzuri kwa value ya pesa.

Kama unaweza kusubiri redmi note 10 pro ni simu nzuri, ama hata plain redmi note 10, zote zinakaa na Chaji na display nzuri kwa matumizi ya kila siku.

Kama Samsung ni priority subiria Galaxy A52 4G ambayo ndio imetoka, yenyewe pia specs zake ni nzuri sana, sema hii itabidi uongeze hela kidogo.
Je samsung a3co unaionaje
 
1.Redmi note 8 simu ya miaka miwili iliopita ilikuwa inauzwa 330,000 mpaka 400,000 sasa hivi used mtaani unaweza ukauza hata 300,000 na ukitaka hela ya haraka haraka labda 250,000 hivi. Hivyo siku zote ukichagua simu Nzuri utapata resale value kubwa, hivyo kama simu yako umeitunza vizuri ina maana kwa miaka 2 utakuwa umetumia value yake kwa 50,000 tu.

Imagine someone kanunua Tecno lake laki 2 ama 3 hata Gorilla glass Hana, baada ya mwaka ama miaka 2 kama itafika, imepasuka pasuka kila corner unakuta nusu ya value imeshapotea.

2. Umesema kupiga picha, kama kupiga picha ni matumizi yako simu gani ya bei rahisi inafaa? Simu ukiichallenge kidogo tu kupiga pazia jekundu linakuwa la pink? Iwe ni biashara ama hata matumizi binafsi camera decent inahitajika.

3.Hata social media kina insta na fb hitaji muhimu ni Display nzuri, mtu mwenye simu kubwa display 720p kioo Michele Michele na mwenye display kali ya Amoled experience wanayopata ni tofauti etc.
Sure nimeuza note 8T kwa 320 nikaongeza 40 nimenunua note 10 sim nimekaa nayo toka2019 november
 
Leo mwaka wa nne kwa kila ile upper midrange ya xiaomi naipata kwa pesa isio zidi50k ndio nilivyo sema mtu kukuelewa hii logic mtihani!Kuna mwanaume mwingine anaachiwa huko unamuonaje poco f3 na bei yake
 
Kwa Samsung around hio budget unapata A31, kwa muono wangu si simu nzuri kwa value ya pesa.

Kama unaweza kusubiri redmi note 10 pro ni simu nzuri, ama hata plain redmi note 10, zote zinakaa na Chaji na display nzuri kwa matumizi ya kila siku.

Kama Samsung ni priority subiria Galaxy A52 4G ambayo ndio imetoka, yenyewe pia specs zake ni nzuri sana, sema hii itabidi uongeze hela kidogo.
Kaka vipi kati ya real me 8 pro vs redmi note 10 pro na samsung a52

Overall nani mbabe hpo??
 
Kaka vipi kati ya real me 8 pro vs redmi note 10 pro na samsung a52

Overall nani mbabe hpo??
Overal ni Samsung galaxy A52, maana perfomance zote zinafanana, kwenye mambo mengine ya simu A52 ipo juu kama uhakika wa updates miaka 3, ubora wa display, camera, waterproof etc.

sema kama unataka perfomance ya ukweli angalia POCO x3 pro, hii ndio bora kushinda zote tatu hapo juu na bei zinafanana ama unaweza ipata rahisi zaidi, yenyewe ina snapdragon 860 ambayo ni flagship level soc, nguvu kama GAlaxy S10.
 
Asante mkuu ila naona kma real me anakaa na charge zaidi

Kuna hii moto g 5g naona nayo inapita humo humo
Overal ni Samsung galaxy A52, maana perfomance zote zinafanana, kwenye mambo mengine ya simu A52 ipo juu kama uhakika wa updates miaka 3, ubora wa display, camera, waterproof etc.

sema kama unataka perfomance ya ukweli angalia POCO x3 pro, hii ndio bora kushinda zote tatu hapo juu na bei zinafanana ama unaweza ipata rahisi zaidi, yenyewe ina snapdragon 860 ambayo ni flagship level soc, nguvu kama GAlaxy S10.
 
Asante mkuu ila naona kma real me anakaa na charge zaidi

Kuna hii moto g 5g naona nayo inapita humo humo
yah kiasi fulani ila zote tatu ni simu ambazo unakaa nazo siku nzima bila kucharge, kwenye test za gsmarena
-A52 endurance 105h
-realme 8 pro 116h
-redmi note 10 pro 118h

ila ufahamu jambo moja realme inakuja na kioo cha 60hz, samsung 90hz na Xiaomi 120hz, hivyo xiaomi na Samsung wana display za kisasa zaidi zinazokula umeme mwingi zaidi, pamoja na hilo zimeweza kutoa matokeo mazuri kwenye ukaaji chaji.

ukicompare simu kama redmi note 9s (ina soc moja na realme 8 pro sd 720) utaona kuwa realme amepitwa ukaaji chaji, 9s in 127H enudrance yake vs 116H ya realme 8 pro.
 
Hapa mnapeana maujinga tu, unakuta mtu matumizi yake ni social media, kupiga simu, sms na kupiga picha, unamshawishi anunue simu yenye ubora mkubwa tena inauzwa zaidi ya laki tano na halafu hiyo laki tano amejichanga sana mwishowe ananunua simu ili nae aonekane ana simu kali, HIVI WATANZANIA TUNAFELI WAPI????

Kwa namna hii umasikini hautaondoka kwetu hata kama tuko UCHUMI WA KATI
Kioo kikizingua unagharamika 90-120.
While simu ya 250 kioo ni 50-60
 
Back
Top Bottom