Valencia_UPV
JF-Expert Member
- Mar 31, 2016
- 6,974
- 8,750
UNYAMA mwingiKluger ni Unyama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UNYAMA mwingiKluger ni Unyama
Wachina kwenye project zao za ujenzi wanazitumia sana Kluger huenda zinahimili mikiki kuliko Forester XTBro kuluga haipo kwenye orodha ya gari kumi imara...inakuwaje gari yakazi na ngumu kuliko forester...umekariri
Jamaa kazungumzia 2nd Generation ile iko vizuri sana.
View attachment 2053020Kama hio hapo..
Kisha kuna hii 3rd generation
View attachment 2053021
Facelift yake ya 2016
View attachment 2053024View attachment 2053025
Can’t compare to same year subaru cause Subaru looks ugly!
kama wewe ni kijana na una swaga za vijana-subaru ila kama ni mtu mwenye heshima zako-kluger
Wachina kwenye project zao za ujenzi wanazitumia sana Kluger huenda zinahimili mikiki kuliko Forester XT
Hizo latest ndio ni 3.5L mkuu sema consumption iko sawa tu sababu ni VVT-i ikiwa engine haina kipengele mbona unaishi nayo freshi tu.Hizi latest models zina engine kubwa sana, 3500cc petrol. Nina hakika fuel consumption haiwezi kuwa nzuri
Hahahahahahah utapeli wa mchana kweupe 😅 mchina gani anatumia X-Trail?Wanatumia zaidi Nissan X-Trail pia.
Hii gari sijawahi kuielewa kabisa
Hizo latest ndio ni 3.5L mkuu sema consumption iko sawa tu sababu ni VVT-i ikiwa engine haina kipengele mbona unaishi nayo freshi tu.
Haliwezi likawa linakula zaidi ya 12km/l trust me.
Inakula 8.7l/100 kms on paper which is 11.4 km/l ila practically inaweza shuka let say mpk 9.5km/l towntrips which is not bad for a 2 tonne car!Sibishi but i doubt itakula zaidi ya hapa, mjiii itakula zaidi. Nasema hivi nikikinganisha na gari kama vanguard yenye 2400cc, vvt-i, na gearbox kubwa tu
Wachina wengi huku mikoani wanatumia Kluger na X-trail hasa wale wenye machine za kamali za kuweka Mia 200.. so jamaa yupo sahihiHahahahahahah utapeli wa mchana kweupe [emoji28] mchina gani anatumia X-Trail?
Labda wanaofanya kazi Masaki wale.
Iko kiti mnachozungumzia n kipi?,natumia forester 2008 ila sikioni iko kiti,maana hv viti vina option ya kuvipandisha kwa juu au kushusha kwa jins utakavyo,ok fine let say huzipend subaru forester,but concern ya kiti,consumption ya mafuta na uimara sio wa kulinganisha kluger,ujue kuna watu wanaabudu TOYOTA so brand zingine kwao hazifai,zinakunywa mafuta mara mbovu,hzo n notion za watu ambao hata kuzitumia hzo gari hawajawahiUnaweza kusafiri kutoka Dar to Mwanza ukiwa umekaa kwenye kiti ambacho kimebonyea ndani kiasi kile?
Kluger=harrier takko la nyaniJamaa angu kachukua klugger aisee n unyama kwanza ina heshima mtaani
Huenda umekosa pesa ya kununuliaHii gari sijawahi kuielewa kabisa
Fatilia barabarani ziko kiasi gani ndio utaelewa kwanini hio sio gari ya ku boastHuenda umekosa pesa ya kununulia