Plan Radeem King
Senior Member
- Mar 25, 2018
- 198
- 127
We si ndie ulikuwa unatafuta clack shaft?Hii ninayo mimi mkuu, naiuzaView attachment 876923
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We si ndie ulikuwa unatafuta clack shaft?Hii ninayo mimi mkuu, naiuzaView attachment 876923
We si ndie ulikuwa unatafuta clack shaft?
Unaiuzaje?Hapana mkuu! Ni nini hiyo?
Unaiuzaje?
inaitwa honda cbx twister...from brazil3.5m
Ni cc250
Inatumia rejeta
Speed 180
Electric start only
Poa boss but nilishajiwekea utaratibu likija swala la pkpk kwangu ni kununua mpya sio used3.5m
Ni cc250
Inatumia rejeta
Speed 180
Electric start only
Well!Poa boss but nilishajiwekea utaratibu likija swala la pkpk kwangu ni kununua mpya sio used
Hapana! Ni honda vt250F supersportinaitwa honda cbx twister...from brazil
Samahani unazifaham Bajaj discover 150?Well!
Mkuu Wick vipi kuhusu spare za TVS, maana nina hlx 150 nilimpa dogo akamwage oil naona wamenivunjia mfuniko,125 or 150?, halafu service ya kawaida gharama ni sawa kwa vyombo vyote tu mkuu!.
• Oil (20w50 yoyote)- elfu 7-8 depends na soko lenu.
• fundi 3,000 to 5,000 kwa service ya oil depends na unapoenda pia!.
Kama vifaa minor basi:
•Spark Plug ya TVS original ni elfu 8-10 depends na muuzaji wako na zinaingiliana Tvs king na ya Tvs hlx.
Ukiwa mtunzaji service kubwa baada ya mwaka 1 or ukiwa sio rafu basi hata miaka 2-3 kuanza gusa service kubwa. We zingatia tu service kila baada ya wiki 1 au wiki 2 chombo yako na tumia oil namba 20w50 mafundi wengi wanaweka 20w40 ambayo sio nzuri kwa uhai wa chombo.
Vingine nitakuwa nawapigia promi sasa, ila we jua hakuna pikipiki bora zaidi ya TVS Tanzania hata Boxer hafui dafu kwao!..
I think so, ndo zile zinabeba watu 8 wanageukiana?Samahani unazifaham Bajaj discover 150?
Duuh! Basi mkuu naona huzijuiI think so, ndo zile zinabeba watu 8 wanageukiana?
Sparkplug unaezakaa hadi mwaka hujabadili. Oil ndo kila weekAhsante sana
inaamaana ikiwa kila wiki nafanya service nikibadilisha oil na hiyo plug na nikimpa mtu kwa hesabu ya 50000 mm nitabaki na 27000 tu kwa wiki kweli gharama kubwa asante
inafanana sana aisee..mi nlikuwa na cbx twister iko ppa sana..nadhan engine zina shareHapana! Ni honda vt250F supersport
Hii mkuu? [emoji116]Samahani unazifaham Bajaj discover 150?
tvs iko smart sana hii 150..Nunua boxer 150 au tvs 125 izi tvs150 zinazingua sana katika ubora azidum
Hii ni V twin engineinafanana sana aisee..mi nlikuwa na cbx twister iko ppa sana..nadhan engine zina share
angalau bajaj pulse 180 spea zipo ila discover sijawah iona..Samahani unazifaham Bajaj discover 150?
Pulse 180 mpya inauzwaje?angalau bajaj pulse 180 spea zipo ila discover sijawah iona..