Ipi pikipiki imara na madhubuti kati ya Boxer 150 na TVS HLX 150?

Ipi pikipiki imara na madhubuti kati ya Boxer 150 na TVS HLX 150?

Anayo kuambia shemeji yangu hapo juu, ni nzuri 150 ina hadi sehemu ya kucharg sim,

Boxer ikishaanza kutoa moshi, ndiyo mwisho wa uhai wa hyo pikipiki

Tvs ni kama roho ya paka mweusi
Sawa ndugu yangu but nime Google tvs hlx 150 nimekutana na picha shapeless but hii ya sister anasema ni tvs hlx 150 nimeona ipo tofauti na nilio Google
 
Sio Biashara boss wangu, ni matumizi binafsi
Kama bado unaongelea hizi brand za kiafrika basi wana hii TVS APACHE RTR 160/180.
request-callback-bike.png
 
125 or 150?, halafu service ya kawaida gharama ni sawa kwa vyombo vyote tu mkuu!.
• Oil (20w50 yoyote)- elfu 7-8 depends na soko lenu.
• fundi 3,000 to 5,000 kwa service ya oil depends na unapoenda pia!.
Kama vifaa minor basi:
•Spark Plug ya TVS original ni elfu 8-10 depends na muuzaji wako na zinaingiliana Tvs king na ya Tvs hlx.
Ukiwa mtunzaji service kubwa baada ya mwaka 1 or ukiwa sio rafu basi hata miaka 2-3 kuanza gusa service kubwa. We zingatia tu service kila baada ya wiki 1 au wiki 2 chombo yako na tumia oil namba 20w50 mafundi wengi wanaweka 20w40 ambayo sio nzuri kwa uhai wa chombo.
Vingine nitakuwa nawapigia promi sasa, ila we jua hakuna pikipiki bora zaidi ya TVS Tanzania hata Boxer hafui dafu kwao!..
Mi naona platina iko vizuri kuliko hizo
 
Back
Top Bottom