BET Awards Red Carpet...
Pamoja na mambo mengine, usikute Diamond hapo alidhani alikuwa anaitangaza Tanzania lakini kwa wale ambao ilikuwa ndo mara yao ya kwanza kumuona/kumsikia basi, kwa hiyo dressing code, majority aliwaaminisha yeye ni Mkenya!!
Nini hiyo dressing code, hata Kiswahili huko mbele majority wanadhani Kenya ndo "wenyewe"!!
Ingawaje kwa mbaaaaaaali hivi sasa kidogo inapungua lakini zamani kuitambulisha Tanzania ipo wapi ilikuwa ni kazi ngumu kweli kweli hususani kama HUTAKI kuitaja Kenya kwa sababu the only way kuitambulisha kirahisi ilikuwa uitaje Kenya manake hata ukitaja Mt Kilimanjaro, usishangae ukaambiwa "Oh! So, you mean it's Kenya"!
Bila shaka hapo utakuwa umepata jibu!!
In short, Ujamaa wa Mwalimu ulitufanya Watanzania kuwa mazombi and less aggressive! Na vile hatutaki hata kuwashtua CCM physically, ndo kabisa coz' in Africa, if you don't have something good to showcase, just showcase your unpleasant side!