Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Acha kuropoka.Huko kote ni uswahilini hakujapimwa
Acha kuropoka.
Asilimia 99 ya Tanzania ni squatterHuko kote ni uswahilini hakujapimwa
Sehemu mbili tofautiHivi Bunju na Goba ni seehemu moja?
Goba 2010 kulikua na viwanja vya kumwaga Sasa hivi mjiniTubadili fikra na tuone mbele. Swali ni zuri lakini hivyo viwanja ni ukubwa gani? Kama unaona mbali ni muda sasa wa kuachana na kununua viwanja badala yake nenda pembezoni, nunua ekari 2 na kuendelea. Hapa ndo unaweza kufanya uendelezaji kwa ajili ya kuishi hadi uzeeni. Unaambiwa miaka ya 60 Tabata, Tegeta, Kawe, Mbezi yalikuwa ni mapori na wanaosimulia bado wako hai, mtu anakwambia hapa mbezi shule niliitiwa shamba nikakataa ili niishi Mikocheni kwenye watu.
Dodoma wanajitahidiAsilimia 99 ya Tanzania ni squatter
Dodoma ndo mji pekee asilimia kubwa umepangwaDodoma wanajitahidi
Wapi kumepimwa? Mbona Mbezi kuna sehemu nyingi tu zimepimwa.Huko kote ni uswahilini hakujapimwa
Dodoma ilianza kupimwa na CDA tangu enzi za Mwalimu.Dodoma wanajitahidi
Weka wewe sehemu zilizopimwa aende akaishiHuko kote ni uswahilini hakujapimwa
It ain't......Its a fact
Una guarantee ya kuishi mpaka uzeeni?Tubadili fikra na tuone mbele. Swali ni zuri lakini hivyo viwanja ni ukubwa gani? Kama unaona mbali ni muda sasa wa kuachana na kununua viwanja badala yake nenda pembezoni, nunua ekari 2 na kuendelea. Hapa ndo unaweza kufanya uendelezaji kwa ajili ya kuishi hadi uzeeni. Unaambiwa miaka ya 60 Tabata, Tegeta, Kawe, Mbezi yalikuwa ni mapori na wanaosimulia bado wako hai, mtu anakwambia hapa mbezi shule niliitiwa shamba nikakataa ili niishi Mikocheni kwenye watu.
Sio fact, umeropoka tu. Gezaulole kumepimwa. Mjimwema kuna sehemu zimepimwa nyingine hazijapimwa. Jibu lako ni la mropokaji.Its a fact
Acha kupovuka, zipo sehemu zimepimwa na bado viwanja vipo na vina uzwa acha kukaririIt ain't......
Unatoa shit kwa watu kutaka kujiendeleza kimaisha huku upo kwenye store hapo Tabata tena banda la uwani,wewe Dar ni wapi kwa %100 pana viwanja vilivyopimwa kama siyo huko nje ya mji alikosema mleta mada?