Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Mnajenga ili mgundue nini? Nyumba zilizopo zinatosha.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekariri mimi au wewe?Acha kupovuka, zipo sehemu zimepimwa na bado viwanja vipo na vina uzwa acha kukariri
We mrembo mpaka unapoteza urembo kama malkia Eliza unafikiri itakuwa mwaka gani? Na watoto wako kama mfalme Charles wataishi wapi miaka hiyo?Una guarantee ya kuishi mpaka uzeeni?
Nilijenga kwakua mjengo wa ndoto zangu haukuwepo dunia hii.Mnajenga ili mgundue nini? Nyumba zilizopo zinatosha.
Hizo sehemu nzuri ila akipata Oysterbay, Regency estate, Sea View au Masaki hakika ata enjoy sana life ya muda mfupi kwenye hii Jamhuri ya Kazi iendeleeHabari zenu wana JamiiForums!
Ningependa kupata maoni kwa wadau katika kuchagua eneo la kuishi. Kuna ndugu yangu anataka kujenga kabisa, viwanja anasema vipo poa kapata maeneo haya;
1. kigamboni (mjimwema, gezaulole, kisiwa)
2. kimara
3. Mbezi mwisho
4. Kitunda
5. Goba
Hivyo viwanja maeneo hayo yote anasema dalali kamwambia ni swala la yeye kuchagua eneo, kote vipo anapelekwa mda wowote.
Je, ni sehemu gani nzuri ya kuishi?
😂😂😂Hizo sehemu nzuri ila akipata Oysterbay, Regency estate, Sea View au Masaki hakika ata enjoy sana life ya muda mfupi kwenye hii Jamhuri ya Kazi iendelee
😂😂😂Huko kote ni uswahilini hakujapimwa
Kimara kumbe mzukaKimara aise nashukuru San ajataj vikindu na kisemvule Kota aliko kutaja ndio sehemu za mtu kuish huko vikindu na kisemvule tuwaachie wazaramo na wamakonde
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Anataka kujenga ndani kama ya miaka ijayo atakuwa amemaliza yuko mwanza amehamishwa huku kikazi.Tubadili fikra na tuone mbele. Swali ni zuri lakini hivyo viwanja ni ukubwa gani? Kama unaona mbali ni muda sasa wa kuachana na kununua viwanja badala yake nenda pembezoni, nunua ekari 2 na kuendelea. Hapa ndo unaweza kufanya uendelezaji kwa ajili ya kuishi hadi uzeeni. Unaambiwa miaka ya 60 Tabata, Tegeta, Kawe, Mbezi yalikuwa ni mapori na wanaosimulia bado wako hai, mtu anakwambia hapa mbezi shule niliitiwa shamba nikakataa ili niishi Mikocheni kwenye watu.
NimekupataNi mwenyeji wa kigamboni, mjimwema ssehemu gani pale, geza fresh ni maeneo mengi ya kupima.
Kiujumla kigamboni fresh.
Chalii acha bangi😂😂😂Mnajenga ili mgundue nini? Nyumba zilizopo zinatosha.
Kajenga huyo anapotosha wenzieNilijenga kwakua mjengo wa ndoto zangu haukuwepo dunia hii.
Habari zenu wana JamiiForums!
Ningependa kupata maoni kwa wadau katika kuchagua eneo la kuishi. Kuna ndugu yangu anataka kujenga kabisa, viwanja anasema vipo poa kapata maeneo haya;
1. kigamboni (mjimwema, gezaulole, kisiwa)
2. kimara
3. Mbezi mwisho
4. Kitunda
5. Goba
Hivyo viwanja maeneo hayo yote anasema dalali kamwambia ni swala la yeye kuchagua eneo, kote vipo anapelekwa mda wowote.
Je, ni sehemu gani nzuri ya kuishi?
Ila yeye mishe zake anasema zitakuwa maeneo ya posta.Along side morogoro road is the future
So kimara,mbezi,kibamba ni bora hasa kama una plan za muda mrefu.ni sehemu ambazo zinakua in 5 years to come zitaungana na kibaha.
Hapana, lakini Maandiko Matakatifu (BIBLIA) husema;Una guarantee ya kuishi mpaka uzeeni?
Mkuu inategemea unasema Tabata ipi, Sehemu zilizo nyingi za Tabata kumepimwa.It ain't......
Unatoa shit kwa watu kutaka kujiendeleza kimaisha huku upo kwenye store hapo Tabata kusipopimwa tena banda la uwani,wewe Dar ni wapi kwa %100 pana viwanja vilivyopimwa kama siyo huko nje ya mji alikosema mleta mada?