Ipi sehemu nzuri kujenga na kuishi?

Acha kupovuka, zipo sehemu zimepimwa na bado viwanja vipo na vina uzwa acha kukariri
Aliyekariri mimi au wewe?

Tuwekee hapa hizo sehemu zilizopimwa watu wakaishi lah hukuweza wewe ndiye umetoa povu!
 
Una guarantee ya kuishi mpaka uzeeni?
We mrembo mpaka unapoteza urembo kama malkia Eliza unafikiri itakuwa mwaka gani? Na watoto wako kama mfalme Charles wataishi wapi miaka hiyo?
 
Hizo sehemu nzuri ila akipata Oysterbay, Regency estate, Sea View au Masaki hakika ata enjoy sana life ya muda mfupi kwenye hii Jamhuri ya Kazi iendelee
 
Hizo sehemu nzuri ila akipata Oysterbay, Regency estate, Sea View au Masaki hakika ata enjoy sana life ya muda mfupi kwenye hii Jamhuri ya Kazi iendelee
😂😂😂
 
Anataka kujenga ndani kama ya miaka ijayo atakuwa amemaliza yuko mwanza amehamishwa huku kikazi.
 

Along side morogoro road is the future

So kimara,mbezi,kibamba ni bora hasa kama una plan za muda mrefu.ni sehemu ambazo zinakua in 5 years to come zitaungana na kibaha.
 
Along side morogoro road is the future

So kimara,mbezi,kibamba ni bora hasa kama una plan za muda mrefu.ni sehemu ambazo zinakua in 5 years to come zitaungana na kibaha.
Ila yeye mishe zake anasema zitakuwa maeneo ya posta.
 
Miaka yote nloishi dar kgambon cjawah fika ila naonaga kama imekaa kushoto sana. Kmara na mbez jenga kwa akili mana bomoa bomoa haijawah kuisha
 
Una guarantee ya kuishi mpaka uzeeni?
Hapana, lakini Maandiko Matakatifu (BIBLIA) husema;

"Mwenye haki ataishi kwa imani" hivyo tunaamini kwa neema za Mungu tutatusua hadi uzeeni.

NAKAZIA:

YEREMIA 29:11.

Maana nayajua mawazo ninayowawazia ninyi, asema BWANA, ni mawazo ya amani wala si ya mabaya, kuwapa ninyi tumaini siku zenu za mwisho.
 
It ain't......

Unatoa shit kwa watu kutaka kujiendeleza kimaisha huku upo kwenye store hapo Tabata kusipopimwa tena banda la uwani,wewe Dar ni wapi kwa %100 pana viwanja vilivyopimwa kama siyo huko nje ya mji alikosema mleta mada?
Mkuu inategemea unasema Tabata ipi, Sehemu zilizo nyingi za Tabata kumepimwa.
 
Ukubwa wa eneo ndio 'factor' ya kwanza, kama utataka kuweka makazi ya kudumu mpaka kifo; angalau liwe ekari 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…