Heavy Metal
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 881
- 2,077
Simu ni LG VELVET 5G daka mashine hiyo hutojutia,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijazungumzia specification,A54 mbona ina punch hole, haifanani na iphone.
Na processor yake ni Helio p35, haina issue.
Ndo kioo kina punch hole mkuuSijazungumzia specification,
Appearance yake ya kioo na features wamezi set kama iphone
Okay mkuuNdo kioo kina punch hole mkuu
![]()
Iphone zina notch mfano iphone i3 hizi
![]()
Kama Oppo A54 unasema inafanana na iPhone, iwe yeyote ile basi kwenye masuala ya simu hauna complications simu yoyote unatumia.Sijazungumzia specification,
Appearance yake ya kioo na features wamezi set kama iphone
Yes mkuu, na mie niliweka general ili kila mdau aisifie simu yake anayotumia in case anatumia moja kati ya izo chapa mbili ....Kama Oppo A54 unasema inafanana na iPhone, iwe yeyote ile basi kwenye masuala ya simu hauna complications simu yoyote unatumia.
Swali la mada yako halina jibu kwa kuwa hakuna simu inaitwa Oppo wala inayoitwa Vivo, hizo ni brands za simu. Taja model za simu usaidiwe kulinganisha usiwe kama huyo J. Tega hapo juu aliyesema ununue Samsung au iPhone. Ukimpa Vivo V70 Pro+ anaweza kusikitika kwa tatizo lake la kukariri
Mtu asikuambie Vivo na Oppo kampuni moja ya BBQ, ni kweli ila operating systems ni tofauti na hawashirikiani kwenye research and development. BBQ Electronics wana Vivo, OnePlus, Realme na iQOO na wote hawa wana tofauti.Yes mkuu, na mie niliweka general ili kila mdau aisifie simu yake anayotumia in case anatumia moja kati ya izo chapa mbili ....
Mimi sina complication sanaa ila huwa naangalia brands sanaa, brand kama Tecno, Itel, Infinix ata watoe simu zenye satellite Mimi nikiona tu izo chapa SINUNUI NA SITUMIIII
Unaona Infinix ni Simu halafu unazikagaa Oppo na vivo. Hizo ni Simu worldwide. Infinix haina tofauti na itel na tekno.Oppo....
Vivo......
Yan hayo majina tu nachoka kabisaaa.Nimeshaathirika na samsung..
Sidhan kama nitaweza kwakwel kutumia hizo vitu.
Kwa mbaaaaaaali kidogo infinix nimeanza kuiona kama simu siku hiz.
Siioni infinix cm ila angalau kwa stage ya jina atleast nimeizoea masikion achana na kuingia kwenye matumizi...oppo!!!!! Vivo!!!! Imagine 😂😂Unaona Infinix ni Simu halafu unazikagaa Oppo na vivo. Hizo ni Simu worldwide. Infinix haina tofauti na itel na tekno.
Ah ah ah Infinix utaliaaaa yaanninfinix ni Tecno iliyochangamkaOppo....
Vivo......
Yan hayo majina tu nachoka kabisaaa.Nimeshaathirika na samsung..
Sidhan kama nitaweza kwakwel kutumia hizo vitu.
Kwa mbaaaaaaali kidogo infinix nimeanza kuiona kama simu siku hiz.
Ulishawahi kuona mkbh, unboxing therapy hata siku moja wakifanya review ya simu za infinix, tecno et el?Siioni infinix cm ila angalau kwa stage ya jina atleast nimeizoea masikion achana na kuingia kwenye matumizi...oppo!!!!! Vivo!!!! Imagine 😂😂
Unbox therapy nimemuona anafanya review ya infinix nadhani zero xUlishawahi kuona mkbh, unboxing therapy hata siku moja wakifanya review ya simu za infinix, tecno et el?
Ila uwa wanareview vivo na oppo. Tena vivo x70 pro+ ni kati ya simu zenye camera bora kabisa ya kuchukua picha kwenye total darkness
Kweli sikuona hiyo, ila pia oppo inashuka anfasi ya 4 kwa mauzo na vivo nafasi ya tano.Unbox therapy nimemuona anafanya review ya infinix nadhani zero x
KwannYes mkuu, na mie niliweka general ili kila mdau aisifie simu yake anayotumia in case anatumia moja kati ya izo chapa mbili ....
Mimi sina complication sanaa ila huwa naangalia brands sanaa, brand kama Tecno, Itel, Infinix ata watoe simu zenye satellite Mimi nikiona tu izo chapa SINUNUI NA SITUMIIII
Nimemshangaa sana jamaa,,,,Unaona Infinix ni Simu halafu unazikagaa Oppo na vivo. Hizo ni Simu worldwide. Infinix haina tofauti na itel na tekno.