Ipi simu nzuri kati ya iPhone 8 plus, iPhone X, iPhone XR, iPhone XS, iPhone SE na iPhone 11?

Ipi simu nzuri kati ya iPhone 8 plus, iPhone X, iPhone XR, iPhone XS, iPhone SE na iPhone 11?

Wakuu nahitaji kununua simu brand ya iPhone, kiukweli nimetarget kwenye efficiency ya camera, mana nafanya biashara mtandaoni so nahtaji simu yenye camera nzuri kwa picha na hata video. Kwa wale waliowahi kutumia hizi simu ipi ipo bora zaidi kati ya hizo nilizozitaja? Japo naona zote MP 12 ila naamini ubora unapishana somehow.
Chief-Mkwawa , Mwl.RCT

Natanguliza shukrani
Ntarudi
 
Kwa haraka haraka kwa budget yako ya hizo iPhone old model upande wa camera hazita fikia midrange za xiaomi, ila kwa kua umesema umeshatumia MI products, shauri yako mkuu, kanunue hizo sim jera
Mkuu MI nimeanza kutumia kuanzia redmi note 5A, note 8 , nikadamkia note 10 pro , sikatai Wana simu nzuri , Ila tech software Kwa camera for heavy user asikudanganye mtu hamna simu mle , unajaziwa MP mpak 108 , Kwa matumizi madogo madogo it is okey , na hii unafanya picha moja inakuwa na MB nyingi ....!! Camera inawahi kuchoka , Kuliko kununua xiaom 12 ultral ni Bora niongezee hela nikanunue macho matatu 13...!!!

Hzo model nilizotaja umeziita old model, lakn still Kwa level hzo brand zingine ni matoleo machache wanaweza ku_catch, juzi nimeagizia watu hzi smu japo ni second hand Ila nimeona performance tofaut kabisa na smu hzi zingine ...

Ni aheri nipande ninunue iPhone 12 pro , kuliko kuchepukia Hz brand zingine
 
Unless unatumia program inayo compress picha kama whatsapp na ifananiavyo, au unatumia modes zinazo blur kama portrait mode ngumu kwa simu za sasa kutoa blur pic hasa flagship.

Pia kama upo serious sana shoot na raw malizia editing kwenye pc.
Shukran mkuu ngoja nijarbu kwenye PC
 
Mkuu MI nimeanza kutumia kuanzia redmi note 5A, note 8 , nikadamkia note 10 pro , sikatai Wana simu nzuri , Ila tech software Kwa camera for heavy user asikudanganye mtu hamna simu mle , unajaziwa MP mpak 108 , Kwa matumizi madogo madogo it is okey , na hii unafanya picha moja inakuwa na MB nyingi ....!! Camera inawahi kuchoka , Kuliko kununua xiaom 12 ultral ni Bora niongezee hela nikanunue macho matatu 13...!!!

Hzo model nilizotaja umeziita old model, lakn still Kwa level hzo brand zingine ni matoleo machache wanaweza ku_catch, juzi nimeagizia watu hzi smu japo ni second hand Ila nimeona performance tofaut kabisa na smu hzi zingine ...

Ni aheri nipande ninunue iPhone 12 pro , kuliko kuchepukia Hz brand zingine
S21 ULTRA VIPI NAKO NIKUZITO?

Sent from my SM-N9150 using JamiiForums mobile app
 
Formula ya kuchagua iPhone ndogo sana sio kama simu za Android.

The latest the better.

Sema ikija issue ya value for money ndio utata unapokuja mfano kwann uchukue XS kwa bei kubwa wakati ni sawa na X kabisa.

Au kwanini uchukue XR kwa bei kubwa wakati ni downgrade ya X?

Ila kwa izo chukua iPhone 11 kama budget sio tatizo.

PS: Nimefuata masharti yako ya kutaka iPhone tu na ni izo ulizotaja..

Ukitaka alternative fuata ushauri wa wadau wengine hapo juu.

hii kanuni haisimami kote kwamba the latest the better.

11 na xmax zimepishan mwaka mmoja,ila 11 inazidi xmax picha tu vingine vyote chali.
tena ukija kwenye display inapitwa hata na x.
 
hii kanuni haisimami kote kwamba the latest the better.

11 na xmax zimepishan mwaka mmoja,ila 11 inazidi xmax picha tu vingine vyote chali.
tena ukija kwenye display inapitwa hata na x.
Hakuna iPhone X Max. Labda unamaanisha XS Max.

A13 Bionic, 4K video recording, camera improvement ila Display walitumia IPS sio OLED ndio maana.

But still iPhone 11 ni Bora kuliko XS.
 
Mkuu kuna Samsung S10 plus, nayo ni jiwe ktk camera.
 
iPhone 11 iko vizuri sana,unaweza ukachek kati ya iPhone XS,XR,digital camera na iPhone 11 image zake online utaona utofauti
 
Hakuna iPhone X Max. Labda unamaanisha XS Max.

A13 Bionic, 4K video recording, camera improvement ila Display walitumia IPS sio OLED ndio maana.

But still iPhone 11 ni Bora kuliko XS.
xs max nazungumzia,sio aina ya kioo tu,hata resolution 11 inaachwa hata na x tu.
nimesisitiza pale juu,nje ya camera hakuna cha maana 11 inacho kuizidi xs max.
 
xs max nazungumzia,sio aina ya kioo tu,hata resolution 11 inaachwa hata na x tu.
nimesisitiza pale juu,nje ya camera hakuna cha maana 11 inacho kuizidi xs max.
Nouma Sana kuna mwanangu mmoja ana apple store magomen , kanambia xs ipo vizur Sana
 
Nimeona mtu kaipondea xiaomi 12 ultra asee wee kapimwe akili fasta sana Na hujui unachoandika umemezwa na brand

Kumshauri akapimwe akili ni kumcheleweshea matibabu,akaanze dose kabisaa
Mashabiki wa Xiaomi Bora hata msingevamia tuu huu Uzi , katika simu ambazo huwez nidanganya hata chembe ni simu za MI , hapa penyewe natype natumia MI , ni simu nzuri sikatai Ila Kwa mahitaji yangu simu za MI hazinifai including MI latest version 12 Ultral , ndo mana nikasema badala ya kudump hela yangu kununua MI 12 Ultral ni Bora niongezee niagize iPhone 13 pro max , najua strength na weakness zote za MI , nimeanza kuzitumia since 2018 up to date... Kimsingi kunishaur kununua simu za redmi ni kama mnanijazia tu Uzi wakuu
 
Mashabiki wa Xiaomi Bora hata msingevamia tuu huu Uzi , katika simu ambazo huwez nidanganya hata chembe ni simu za MI , hapa penyewe natype natumia MI , ni simu nzuri sikatai Ila Kwa mahitaji yangu simu za MI hazinifai including MI latest version 12 Ultral , ndo mana nikasema badala ya kudump hela yangu kununua MI 12 Ultral ni Bora niongezee niagize iPhone 13 pro max , najua strength na weakness zote za MI , nimeanza kuzitumia since 2018 up to date... Kimsingi kunishaur kununua simu za redmi ni kama mnanijazia tu Uzi wakuu
Taja hizo weakness za mi? maana mimi nina mi 9 se namwaka wa tatu sasa naona ubora ule ni ule ule tu
 
Nimeenda kuchungulia bei nimeona humu ni pa nyinyi wakubwa wa NEC
 
Back
Top Bottom