Ipi tofauti ya Masters of Applied Economics na Master of Economics au Masters of Applied Statistics na Master of statistics?

Ipi tofauti ya Masters of Applied Economics na Master of Economics au Masters of Applied Statistics na Master of statistics?

GOSSO MZEKEZEKE

Senior Member
Joined
Dec 13, 2013
Posts
180
Reaction score
204
Habari WanaJF.

Nahitaji kwenda kusoma master kati ya econimics au statistics, nimeangalia prospector za vyuo mbalimbali nikakutana vyuo kama UDSM wanatoa MASTERS OF APPLIED ECONOMICS NA MASTER OF ECONOMICS.

Vilevile nimeangalia Mzumbe University wanatoa MASTERS IN APPLIED STATISTICS wakati vyuo kama UDSM na UDOM wanatoa MASTERS IN STATISTICS na kile chuo cha Changanyikeni(EASCT) pia wanatoa MASTERS OF OFFICIAL STATISTICS.

Sasa swali langu kuna tofauti gani ile yenye applied na isiyokuwa applied?
 
Habari WanaJF.

Nahitaji kwenda kusoma master kati ya econimics au statistics, nimeangalia prospector za vyuo mbalimbali nikakutana vyuo kama UDSM wanatoa MASTERS OF APPLIED ECONOMICS NA MASTER OF ECONOMICS.

Vilevile nimeangalia Mzumbe University wanatoa MASTERS IN APPLIED STATISTICS wakati vyuo kama UDSM na UDOM wanatoa MASTERS IN STATISTICS na kile chuo cha Changanyikeni(EASCT) pia wanatoa MASTERS OF OFFICIAL STATISTICS.

Sasa swali langu kuna tofauti gani ile yenye applied na isiyokuwa applied?
jamani hamuoni au?
 
Habari WanaJF.

Nahitaji kwenda kusoma master kati ya econimics au statistics, nimeangalia prospector za vyuo mbalimbali nikakutana vyuo kama UDSM wanatoa MASTERS OF APPLIED ECONOMICS NA MASTER OF ECONOMICS.

Vilevile nimeangalia Mzumbe University wanatoa MASTERS IN APPLIED STATISTICS wakati vyuo kama UDSM na UDOM wanatoa MASTERS IN STATISTICS na kile chuo cha Changanyikeni(EASCT) pia wanatoa MASTERS OF OFFICIAL STATISTICS.

Sasa swali langu kuna tofauti gani ile yenye applied na isiyokuwa applied?
Hiyo Master in Statistics or Master of Statistics unasoma pure statistics.
Kwa hiyo unakuwa umebobea kwenye statistics.

Applied unasoma zaidi matumizi ya statistics, mfano kuandaa policy
intervention mbalimbali za takwimu nakadhalika.

Subiri walio bobea kwenye Statistics na Economics watakupa details
zaidi mimi nimetumia general knowledge ninavyo elewa mfano
Master of Science........ and Master of applied Science..........
 
Hiyo Master in Statics or Master of Statistics unasoma pure statistics.
kwa hiyo unakuwa umebobea kwenye statistics.

Applied unasoma zaidi matumizi ya statistics, mfano kuandaa policy
intervention mbalimbali za takwimu nakadhalika.

Subiri walio bobea kwenye Statistics na Economics watakupa details
zaidi mimi nimetumia general knowledge ninavyo elewa mfano
Master of Science........ and Master of applied Sciences.........
Uko sahihi sana.
Mhusika anapaswa kuangalia ni nini kinamfaa kwa eneo lake.
 
Habari WanaJF.

Nahitaji kwenda kusoma master kati ya econimics au statistics, nimeangalia prospector za vyuo mbalimbali nikakutana vyuo kama UDSM wanatoa MASTERS OF APPLIED ECONOMICS NA MASTER OF ECONOMICS.

Vilevile nimeangalia Mzumbe University wanatoa MASTERS IN APPLIED STATISTICS wakati vyuo kama UDSM na UDOM wanatoa MASTERS IN STATISTICS na kile chuo cha Changanyikeni(EASCT) pia wanatoa MASTERS OF OFFICIAL STATISTICS.

Sasa swali langu kuna tofauti gani ile yenye applied na isiyokuwa applied?
Official statistics ni Competence Based Statistics. Inamuandaa mhitimu kufanya kazi za kitakwimu katika ofisi za takwimu. Hutu ni mbobezi. Applied statistics ni kupitia Knowledge Based Statistics maana yake yupo too theoretical.
 
Hiyo Master in Statistics or Master of Statistics unasoma pure statistics.
Kwa hiyo unakuwa umebobea kwenye statistics.

Applied unasoma zaidi matumizi ya statistics, mfano kuandaa policy
intervention mbalimbali za takwimu nakadhalika.

Subiri walio bobea kwenye Statistics na Economics watakupa details
zaidi mimi nimetumia general knowledge ninavyo elewa mfano
Master of Science........ and Master of applied Science..........
Upo sahihi
 
Hiyo Master in Statistics or Master of Statistics unasoma pure statistics.
Kwa hiyo unakuwa umebobea kwenye statistics.

Applied unasoma zaidi matumizi ya statistics, mfano kuandaa policy
intervention mbalimbali za takwimu nakadhalika.

Subiri walio bobea kwenye Statistics na Economics watakupa details
zaidi mimi nimetumia general knowledge ninavyo elewa mfano
Master of Science........ and Master of applied Science..........
Sawa, kwenye application za kazi Kwa mfano ukiingia ajira portal zipo kwenye category Moja, ukiangalia wanaoajiriwa vyuoni kufundisha hizo kozi wote wanaingia na kuwa wahadhiri, huku makazini wote wapo na kazi wanazofanya zinafanana. Sasa kwanini wafanane Kila kitu halafu kozi ziwe mbili tofauti . ? Kama mmoja ni applied basi angekuwa anaingia kwenye application peke yake, lakini ukichunguza makazini wote wapo sehemu zinazofanana. Hapo ndio sielewi.
 
Habari WanaJF.

Nahitaji kwenda kusoma master kati ya econimics au statistics, nimeangalia prospector za vyuo mbalimbali nikakutana vyuo kama UDSM wanatoa MASTERS OF APPLIED ECONOMICS NA MASTER OF ECONOMICS.

Vilevile nimeangalia Mzumbe University wanatoa MASTERS IN APPLIED STATISTICS wakati vyuo kama UDSM na UDOM wanatoa MASTERS IN STATISTICS na kile chuo cha Changanyikeni(EASCT) pia wanatoa MASTERS OF OFFICIAL STATISTICS.

Sasa swali langu kuna tofauti gani ile yenye applied na isiyokuwa applied?
In nutshell
Applied ni kusoma vitu vingine lkn methodology zinakua za somo lingine,mfano applied statistics unakua unasoma mathematics,possible na course za sociology ambazo zinaendana nauchukuaji wa taarifa but methodology unazotumia ni statistics the same na economics.
But in statistics/economics inakua ndio core course yako hizo nyingine ni option
 
Back
Top Bottom