Ipi umeipenda kati ya hizi

socket

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2014
Posts
305
Reaction score
433
👉ukisikia mpenz wako anakuita baby ujue kuna mkubwa wako"!!!

👉Sio kila anayekwambia I love anakupenda wengine wanajifunza kingereza.

👉Mke Mwema Anatoka Kwa MUNGU,mume Bora CRDB,NMB,DCRB N.K

👉uktaka kujua short kati kula nauli

👉-"Makalio ya sufuria hayaogopi moto"-

👉hata uoge na mche mzma wa sabuni huendi na mm mjini

👉Kuchanika kwa jamvi sio mwisho WA maongezi

👉KAMA UNIFORM NDIO ZINAKUZINGUA MSHONEE MKEO

👉KAUSHA TUMEVURUGWA

👉ukiwa mmbea uwe na kumbukumbu,

👉Dawa ya mcharuko tiamimba

👉Ukitaka kumjua mume mwenzio we Mwache mkeo!!!,

👉Hata uwe mzuri vipi utakwepa yangu utakutana na ya mwingine kama yangu tena.

👉bao la mkono n punyeto pekeeeeee

👉KILA KUBWA INA KUBWA YAKE,..

👉UKIWAFIKIRIA SAANA HUWEZI KUWAOA WE NIULIZE MIMI!!!'

👉Pesa huna, nguvu huna, hata mkwala huwezi?"

👉Chumba cha kupanga mbwa wa nini?

👉Hakuna Tasa wala mgumba Taiming yako mbovu

👉ukitaka kujua mapenzi ya mkeo filisika"

👉kama ndoto hazijatimia kalale tena

👉Ukiona unanyota yakupendwa na wanafunzi wakike ujue jela linakuita'

👉Dereva angusha gari tuonekane kwenye t
 
Dereva angusha gari tuonekane kwenye Tv.
 
Mke mwema anatoka kwa mungu ila mume bora anatoka nmb, crdb nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…