socket
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 305
- 433
👉ukisikia mpenz wako anakuita baby ujue kuna mkubwa wako"!!!
👉Sio kila anayekwambia I love anakupenda wengine wanajifunza kingereza.
👉Mke Mwema Anatoka Kwa MUNGU,mume Bora CRDB,NMB,DCRB N.K
👉uktaka kujua short kati kula nauli
👉-"Makalio ya sufuria hayaogopi moto"-
👉hata uoge na mche mzma wa sabuni huendi na mm mjini
👉Kuchanika kwa jamvi sio mwisho WA maongezi
👉KAMA UNIFORM NDIO ZINAKUZINGUA MSHONEE MKEO
👉KAUSHA TUMEVURUGWA
👉ukiwa mmbea uwe na kumbukumbu,
👉Dawa ya mcharuko tiamimba
👉Ukitaka kumjua mume mwenzio we Mwache mkeo!!!,
👉Hata uwe mzuri vipi utakwepa yangu utakutana na ya mwingine kama yangu tena.
👉bao la mkono n punyeto pekeeeeee
👉KILA KUBWA INA KUBWA YAKE,..
👉UKIWAFIKIRIA SAANA HUWEZI KUWAOA WE NIULIZE MIMI!!!'
👉Pesa huna, nguvu huna, hata mkwala huwezi?"
👉Chumba cha kupanga mbwa wa nini?
👉Hakuna Tasa wala mgumba Taiming yako mbovu
👉ukitaka kujua mapenzi ya mkeo filisika"
👉kama ndoto hazijatimia kalale tena
👉Ukiona unanyota yakupendwa na wanafunzi wakike ujue jela linakuita'
👉Dereva angusha gari tuonekane kwenye t
👉Sio kila anayekwambia I love anakupenda wengine wanajifunza kingereza.
👉Mke Mwema Anatoka Kwa MUNGU,mume Bora CRDB,NMB,DCRB N.K
👉uktaka kujua short kati kula nauli
👉-"Makalio ya sufuria hayaogopi moto"-
👉hata uoge na mche mzma wa sabuni huendi na mm mjini
👉Kuchanika kwa jamvi sio mwisho WA maongezi
👉KAMA UNIFORM NDIO ZINAKUZINGUA MSHONEE MKEO
👉KAUSHA TUMEVURUGWA
👉ukiwa mmbea uwe na kumbukumbu,
👉Dawa ya mcharuko tiamimba
👉Ukitaka kumjua mume mwenzio we Mwache mkeo!!!,
👉Hata uwe mzuri vipi utakwepa yangu utakutana na ya mwingine kama yangu tena.
👉bao la mkono n punyeto pekeeeeee
👉KILA KUBWA INA KUBWA YAKE,..
👉UKIWAFIKIRIA SAANA HUWEZI KUWAOA WE NIULIZE MIMI!!!'
👉Pesa huna, nguvu huna, hata mkwala huwezi?"
👉Chumba cha kupanga mbwa wa nini?
👉Hakuna Tasa wala mgumba Taiming yako mbovu
👉ukitaka kujua mapenzi ya mkeo filisika"
👉kama ndoto hazijatimia kalale tena
👉Ukiona unanyota yakupendwa na wanafunzi wakike ujue jela linakuita'
👉Dereva angusha gari tuonekane kwenye t