Ipo haja kubwa kubambana na uonevu wa vyombo vya dola kwa njia mbadala

Ipo haja kubwa kubambana na uonevu wa vyombo vya dola kwa njia mbadala

Hakukuwa na uchaguzi pale, ni uchafuzi tu
Ukishindwa wewe ni uchafuzi ha ha ha
Toka vyama vingi vianze ni lini mliwahi sema Uchaguzi ulikuwa mzuri? mkishinda nongwa mkishindwa nongwa.

Afadhali safari hii mmepigwa chini safi sana mijitu gani isiyo na shukrani nyie looo

Mpate Wabunge wengi kelele mkose kelele hamna shukrani hata kwa Mungu mkipata

Na sasa ndio imetoka hiyo Mungu alikuwa akiwalia timing tu sababu mkipata mnatukana tu hamshukuru Mungu wala tume ya Uchaguzi .Mijitu isiyo na shukrani kama nyie hata Mungu hawahitaji kabisa.
 
UKISHINDWA wewe ni uchafuzi ha ha ha
TOKA vyama vingi vianze ni lini mliwahi sema uchaguzi ulikuwa mzuri? MKISHINDA NONGWA MKISHINDWA NONGWA

Afadhali safari mumepigwa chini safi sana mijitu gani isiyo na shukrani nyie looo

mpate wabunge wengi kelele mkose kelele hamna shukrani hata kwa Mungu mkipata

Na sasa ndio imetoka hiyo Mungu alikuwa akiwalia timing tu sababu mkipata mnatukana tu hamshukuru Mungu wala tume ya uchaguzi .MIJITU ISIYO NA SHUKRANI KAMA NYIE HATA Mungu hawahitaji kabisa

Nguvu yako ya buku 7 > buku ya Biko.

Umethibitisha hilo kwa vitendo. Hupumziki kutetea hata ambavyo unaowatetea wanakushangaa!
 
Hivi kwa nini Watanzania tunawaza upotofu Nchi yetu ina Rais msikivu kwa nini mnalalamika pembeni afu kama kweli unaonewa nenda na ushahidi wako kaseme kwa wenye dhamani tusiwe wanafiki wakulalamika tubadilike sasa ni wakati wa kazi
Eeeenh, umelewa kwelikweli madaraka uliyokabidhiwa bila ya kuwa na vigezo vyake!

Sikiliza, huyo unayemsema ni 'msikivu' amekusikia wewe anayekuita 'mnyonge' na wewe ukakubali hali hiyo. Sasa umelewa kiasi kwamba unataka na wengine wote wajishushe utu wao kwa kusudi la kukidhi cheo hicho cha 'unyonge'?

Baadhi ya hawa watu utu, uhuru na haki kwao ni kila kitu. Kwa hiyo wewe usiyethamini hayo usitake kuona wengine nao wakijidhalilisha kama wewe.
 
Mmewatukana Mahakama weee hadi wao na Familia zao wakawanyima kura,mkatukana vyombo vya Dola weee hadi wao na familia zao wakawanyima kura ,mkatukana serikali weee hadi Wafanyakazi wa Serikali na Familia zao wakawanyima kura,mkatukana tume na wafanyakazi wake weeee hadi wao na Familia zao wakawanyima kura halafu baadaye mnakuja kubweka ohhh CCM hawakushinda kihalali!!!
Mbona unaandika kama umekatwa kichwa? Nmeuliza swali hujajibu unahatisha vitu ambavyo haviusiki.
Bangi za CCM bana
 
Ukishindwa wewe ni uchafuzi ha ha ha
Toka vyama vingi vianze ni lini mliwahi sema Uchaguzi ulikuwa mzuri? mkishinda nongwa mkishindwa nongwa.

Afadhali safari hii mmepigwa chini safi sana mijitu gani isiyo na shukrani nyie looo

Mpate Wabunge wengi kelele mkose kelele hamna shukrani hata kwa Mungu mkipata

Na sasa ndio imetoka hiyo Mungu alikuwa akiwalia timing tu sababu mkipata mnatukana tu hamshukuru Mungu wala tume ya Uchaguzi .Mijitu isiyo na shukrani kama nyie hata Mungu hawahitaji kabisa.
Kwa hiyo wewe kwa akili zako unaamini Hussein Mwinyi kapata 76% na Maalim Seif kapata 19%?
Wewe na akili zako kabisa kabisa unakubali hilo?
 
Huko kote wazee ndio waliwadondosha nyie Upinzani sanduku la kura baada ya kuona mnakumbatia Uzungu AMSTERDAM zaidi kuliko uswahili kila saaa ohh Wazungu watatusaidia wakaona watumie teknolojia kuwabwaga chini sanduku la kura ili muendelee na uchawi wenu wa kizungu mnaoutegemea
Hoja hapa ni uonevu unaofanywa na vyombo vya dola,jikite kwenye mada boss.
 
Back
Top Bottom