Ukishindwa wewe ni uchafuzi ha ha haHakukuwa na uchaguzi pale, ni uchafuzi tu
Kuna watu wanauwawa hata sio majambazi. Ipo siku ndugu yako yatamkuta alafu ndio utakuja kujifunza kuwa hawa jamaa wanaonea watu sana.
UKISHINDWA wewe ni uchafuzi ha ha ha
TOKA vyama vingi vianze ni lini mliwahi sema uchaguzi ulikuwa mzuri? MKISHINDA NONGWA MKISHINDWA NONGWA
Afadhali safari mumepigwa chini safi sana mijitu gani isiyo na shukrani nyie looo
mpate wabunge wengi kelele mkose kelele hamna shukrani hata kwa Mungu mkipata
Na sasa ndio imetoka hiyo Mungu alikuwa akiwalia timing tu sababu mkipata mnatukana tu hamshukuru Mungu wala tume ya uchaguzi .MIJITU ISIYO NA SHUKRANI KAMA NYIE HATA Mungu hawahitaji kabisa
Eeeenh, umelewa kwelikweli madaraka uliyokabidhiwa bila ya kuwa na vigezo vyake!Hivi kwa nini Watanzania tunawaza upotofu Nchi yetu ina Rais msikivu kwa nini mnalalamika pembeni afu kama kweli unaonewa nenda na ushahidi wako kaseme kwa wenye dhamani tusiwe wanafiki wakulalamika tubadilike sasa ni wakati wa kazi
Mbona unaandika kama umekatwa kichwa? Nmeuliza swali hujajibu unahatisha vitu ambavyo haviusiki.Mmewatukana Mahakama weee hadi wao na Familia zao wakawanyima kura,mkatukana vyombo vya Dola weee hadi wao na familia zao wakawanyima kura ,mkatukana serikali weee hadi Wafanyakazi wa Serikali na Familia zao wakawanyima kura,mkatukana tume na wafanyakazi wake weeee hadi wao na Familia zao wakawanyima kura halafu baadaye mnakuja kubweka ohhh CCM hawakushinda kihalali!!!
Kwa hiyo wewe kwa akili zako unaamini Hussein Mwinyi kapata 76% na Maalim Seif kapata 19%?Ukishindwa wewe ni uchafuzi ha ha ha
Toka vyama vingi vianze ni lini mliwahi sema Uchaguzi ulikuwa mzuri? mkishinda nongwa mkishindwa nongwa.
Afadhali safari hii mmepigwa chini safi sana mijitu gani isiyo na shukrani nyie looo
Mpate Wabunge wengi kelele mkose kelele hamna shukrani hata kwa Mungu mkipata
Na sasa ndio imetoka hiyo Mungu alikuwa akiwalia timing tu sababu mkipata mnatukana tu hamshukuru Mungu wala tume ya Uchaguzi .Mijitu isiyo na shukrani kama nyie hata Mungu hawahitaji kabisa.
Hoja hapa ni uonevu unaofanywa na vyombo vya dola,jikite kwenye mada boss.Huko kote wazee ndio waliwadondosha nyie Upinzani sanduku la kura baada ya kuona mnakumbatia Uzungu AMSTERDAM zaidi kuliko uswahili kila saaa ohh Wazungu watatusaidia wakaona watumie teknolojia kuwabwaga chini sanduku la kura ili muendelee na uchawi wenu wa kizungu mnaoutegemea
Ndio maana tunaomba wazee watusaidie kutumia njia mbadala, waombe mizimu ya mababu itusaidie.Kama yeye ni wao. Tangu lini nyani akaona kundule?
Mtu mwenye akili huwezi kutetea maovu ya polisi.Nguvu yako ya buku 7 > buku ya Biko.
Umethibitisha hilo kwa vitendo. Hupumziki kutetea hata ambavyo unaowatetea wanakushangaa!