Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Aaah bwana[emoji4][emoji4][emoji4] Safi kabisa karibu nyumbani, mwakani (mwaka mpya) karibu Blantyre
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaah bwana[emoji4][emoji4][emoji4] Safi kabisa karibu nyumbani, mwakani (mwaka mpya) karibu Blantyre
Pombe mchana huonjwa onjwa tu kama kisindikiza ugali....! Pombe hasa muda wake ni usiku mpaka saa 7 - 8,unapovukisha hapo unakuwa ni mlevi fulani.Sasa unywe pombe mchana halafu uingie kazini usiku kweli! Kama huwezi kujizuia basi tambua kwamba wewe ni dhaifu!
-Rushwa-Kuna bars ubungo, sinza, kinondoni hiyo sheria hatuitambui kabisa.
Tabata ndio kabisaaa...pombe kuanzia saa 2 mpaka kuchereeeKuna bars ubungo, sinza, kinondoni hiyo sheria hatuitambui kabisa.
Serekali na viwanda vyetu waliwajali sana wakulima ikitambua wakulima kwa tanzania wanamizania ya 85%, 3%wafanyakazi, na 12% ndio Sisi wafanyabiashara kwa Ujumla wetu, lakini kwa upendo viwanda vyetu pendwa vikawapa tunu wakulima kwa "The kick, na Balimi" kama tuzo maalumu kwenu.Naunga mkono hoja sisi wengine wakulima
Sifahamu kwa nini, defender hutimba kila wakati na kuzoa watu maeneo niliyopo!Maeneo niliyopo pombe wanakunywa kuanzia saa moja asubuhi
Boss Mchana huo Walinzi tunakuwa tumelala tunajiandaa na lindo Usiku na na Wanaofanya kazi Mchana wanakuwa bize Sana hivyo wakirekebisha Sheria wafanyakazi wa Mchana watakuwa Walevi sanaLeseni zinasema bar ifunguliwe saa 10 jioni mpaka saa 5 usiku kwa siku za j3-ijumaa,na Jumamosi na jumapili saa 8 mchana mpaka saa 6 usiku.
Nashauri leseni ziruhusu kunywa pombe masaa yote Isipokuwa kwa staha maalumu, namaanisha kwa masaa kabla ya saa kumi pombe zinywewe ndani ya bar au mahala ambapo mnywaji hataonekana na kadamnasi au hatukuwa katika hadhara za kadamnasi, itakapotimu saa kumi ndio iwe ruhusa watu kujivinjari na vinywaji vyao huku wakionekana na kadamnasi au hadhara.
Reasons:-
Kila mtanzania anamasaa yake ya kwenda kuwajibika katika kujitafutia riziki, Tupo ambao ni walinzi ambao muda wetu wa kujivinjari ni mchana tu, wapo wenye shifts zao viwandani ambao huingia kazini usiku, wakulima wao hujipangia muda wao wenyewe alkadhalika wafanyabiashara ni kada zinazojipangia muda kutegemeana na jukumu lililopo.
Tbl awali kilikuwa ndicho kiwanda tegemewa kimapato kwa serekali.
"TBL & SERENGETI BREWERIES, NOURISH YOUR LIVES"