Ipo haja ya misingi inayosimamia uendeshaji wa vyama vya kisiasa kuwekewa mipaka.

Ipo haja ya misingi inayosimamia uendeshaji wa vyama vya kisiasa kuwekewa mipaka.

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Sheria hutungwa na kuwekwa kama muongozo wetu, ili kulinda maisha yetu sisi binadamu na kudumisha ustaarabu,ikiwepo kutokuvuka mipaka ambayo tunakuwa tumejipangia,
#naendelea..
 
Kuna wakati ifike tuweke unafique pembeni! Sasa ni muda wa kuongea kwa lugha ngumu na inayokera.. Huo upole na mipaka ndio vimetufikisha hapa tulipo!
Wenzetu wameshavuka mipaka ya ukondoo bado sisi
FB_IMG_1690931691107.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom