Ipo siku ambayo vijana watakuja kugundua kuwa bodaboda zinawaumiza na kudai kupewa Kazi nyingine salama

Ipo siku ambayo vijana watakuja kugundua kuwa bodaboda zinawaumiza na kudai kupewa Kazi nyingine salama

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Utafiti mdogo niliofanya kuhusu ukosefu was nguvu za kiume miongoni mwa vijana unaonyesha kuwa vijana wanaofanyakazi ya bodaboda wanakabiliwa na upungufu was nguvu za kiume kwenye umri mdogo.

Na tatizo ni kubwa kwa wale wanaobeba mishikaki (abiria zaidi ya mmoja) na mizigo mikubwa, kwakuwa inawafanya wasogee mbele na kukalia tank LA mafuta ambalo linabana na kuziminya kwa muda mrefu korodani na mishipa damu na fahamu kwenye sehemu zake za siri.

Pili, vijana wanaoendesha bodaboda hupenda kutumia kinywaji cha energy kama nyia ya kuwaondolea uchovu na usingizi. Lakini kinywaji hiki kina kiasi kikubwa cha caffeine ambayo sio rafiki kwa nguvu za kiume pia.

Tatu, Uchovu mwingi unaotokana na kiendesha bodaboda mchana kutwa juani, kwenye upepo na mvua vinawasababishia uchovu mwingi na magonjwa ya kwenye mfumo wa hewa ambayo yanapunguza ufanisi wa mfumo wao wa uzazi.

NNE, madeni ya pikipiki (hesabu) na polisi barabarani yanawasababishia msongo mkubwa wa mawazo ambao unakwenda kuathiri nguvu za kiume wakati wa tendo.

Serikali ichukue hatua kulilinda kundi hili kubwa na wananchi wake mapema kabla kuzalisha mahanithi wengi. Vijana watafutiwe ajira badala ya kudhani kazi ya bodaboda ni ajira kwa vijana.

Iko Siku (sio Leo) ambayo vijana watakuja kugundua kuwa bodaboda zinawaumiza na kudai kupewa Kazi nyingine salama. Hapo ndipo wanasiasa watatafutana.
 
Kuna Eneo haupo sahihi usihalalishe hoja yako kwa kusema kwa utafiti mdogo !!! Tuambie ulisample watu wangapi na matokeo yakawje
Wanaobana korodani kadhaa ni miongoni mwa idadi fulani ya mahanithi na ambao kabla ya Bodaboda walikuwa vyema
Eneo jingine hukusema sawa ni kwenye Energy drink .

Tuambiane ukweli mbali ya kuwa.Caffeine ni Stimulus effect kubwa ni kuongeza Cardiac output hii sidhani kama. Ina impaired effect on spermatogenesis au penile erection hata.kujamiana nako huongeza cardinal output so caffeine usiitie huko

Eneo la hesabu ya boss na ya polisi hii si bodaboda peke yao hebu wafikirie wafanya biashara na TRA unadhani nini kinatokea
HATARI

Kwa bodaboda ni Helmet feke.ambayo ikidondoka tu chini haina uhai halafu ati TBS wanaipitisha kuwa imekidhi viwango vya usalama wa muendeshaji na muendeshwa
emoji36.png
emoji36.png
Haya kisayansi Hewa yapaswa kuchunjwa puani na kooni kabla haijafika kwenye mapafu . Sisi vijana wana helmet kapelo ambayo haikingi kasi ya hewa puani wala machoni matokeo yake vijana wanavaa kakoti kwa kugeuza ATI ANAZUIA UPEPO KUINGIA KIFUANI (Mapafu) asipate kuugua ugonjwa wa mapafu ambayo ni.Absolutely wrong
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
emoji658.png
Athari inapita puani si kifuani , Vijana wanatakiwa wapewe elimu si hofu
emoji1319.png
emoji1319.png
 
Kwa kuongezea, kukaa muda mrefu kwenye pikipiki hasa kwa njia zisizo nzuri huleta maumivu kwenye pingili za uti wa mgongo jambo ambalo huweza kusababisha maumivu makali ya mgongo kwa kipindi kirefu
 
Wale mkuu ni watamu balaa ila hakikisha hudakwi na mbabe maana sikuhizi unahasiwa. Kidude kinakuwa spermless kinaingia ndani.
Sahivi mambo yamebadilika unafumania wewe na unapigika wewe wewe ulie fumania nakuchakaza hiyo sura
 
Sahivi mambo yamebadilika unafumania wewe na unapigika wewe wewe ulie fumania nakuchakaza hiyo sura
We kula tu ila omba yasikukute maana Hufumaniwi na mwenye mke, watu wanatafuta pesa hawajali kizazi chako wanakuhasi kisha wanakula mzigo unaachwa salama uraiani. Na si lazima ufumaniwe unaweza tafutwa tu 45 min zinatosha kupigwa pipe, picha ukiwa umejaa shahawa kisha sindano ya kuhasiwa.

Uwepo wa watu kama wewe ni dili, yaani chanzo cha mapato kwa wengine, na salama kuliko kuvunja bank.

Mwenye mke anatumiwa picha tu ya yaliyokukuta anamalizia malipo. Ushauri ni kwepa wake za wenye nazo na vigogo na usijifanye mjanja sana.
HUPEWI KOMBE KWA KULA WAKE ZA WATU.
 
Trust me mkuu hakunaga tatizo la nguvu za kiume kama tunavyoaminishwa.Hizo ni promo za biashara za watu madokta njaa akina mwaka and the likes pamoja na waganga wa kienyeji.

Sio udereva boda boda wala msngo wa mawazo unaosababisha upungufu wa nguvu za kiume.No wonder hata nguvu za kiume hizo 90% hawajui maana yake nini they just talk.

Halaf huu upumbavu unakua kwa kasi kwasababu huna namna ya ku JUSTIFY kuwa watu wangapi wana hili tatizo.

Kingine hawa wanaojiita watafit hawana namna ya ku access taarifa exactly toka kwa watu walioathirika.So wanapika pika tu data (viwanda vya uongo) zaid zaid wanakuwa fed na info toka kwa wanawake MALAYA ambao huhalalisha umalaya wao kwa kusema wanaume zao hawawaridhishi.
Ofcz kutoridhishwa kupo ila sio lazima nguvu za kiume zihusike.Sasa unakula ji mwanamke lishakubuhu kwenye umalaya na kila aina ya ngono chafu unadhan huyu anaridhika na nini !!?akiulizwa kwann atakupa jibu kuwa nguvu za kiume tatizo kwa mumuewe/ boy wake..

Kama vile ilivyo VIVID ku collect taarifa kwenye reseaxh za waathirika wa ukimwi ,sivyo ilivyo kwa issue hii.Hawa wanaojiita watafit ni waongo waongo na wazushi tu na mwisho wa siku wanazua panic kwa vijana.
Hakuna mahal utakwenda na kujithibitishia kuwa huyu hana nguvu za kiume au huyu anazo...hii ndio window wanayotumia kuzusha upumbavu wao ili washawishi watu kuwauzia midawa yao ambayo hata haitambuliki na Tfda.Hata hospital (sina uhakika honstly) sidhan kama kuna clinic za waathirika wa hiz mambo sasa sijui hiz taarifa wanazitoaga wapi.
 
We kula tu ila omba yasikukute maana Hufumaniwi na mwenye mke, watu wanatafuta pesa hawajali kizazi chako wanakuhasi kisha wanakula mzigo unaachwa salama uraiani. Na si lazima ufumaniwe unaweza tafutwa tu 45 min zinatosha kupigwa pipe, picha ukiwa umejaa shahawa kisha sindano ya kuhasiwa.

Uwepo wa watu kama wewe ni dili, yaani chanzo cha mapato kwa wengine, na salama kuliko kuvunja bank.

Mwenye mke anatumiwa picha tu ya yaliyokukuta anamalizia malipo. Ushauri ni kwepa wake za wenye nazo na vigogo na usijifanye mjanja sana.
HUPEWI KOMBE KWA KULA WAKE ZA WATU.
Mimi unanifumania na nakukula tigo wewe wewe ulie nifumania + kipigo Hadi sura inasahaulika
 
Mimi unanifumania na nakupiga paipu wewe wewe ulie nifumania + kipigo Hadi sura inasahaulika
Unafumaniwa na nani wewe? Nani ana muda wa kukufumania wakati watu wana shida na pesa? Wewe ni dili tu. Wapo watu wenye pesa wanatoa ili ushughulikiwe.
 
Kuna Eneo haupo sahihi usihalalishe hoja yako kwa kusema kwa utafiti mdogo !!! Tuambie ulisample watu wangapi na matokeo yakawje
Wanaobana korodani kadhaa ni miongoni mwa idadi fulani ya mahanithi na ambao kabla ya Bodaboda walikuwa vyema
Eneo jingine hukusema sawa ni kwenye Energy drink .

Tuambiane ukweli mbali ya kuwa.Caffeine ni Stimulus effect kubwa ni kuongeza Cardiac output hii sidhani kama. Ina impaired effect on spermatogenesis au penile erection hata.kujamiana nako huongeza cardinal output so caffeine usiitie huko

Eneo la hesabu ya boss na ya polisi hii si bodaboda peke yao hebu wafikirie wafanya biashara na TRA unadhani nini kinatokea
HATARI

Kwa bodaboda ni Helmet feke.ambayo ikidondoka tu chini haina uhai halafu ati TBS wanaipitisha kuwa imekidhi viwango vya usalama wa muendeshaji na muendeshwa
emoji36.png
emoji36.png
Haya kisayansi Hewa yapaswa kuchunjwa puani na kooni kabla haijafika kwenye mapafu . Sisi vijana wana helmet kapelo ambayo haikingi kasi ya hewa puani wala machoni matokeo yake vijana wanavaa kakoti kwa kugeuza ATI ANAZUIA UPEPO KUINGIA KIFUANI (Mapafu) asipate kuugua ugonjwa wa mapafu ambayo ni.Absolutely wrong
emoji16.png
emoji16.png
emoji16.png
emoji658.png
Athari inapita puani si kifuani , Vijana wanatakiwa wapewe elimu si hofu
emoji1319.png
emoji1319.png
Umepanic, Utafiti mdogo kwa lugha yetu tunauita mini-research. Mini research inakupa crude information inayokuambia unahitaji kufanya utafiti kamili na kufanya statistical tests zote.

Ulitaka hapa nikupe na p-value, kai squares tests, confidence internal, nk? Utafiti unapingwa kwa kufanya utafiti, fanya utafiti kabla ya kusema umekosea. Mimi nashinda vijiweni ambako vijana wa bodaboda wako, ninachangamana nao na wananiletea kero zao za kifamilia kila siku, hivyo wewe huna haki ya kunikosoa bila kuja na utafiti wako kupinga wa kwangu.

Lakini ukweli ni huo kaka, wanasiasa kuna siku vijana wa bodaboda watagundua kuwa hamkuwasaidia kabisa, time will tell.
 
Kwa kuongezea, kukaa muda mrefu kwenye pikipiki hasa kwa njia zisizo nzuri huleta maumivu kwenye pingili za uti wa mgongo jambo ambalo huweza kusababisha maumivu makali ya mgongo kwa kipindi kirefu
Maumivu mahala popote mwilini, hasa kiono, mgongo na korodani yanasumbua nguvu za kiume
 
Back
Top Bottom