Ipo siku Kenya itatawaliwa na kizazi cha Somalia

Ipo siku Kenya itatawaliwa na kizazi cha Somalia

Wapo lakini ni wachache tofauti na baadhi ya nchi jirani zetu. Mwaka 2015 nilimchagua mwendazake kuwa Rais lakini alipoingia kuna matendo ya ajabu yaliyotokea kipindi cha utawala wake sijawahi kuona wala kusikia maisha yangu yote. Sasa inasemekana ana asili ya nje ya Tanzania na nchi anayonasibishwa nayo ni Burundi ambao kwao umafia ni kitu cha kawaida tu.

US ni nchi ya wahamiaji haina mwenyewe ingawa wana sheria kali kudhibiti watu viazi ila nchi za ulaya zilizochukua wakimbizi kama pipi tayari wameshaanza kuona madhara yake. Ufaransa wamepitisha sheria kudhibiti waislam ambao wanaleta tamaduni zao ufaransa. Denmark na Sweden wanarudisha wakimbizi makwao kwa lazima. Kuna kiongozi wa Venezuela anaitwa Tareck el Aissami ana asili ya Syria anashutumiwa kushirikiana na Hezbollah na pia ni muuzaji mkubwa wa madawa ya kulevya.

Nisawazishe kitu hapa. Sio kila muhamiaji ni mbaya wengine wapo tayari kuingiliana na jamii waliyoikuta na kufata tamaduni za pale( mf. Wacongo) ila kuna wengine unakuta ni wahamiaji lakini bado wanajiona ni bora kuliko wenyeji na wana asili ya uovu mfano, warundi, warwanda, waarabu na hao wasomali mnaowakumbatia.

Acheni huo uliberali wa kipuuzi, kama ni kuwa kiongozi waishie kwenye ubunge huku ili kuwaridhisha ila kule juu kuweni makini
Mfano wako umenifundisha kitu...kweli hoja yako ina mashiko
 
Ishu ipo kwa TZ ambako Zabzibar ina nguvu sana, Zanzibar ni nchi ndogo sana lakini naweza kusema inapewa priority kubwa sana.

Rsis akiwa wa Tanganyika basi mahakamu aakuwa wa kenya aama vice versa kama saizi.

Zanzibar tayari wana rais , mahakamu wa rais wao, bunge lao, etc kwajili ya zanzibar lakini Tanganyika hakuna hii, Raisi wa Tanzania anakuwa wa Tanganyika + Zanzibar, mfano kwa saizi raisi wa Tanzania katokea Zanzibar na rais wa zanzibar ni mzanzibar, yani kwa saizi wazanzibari ndo wapo top,

Juzi raisi kaagiza zinunuliwe meli 8 zinabaki 4 Tanganyika 4 zanzibar, Pesa za Sherehe za muungano hapo wiki iliyopita zimegawanywa equally kati ya bara kubwa na kiaiwa kidogo cha zanzibar

Wazanzibari hupewa kipaumbele kikubwa wakija Tanganyika hasa kwenye ajira, na vitengo vya juu, mfano jeshini na taasisi kubwa wazanzibari wanapewa upendeleo na ni haki yao.

Kiufupi Tanzania inaenda kuwa ya wazanzibari, kisiwa kidogo ambacho kinapeqa prioritu kubwa sana.
Atabaki kuwa loyal na JMT sio zanzibr, kwa mantiki hiyo leo zanzibar ingekua imeimeza JMT
 
Ipo siku mtakumbuka hii post. Maana mtapoteza asili yenu.

Mfano pale England jamii ya kihindi ili anza kuingia kwa kasi kama wahamiaji then waka zaliza vizazi vyevye asili ya kihindi sasa ivi wahindi pale Uk wame tamalaki sio hospitals, ktk ma bank, meyor wa london ni mhindi so slowly wana anza kupoteza asili yao
Hapa umedanganya ndugu yangu. Mayor wa LONDON anaitwa SADIQ KHAN,Huyu ni Mwislamu mwenye Asili ya PAKSTANI na wala sio INDIA kama unavyodai.
 
Wapo lakini ni wachache tofauti na baadhi ya nchi jirani zetu. Mwaka 2015 nilimchagua mwendazake kuwa Rais lakini alipoingia kuna matendo ya ajabu yaliyotokea kipindi cha utawala wake sijawahi kuona wala kusikia maisha yangu yote. Sasa inasemekana ana asili ya nje ya Tanzania na nchi anayonasibishwa nayo ni Burundi ambao kwao umafia ni kitu cha kawaida tu.

US ni nchi ya wahamiaji haina mwenyewe ingawa wana sheria kali kudhibiti watu viazi ila nchi za ulaya zilizochukua wakimbizi kama pipi tayari wameshaanza kuona madhara yake. Ufaransa wamepitisha sheria kudhibiti waislam ambao wanaleta tamaduni zao ufaransa. Denmark na Sweden wanarudisha wakimbizi makwao kwa lazima. Kuna kiongozi wa Venezuela anaitwa Tareck el Aissami ana asili ya Syria anashutumiwa kushirikiana na Hezbollah na pia ni muuzaji mkubwa wa madawa ya kulevya.

Nisawazishe kitu hapa. Sio kila muhamiaji ni mbaya wengine wapo tayari kuingiliana na jamii waliyoikuta na kufata tamaduni za pale( mf. Wacongo) ila kuna wengine unakuta ni wahamiaji lakini bado wanajiona ni bora kuliko wenyeji na wana asili ya uovu mfano, warundi, warwanda, waarabu na hao wasomali mnaowakumbatia.

Acheni huo uliberali wa kipuuzi, kama ni kuwa kiongozi waishie kwenye ubunge huku ili kuwaridhisha ila kule juu kuweni makini
Unamaanisha kwamba wasomali wa Kenya, ambao hakuna taifa lolote lingine ambalo wanaliita nyumbani, ni wahamaji ndani ya nchi yao? Kwamba sisi ni waliberali kisa tumewaruhusu wakenya wenzetu, wenye asili ya kisomali(kabila sio taifa la Somalia) wawe na fursa sawa na wakenya wengine?

Hivi nyinyi viumbe mlisoma historia na jeografia kweli? Utawafananishaje wasomali wakenya na wahamiaji wa kiarabu kwenye nchi za US, Sweden na hizo zingine ulizozitaja? Mkoloni ndiye aliyechora ramani na akazigawanya jamii nyingi barani Afrika.

Wasomali waligawanywa sawa tu na walivofanywa wamaasai au wakuria. Maeneo ambayo wameishi wao na mababu zao kwa miaka na mikaka yakawa ndani ya nchi tofauti. Ambazo zimepakana na nchi ya Somalia, ambapo walio wengi ni wana asili sawa na wao. Vipi kuhusu wasomali ambao ni wa Ethiopia, Djibouti na Eritrea, mnataka wabaguliwe pia?
 
Hapa umedanganya ndugu yangu. Mayor wa LONDON anaitwa SADIQ KHAN,Huyu ni Mwislamu mwenye Asili ya PAKSTANI na wala sio INDIA kama unavyodai.
Sawa lkn khan baba yake ni muhindi aliye lowea pakistan
 
Unamaanisha kwamba wasomali wa Kenya, ambao hakuna taifa lolote lingine ambalo wanaliita nyumbani, ni wahamaji ndani ya nchi yao? Kwamba sisi ni waliberali kisa tumewaruhusu wakenya wenzetu, wenye asili ya kisomali(kabila sio taifa la Somalia) wawe na fursa sawa na wakenya wengine?

Hivi nyinyi viumbe mlisoma historia na jeografia kweli? Utawafananishaje wasomali wakenya na wahamiaji wa kiarabu kwenye nchi za US, Sweden na hizo zingine ulizozitaja? Mkoloni ndiye aliyechora ramani na akazigawanya jamii nyingi barani Afrika.

Wasomali waligawanywa sawa tu na walivofanywa wamaasai au wakuria. Maeneo ambayo wameishi wao na mababu zao kwa miaka na mikaka yakawa ndani ya nchi tofauti. Ambazo zimepakana na nchi ya Somalia, ambapo walio wengi ni wana asili sawa na wao. Vipi kuhusu wasomali ambao ni wa Ethiopia, Djibouti na Eritrea, mnataka wabaguliwe pia?
Jomba nilichokisema ni kwamba top office sio ya kumpa mtu mwenye asili nje ya Kenya na hakuna sehemu nimesema hizi nafasi nyingine za kazi wasipewe.

Na nimezungumzia asili yao sio uraia wao. Wasomali waliokuwa kwenye hizo nchi ulizotaja ni raia tu ila haibadilishi asili yao kuwa Somalia. Hata wasomali wa Kenya walishakuwa na harakati za kutaka jimbo la kaskazini mashariki liungane na Somalia miaka 60. Hao wasomali wa Kenya wanajiona ni Wasomali kwanza alafu ndio Wakenya.
 
Jomba nilichokisema ni kwamba top office sio ya kumpa mtu mwenye asili nje ya Kenya na hakuna sehemu nimesema hizi nafasi nyingine za kazi wasipewe.

Na nimezungumzia asili yao sio uraia wao. Wasomali waliokuwa kwenye hizo nchi ulizotaja ni raia tu ila haibadilishi asili yao kuwa Somalia. Hata wasomali wa Kenya walishakuwa na harakati za kutaka jimbo la kaskazini mashariki liungane na Somalia miaka 60. Hao wasomali wa Kenya wanajiona ni Wasomali kwanza alafu ndio Wakenya.
Unasema kwamba unazungumza kuhusu asili yao, sio utaifa wao. Kisha kwenye sentensi inayofata unasema kwamba asili ya wasomali wa Kenya, Ethiopia, Djibouti na Eritrea ni nchi ya Somalia. [emoji848] Kivipi wakati hakuna hata siku moja kwenye historia ambapo walikuwa raia wa Somalia?

Vuguvugu unalolizungumzia la kujiunga na nchi ya Somalia lilikuwa ni njama chini ya ufadhili wa viongozi wa awali wa nchi ya Somalia. Ambapo waliwapa mafunzo ya kijeshi vijana wa kisomali. Kisha wakawavusha boda kuja kuleta vurugu kuhusu jambo ambalo wasomali wa Kenya hawakuwa na hamu nalo. Alafu wakati huo ilikuwa kabla ya nchi ya Somalia kuanza kupigana vita vya wao kwa wao.

Hiyo ni historia na hakuna msomali yeyote kwenye nyakati hizi ambaye ana nia ya kujiunga na Somalia. Eti ndio azipe kisogo utaifa wake, maendeleo na fursa pia wanazozipata jamii hiyo, kisha akajitose kwenye nchi ambayo hakuna amani wala 'order' yeyote inayoeleweka.

Hivi unajua wasomali wa Somalia wanavowabagua wenzao wa Kenya kisa eti wamekumbatia sana utaifa wao? Hadi kwenye vitu vya kawaida sana kama kubeba bendera ya Kenya. Huwa wanawachulia kama watu ambao sio wasomali kamili na ambao wamepotea njia. Neno wanalotumia kuwaita ni jina la dharau, 'sijui', wakimaanisha hilo ndio huwa jibu la wasomali wa Kenya. Kila mara wanapoulizwa maswali kama; unajua kisomali-sijui, unazijua mila zenu-sijui.

Wasomali wa Somalia wanachukizwa pia kwamba wasomali wa Kenya huwa wanazungumza kiswahili na wasomali wa Ethiopia na Eritrea huwa wanazungumza kiamhara. Yaani ni full ubaguzi kwao kutoka kwa unaosema kwamba ni wenzao. Alafu nyie ambao hata sio wakenya mpo hapa mkihubiri injili nyingine ya ubaguzi.
 
Unasema kwamba unazungumza kuhusu asili yao, sio utaifa wao. Kisha kwenye sentensi inayofata unasema kwamba asili ya wasomali wa Kenya, Ethiopia, Djibouti na Eritrea ni nchi ya Somalia. [emoji848] Kivipi wakati hakuna hata siku moja kwenye historia ambapo walikuwa raia wa Somalia?

Vuguvugu unalolizungumzia la kujiunga na nchi ya Somalia lilikuwa ni njama chini ya ufadhili wa viongozi wa awali wa nchi ya Somalia. Ambapo waliwapa mafunzo ya kijeshi vijana wa kisomali. Kisha wakawavusha boda kuja kuleta vurugu kuhusu jambo ambalo wasomali wa Kenya hawakuwa na hamu nalo. Alafu wakati huo ilikuwa kabla ya nchi ya Somalia kuanza kupigana vita vya wao kwa wao.

Hiyo ni historia na hakuna msomali yeyote kwenye nyakati hizi ambaye ana nia ya kujiunga na Somalia. Eti ndio azipe kisogo utaifa wake, maendeleo na fursa pia wanazozipata jamii hiyo, kisha akajitose kwenye nchi ambayo hakuna amani wala 'order' yeyote inayoeleweka.

Hivi unajua wasomali wa Somalia wanavowabagua wenzao wa Kenya kisa eti wamekumbatia sana utaifa wao? Hadi kwenye vitu vya kawaida sana kama kubeba bendera ya Kenya. Huwa wanawachulia kama watu ambao sio wasomali kamili na ambao wamepotea njia. Neno wanalotumia kuwaita ni jina la dharau, 'sijui', wakimaanisha hilo ndio huwa jibu la wasomali wa Kenya. Kila mara wanapoulizwa maswali kama; unajua kisomali-sijui, unazijua mila zenu-sijui.

Wasomali wa Somalia wanachukizwa pia kwamba wasomali wa Kenya huwa wanazungumza kiswahili na wasomali wa Ethiopia na Eritrea huwa wanazungumza kiamhara. Yaani ni full ubaguzi kwao kutoka kwa unaosema kwamba ni wenzao. Alafu nyie ambao hata sio wakenya mpo hapa mkihubiri injili nyingine ya ubaguzi.
Mtu mwenye asili ya somalia tunamwita msomali bila kujali uraia wake labda uniambie huko Kenya nyie mnawaitaje?

Ripoti ya mwaka 1962 iliyoandaliwa na uingereza inasema watu 5 kati ya 6 wa hilo eneo walikuwa wanataka wajiunge na Somalia( wikipedia). Ni kweli walisaidiwa na Serikali ya Somalia kwenye harakati za kutaka kujitenga ila si kweli kwamba wao walikuwa hawataki kujitenga na Kenya.

Nina mashaka na hii hadithi yako ya wasomali wa Somalia kuwabagua wa wasomali wa Kenya.
 
Mtu mwenye asili ya somalia tunamwita msomali bila kujali uraia wake labda uniambie huko Kenya nyie mnawaitaje?

Ripoti ya mwaka 1962 iliyoandaliwa na uingereza inasema watu 5 kati ya 6 wa hilo eneo walikuwa wanataka wajiunge na Somalia( wikipedia). Ni kweli walisaidiwa na Serikali ya Somalia kwenye harakati za kutaka kujitenga ila si kweli kwamba wao walikuwa hawataki kujitenga na Kenya.

Nina mashaka na hii hadithi yako ya wasomali wa Somalia kuwabagua wa wasomali wa Kenya.
Naona umeanza kukana hoja yako, ndio hii hapa nukuu ya ulichosema, neno kwa neno...."Na nimezungumzia asili yao sio uraia wao. Wasomali waliokuwa kwenye hizo nchi ulizotaja ni raia tu ila haibadilishi asili yao kuwa Somalia".
Una mashaka na ninachosema kuhusu chuki ya wasomali wa Somalia dhidi ya wasomali wa Kenya, au 'sijui' kama wanavopenda kuwaita kwa dharau. Kwasababu huna uhakika na hoja unazotupia humu kuhusu mada hii. Ila Mimi nazunguma kuhusu vitu ambavyo ninaweza nikavithibitisha.

 
Naona umeanza kukana hoja yako, ndio hii hapa nukuu ya ulichosema, neno kwa neno...."Na nimezungumzia asili yao sio uraia wao. Wasomali waliokuwa kwenye hizo nchi ulizotaja ni raia tu ila haibadilishi asili yao kuwa Somalia".
Una mashaka na ninachosema kuhusu chuki ya wasomali wa Somalia dhidi ya wasomali wa Kenya, au 'sijui' kama wanavopenda kuwaita kwa dharau. Kwasababu huna uhakika na hoja unazotupia humu kuhusu mada hii. Ila Mimi nazunguma kuhusu vitu ambavyo ninaweza nikavithibitisha.

Ama hutaki kuelewa au umeamua kuwa mbishi. wewe kwako mtu mwenye asili ya somalia anaeishi kenya hutaki aitwe Msomali na unaona mimi nakosea, nimeenda mbali kukuuliza mtu mwenye asili ya somalia mnamuitaje hapo Kenya, hujanijibu badala yake unaniambia nakana hoja yangu.

Narudia hadi utakapokuja na jina lingine mtu mwenye asili ya somalia bila kujali uraia wake tunamuita msomali na tumekuwa tukiwaita hivyo miaka yote. Hao wasomali wapo wenye uraia wa Tanzania pia hivyo usidhani nazungumzia watu ambao siwajui kabisa.

Hizo nyuzi ulizoleta kuna wasomali humo wanakataa hoja za wenzao na kuwatetea wasomali wa Kenya na ni wengi tu wanaowatetea. Hizi nyuzi hazioneshi ubaguzi zinaonesha baadhi ya wasomali wa somalia kutoridhishwa na matendo ya wasomali wa Kenya, kitu ambacho ni cha kawaida.

Wangekuwa na chuki na wasomali wa Kenya wasingeoleana basi au kushirikiana nao kwenye masuala ya kijamii na jinai kibao tungeziona lakini we umechukua watu wawili watatu unahitimisha wanawachukia.

Kwenye hizo nyuzi ulizoleta pia tunaona wengi wanasema wasomali wa somalia waliwaangusha wasomali wa Kenya kwa kutowaunga mkono vya kutosha kwenye harakati zao za kujitenga na Kenya.
 
Ama hutaki kuelewa au umeamua kuwa mbishi. wewe kwako mtu mwenye asili ya somalia anaeishi kenya hutaki aitwe Msomali na unaona mimi nakosea, nimeenda mbali kukuuliza mtu mwenye asili ya somalia mnamuitaje hapo Kenya, hujanijibu badala yake unaniambia nakana hoja yangu.

Narudia hadi utakapokuja na jina lingine mtu mwenye asili ya somalia bila kujali uraia wake tunamuita msomali na tumekuwa tukiwaita hivyo miaka yote. Hao wasomali wapo wenye uraia wa Tanzania pia hivyo usidhani nazungumzia watu ambao siwajui kabisa.

Hizo nyuzi ulizoleta kuna wasomali humo wanakataa hoja za wenzao na kuwatetea wasomali wa Kenya na ni wengi tu wanaowatetea. Hizi nyuzi hazioneshi ubaguzi zinaonesha baadhi ya wasomali wa somalia kutoridhishwa na matendo ya wasomali wa Kenya, kitu ambacho ni cha kawaida.

Wangekuwa na chuki na wasomali wa Kenya wasingeoleana basi au kushirikiana nao kwenye masuala ya kijamii na jinai kibao tungeziona lakini we umechukua watu wawili watatu unahitimisha wanawachukia.

Kwenye hizo nyuzi ulizoleta pia tunaona wengi wanasema wasomali wa somalia waliwaangusha wasomali wa Kenya kwa kutowaunga mkono vya kutosha kwenye harakati zao za kujitenga na Kenya.
Sio kila msomali ana asili ya Somalia, fahamu hilo na uache ubishi usiokuwa na tija. Wasomali wa mkoa wa NFD nchini Kenya na Ogaden nchini Ethiopia na wenzao Djibouti na Eritrea hawajaijua Somalia wala kuwa na uhusiano wowote na nchi ya Somalia tangia jadi isipokuwa kuhusishwa na nchi hiyo kisa walio wengi nchini humo wametoka kwenye kabila lao. Comprende?
Wasomali waliwasili Afrika Mashariki kabla ya wabantu na 'nilotes' pia.
 
Sio kila msomali ana asili ya Somalia, fahamu hilo na uache ubishi usiokuwa na tija. Wasomali wa mkoa wa NFD nchini Kenya na Ogaden nchini Somalia na wenzao Djibouti na Eritrea hawajaijua Somalia wala kuwa na uhusiano wowote na nchi ya Somalia Tangia jadi isipokuwa kuhusishwa na nchi hiyo kisa walio wengi nchini humoi wametoka kwenye kabila lao. Comprende?
Wasomali waliwasili Afrika Mashariki kabla ya wabantu na 'nilotes' pia.
Kwa mujibu wa washington post wasomali walianza kukaa Kenya mwanzoni mwa karne ya 20 na wameweka na chanzo cha hiyo habari. Hilo unalosema kwamba waliwasili kabla ya wabantu ni "inawezekana", kwa maana ya kwamba hakuna ushahidi.

Alafu unaposema wasomali wa kenya hawana uhusiano na wale wa Somalia tangia jadi nashindwa kukuelewa sababu wasomali wa Kenya walipewa msaada na serikali ya Somalia kwenye harakati zao.
Mamia ya wasomali wa kenya wametoa kati ya sh bilioni 10 na 40 kwa lengo la kwenda kuwekeza nyumbani somalia (wikipedia), sasa nikuulize kwanini Somalia wamekuita Nyumbani kama hawana uhusiano napo?

Hata wasomali wa kwenye somalispot wanawatambua ni ndugu zao pamoja na kuwaponda hapa na pale sasa sijui hii hoja yako ya kutokuwa na uhusiano na Somalia umeitoa wapi.
 
Wasomali ni jamii kubwa pembe ya Afrika hadi East Afrika kuanzia Kenya,Somalia na Majimbo yote ,Ethiopia,Djibouti na Tzn kwa kiasi fulani
 
Tzn ilishikwa na Mrundi ,ukatili alioufanya haijawahi tokea.

Majuzi hapa kuna mrudi kafanywa makamu wa Rais warundi wenzie wa Burundi wakampongeza binafsi
 
Kweli wewe ni mbaguzi kama wengine tu
Hili lipo sana kwetu Tz kuona anaeweza kupata haki ni sisi tu ingawa wapo wazawa wenye asili ya mataifa mengi ya nje

Kenya kuna majimbo ya wasomali na sio wamejipenyeza kama unavyoainisha hilo neno kwa msisitizo mkubwa
Wao wamefika hapo na kuchagua siasa kwa upendo wao na kikatiba pia

Kwetu akiingia mmoja tu kwenye siasa maneno hayaishi na ubaguzi wa hali ya juu
Dunia haiendi hivyo
Mbunge wa kike aliekuwa anampa pressure Trump Yule msomali alipelekwa akiwa mdogo ila sasa ni mbunge

Ooh eti wakiingia serikalini kiusalama sio mzuri.
Hayo ni mawazo mfu na tukishikilia hilo hatutapata viongozi imara
Kenya Ina ukabila mkubwa ila Wasomali ni nchi yao pia kwani ni kabila kama makabila mengine

Kama ukienda Emirates, Kuwait, Bahrain na hata Qatar
Kuanzia Majeshi yote wameajiri wasomali na Wasudan na baadhi ya nchi jirani ila hata siku moja huwezi kusikia wakiogopa kupinduliwa au ooh nchi imeuzwa kama mlivyowaoga
 
Ipo siku mtakumbuka hii post. Maana mtapoteza asili yenu.

Mfano pale England jamii ya kihindi ili anza kuingia kwa kasi kama wahamiaji then waka zaliza vizazi vyevye asili ya kihindi sasa ivi wahindi pale Uk wame tamalaki sio hospitals, ktk ma bank, meyor wa london ni mhindi so slowly wana anza kupoteza asili yao

Dunia hii napenda watu wanavyoingiliana kwani bila kutembea huwezi kuyajua haya ila kuyasoma tu
Nilikwenda Bangkok na chakula kilanishinda nikamuuliza taxi driver kama kuna hotel za mataifa mengine
Akanipeleka hotel ya Lebanon na mwisho nikapata na za wa Turkey
Bila watu kuingiliana tusingejua Mandi na Biriani

Watu hawahami kutafuta matatizo bali wanatafuta maisha bora na mtoto akiamua kuwa mwana siasa so what

Kuna mataifa ya Latin America marais wana asili ya kiarabu na wamekubali
 
Ishu ipo kwa TZ ambako Zabzibar ina nguvu sana, Zanzibar ni nchi ndogo sana lakini naweza kusema inapewa priority kubwa sana.

Rsis akiwa wa Tanganyika basi mahakamu aakuwa wa kenya aama vice versa kama saizi.

Zanzibar tayari wana rais , mahakamu wa rais wao, bunge lao, etc kwajili ya zanzibar lakini Tanganyika hakuna hii, Raisi wa Tanzania anakuwa wa Tanganyika + Zanzibar, mfano kwa saizi raisi wa Tanzania katokea Zanzibar na rais wa zanzibar ni mzanzibar, yani kwa saizi wazanzibari ndo wapo top,

Juzi raisi kaagiza zinunuliwe meli 8 zinabaki 4 Tanganyika 4 zanzibar, Pesa za Sherehe za muungano hapo wiki iliyopita zimegawanywa equally kati ya bara kubwa na kiaiwa kidogo cha zanzibar

Wazanzibari hupewa kipaumbele kikubwa wakija Tanganyika hasa kwenye ajira, na vitengo vya juu, mfano jeshini na taasisi kubwa wazanzibari wanapewa upendeleo na ni haki yao.

Kiufupi Tanzania inaenda kuwa ya wazanzibari, kisiwa kidogo ambacho kinapeqa prioritu kubwa sana.
Hebu tulizana uandike vizuri.

Haieleweki haya ni madhara ya kuandika huku una njaa au huku umevimbiwa
 
Kuna mujibu wa washington post wasomali walianza kukaa Kenya mwanzoni mwa karne ya 20 na wameweka na chanzo cha hiyo habari. Hilo unalosema kwamba waliwasili kabla ya wabantu ni "inawezekana", kwa maana ya kwamba hakuna ushahidi.

Alafu unaposema wasomali wa kenya hawana uhusiano na wale wa Somalia tangia jadi nashindwa kukuelewa sababu wasomali wa Kenya walipewa msaada na serikali ya Somalia kwenye harakati zao.
Mamia ya wasomali wa kenya wametoa kati ya sh bilioni 10 na 40 kwa lengo la kwenda kuwekeza nyumbani somalia (wikipedia), sasa nikuulize kwanini Somalia wamekuita Nyumbani kama hawana uhusiano napo?

Hata wasomali wa kwenye somalispot wanawatambua ni ndugu zao pamoja na kuwaponda hapa na pale sasa sijui hii hoja yako ya kutokuwa na uhusiano na Somalia umeitoa wapi.
Haya basi jombaa, acha mjadala huu uishie hapo.
 
Back
Top Bottom